Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisani wapi na wanatumia lugha gani wasikokuelewa?unajua kwamba Mungu ana majina zaidi ya 1000 na hilo Jah likiwemo?u unajua maana ya nickname?Sijaongea kuhusu dini ila kuna maneno ukitumia ukichanganya na lugha tofauti ndio huleta tatizo maana lugha unayoitumia inaweza kulitafsiri neno tofauti. Huwezi kwenda kanisani alafu uanze kusema jah awabariki, direct utaonekana umewadharu kwanza watu mnaosali nao.
Tangu wabongo walipoanza kulitumia katika maneno/ sentensi za kiswahiliTangu lini Jah ni nickname?
Najua kila lugha na jina lake, ila dha ya kutumia jina la taifa nyingine katika lugha yetu huoni inaaribu? Basi kama inatumika lugha zaidi ya moja sidhani kama itatumiza lugha au neno lenye utata.Kanisani wapi na wanatumia lugha gani wasikokuelewa?unajua kwamba Mungu ana majina zaidi ya 1000 na hilo Jah likiwemo?u unajua maana ya nickname?
Una maanisha nini hapo?
Hata sielewi unabisha nini sasa. Kama unataka na wewe andika biblia yako uweke maneno utakayo. Ruksa.Si kila neno linakaa kwenye lugha nyingine na kuleta maana.
Haya poa ila mimi nilishapata jibu nililokuwa nalitafuta.Hata sielewi unabisha nini sasa. Kama unataka na wewe andika biblia yako uweke maneno utakayo. Ruksa.
Ok.Haya poa ila mimi nilishapata jibu nililokuwa nalitafuta.
Kwani huyo Mungu jina lake anaitwa nani?Habari wana na binti wa Mungu.
Naomba kuuliza aliyempa Mungu jina la jah ni nani? Na je alikuwa na kusudi gani?
Au pengine ni mimi nimefikiria jah ni Mungu? Maana naona mitandaoni tu " jah bless, jah akulinde" au kuna miungu mingine inaitwa jah? Maana niko njia panda.
Jah sio nickname. Kuna andiko kwenye Zaburi tafsiri ya Union Version ya Kiswahili ameitwa YAHU ambaye ni YHW yaani YEHOVA.Habari wana na binti wa Mungu.
Naomba kuuliza aliyempa Mungu jina la jah ni nani? Na je alikuwa na kusudi gani?
Au pengine ni mimi nimefikiria jah ni Mungu? Maana naona mitandaoni tu " jah bless, jah akulinde" au kuna miungu mingine inaitwa jah? Maana niko njia panda.
Zaburi 68:4 (UV Swahili Bible )Habari wana na binti wa Mungu.
Naomba kuuliza aliyempa Mungu jina la jah ni nani? Na je alikuwa na kusudi gani?
Au pengine ni mimi nimefikiria jah ni Mungu? Maana naona mitandaoni tu " jah bless, jah akulinde" au kuna miungu mingine inaitwa jah? Maana niko njia panda.
Updates....
Tayari nimeshapata jibu, asanteni wote mlio nijuza maana nilikua sijui.
Whatever lakini asili ya hilo neno ni uyahudiHapana ila kiswahili chake ni Yehova.
Umekosea ungesema marastaWajamaica nao watakua na uzi wao wanauliza aliempa Jah jina la Mungu ni nani? [emoji12] [emoji12]
Ni kihebrania mkuuWhatever lakini asili ya hilo neno ni uyahudi
Toa wajamaica wema marasta tumalize mchezoUmekosea ungesema marasta