Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

Nakumbuka moja ya alama aliyoacha ni kitendo cha kujitumia sms kwenye simu ya mke wake yaani sender na receiver wote wanasoma mnara mmoja na location moja yaani amejisahau kabisa watu wa mitandao hao walitoa data za lissu kwa serikali😁😁
Ooh maana usikute serikali inatumia hadi uchawi kuona vilivyojificha nikajikoroga😂😂😂
 
Kubadili. Dini hakuna uhusiano na tukio wapo kibao waliobadili kabla yake na hawana matukio kama hayo basi tu Hamis alikosa counselling kuwa mwanamke usibishane naye na usishindane naye. Ili umkabili mwanamke yeyote kwa lolote lile ni Kumpuuziaa..
 
Inaonekana ndugu walizembea sana kuchukua hatua mapema, kuna stori jamaa alishalazimisha taraka ikawa dana dana
Kuingiza ndugu kwenye ndoa ndio vyanzo vya ugomvi

Hii ndoa iliharibiwa na ndugu

Ndugu walikua wanampa binti hela za biashara na mwanaume alikua hataki

Dada akawa ndio tajiri hata kumzidi mwanaume,mwanzo wa tatizo likawa hapo

NImejifunza,ukishaoza mtoto wa kike anaenda kua chini ya mtu,hutakiwi kusogea au kuwezesha chochote bila ruhusa ya huyo mwanaume,otherwise ndio vita hizi

Mwanamke akishaolewa mnaenda kunusa nusa nini hamna mambo yenu na familia zenu binafsi mkawa nazo bize?

This is a tragedy!
 
Jamaa likuwa mweupe kabla ya kuingia jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…