mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,922
- 3,618
Lumumba ni majoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana naona mwanamke kalala na kuna mkia wa nyoka.
Anataka kutueleza nini KP?View attachment 1752383
Hakuna mwanaccm anaeweza elewa hiyo kituKwani wewe umeelewa nini na ulumumba wako.
Af nyoka kapewa mgongo ...mh mh mh!!Mwanamke amelala na adui kajifunika nae shuka moja. Inawezekana hajui kama ana adui ndani ya shuka au anajua ila kwasababu adui hajaonesha makali mwanamke nae kamkubatia anaamini hata mdhuru.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] we jamaa bhana una-dare kutaja jina kabisa aiseeHuyu Nyoka ni Majaliwa, Mama akiendelea kulea Nyoka ataambulia maumivu na hatimaye kifo.
[emoji22][emoji22]Masikini madam president.
Una maanisha "KAZI" aka sabwufaHuo Mkia ni yule kichaa wa Mirembe
@johnthebaptist jamaa unatajwa hukuLumumba ni majoka
Fafanua maana ya "adui" kumbuka nyoka ni wakijani[emoji216][emoji216]Mwanamke anawakilisha kiongozi wa juu mwanamke.
Nyoka anawakilisha adui
Unganisha hapo utaelewa kionacho endelea bungeni.
Tumeanza maandizi ya futari 2025.
[emoji28][emoji28]Af nyoka kapewa mgongo ...mh mh mh!!
Kama nani vileee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2958][emoji2958]Anamaanisha mama ajiangalie ana watu ambao si wazuri ndani ya serikali yake
You nailed it !!!Inamaanisha wanaCCM wanamuhujumu Bi. Mkubwa??
Huku Kuna wengine wanahangaika kurudisha akili zaoView attachment 1752545