Aliyemuelewa Mo Dewji kuhusu uwekezaji Simba atujuze

Aliyemuelewa Mo Dewji kuhusu uwekezaji Simba atujuze

Hivi nafasi mtu anapewa au anatakiwa aitafute mazoezini?.
Vijana wanajitahidi sana mazoezini na kocha anawaona lakini akiwapanga kisha ikatokea bahati mbaya kwenye mechi basi kocha atakiona cha mtema kuni. Hataurudia tena kuwapanga
 
Wewe ni mjinga wa asili, yani wa kuzaliwa kabisa

Hiyo simba unayosema inafanya vizuri Africa mashariki na kati, ni nani kaiwezesha ifanye hivyo?? Au imetokea Kama miujiza tu sio?? Yani Mo aweke pesa yake timu ifanye vizuri alafu uje umhukumu kwa pesa yake hiyo hiyo???

Kabla ya Mo Simba ilikuaje?? Kwann haikufanya vizuri ?? Hiyo pesa inayopatikana saiv simba miaka minne nyuma ilikua wapi??

Kaa chini kitulize
Simba tayari ishakuwa brand kubwa haiitaji publicity kujitangaza na kama ukiwa uko vizur kuna faida nyingi sana simba huenda ifanikiwe au isifanikiwe bado faida ni kubwa
 
Tafuta hela ukamzidi uchukue zile hisa. Kabla hajaweka hela mliongea uahuzi saana mara hana hela mara tapeli mara cjui imepanda imeshuka haya katia mpunga wake unaanza kumshambulia tena. Umaskn ni kitu kibaya saana.
Hasa umaskini wa akili.
 
Huo ndio ujinga wako. Simba ilikuwepo tangu 1936 mbona ipo? Samani ya Simba ni kubwa sana. Wahindi wanaujuwa ukubwa wa simba na yanga kuliko wanachama wenyewe. Kuna wafanyabiashara ambao utajiri wao leo umetokana na simba na yanga. Hizi timu zina mashabiki kila mkoa kila wilaya na kila kitongoji. Lakini wanasimba waziona 20b eti ni nyiiiiiingi sana kiasi cha kutukana kila mtu anaehoji integrity ya mo kwenye uwekezaji huu. Huwezi kuweka mayai yako yoote kwenye kikapu kimoja lakini simba imempa mo hiza zote 49% peke yake na mtu asihoji; na mtu asiulize. Ina maana mo akijikwaa mayai yetu yoote yatavunjika. Ndio maana mo alivyotishia kujivua uwanachama kila shabiki na kila mwanachama alitoa punzi kwenye kila tundu la mwili wake. Manji alipopatwa na msukosuko tuliona mabakuli kila kona. Hatujifunzi tu? Nani katuroga ngozi nyeusi.
Iyo dhamani ulikuwa wapi usiwe wewe kipindi Simba inaungaunga, punguza mdomo weka hela au unaungaunga km mzee mpili
 
Acha kudanganya watu, 40B sio uwekezaji ni haki ya matangazo ambayo hata klabu nyingine zipo katika mazungumzo na Azam.

Usijelia siku ukisikia simba kachukua zaidi ya hiyo 40B katika haki hiyo maana ni timu yenye mafanikio makubwa zaidi
Na Mo kasema hawezi kubali tuwe sawa na mpili fc kama vp atatoa mwenyewe huo udhamini
 
Wewe ni chizi. Simba iko tangu 1936 ingeshindwa kujiendesha ingekuwepo? Kama ana hela kwanini hakuanzisha yake? Tunachosema hapa ni win_win kati ya muwekezaji na wenye club, nothing more nothing less. Unajuwa vijana wanadhani ni dude lisilokuwa na mwenyewe, hawajui kuwa kuna watu walihangaika na kuifikisha simba hapa. Thamani ya simba ni kubwa mno inaweza kukufanya uwe hata rais wa nchi kama ukiwamunipulate mashabiki wake kuwa wanasiasa
Mlihangaikaje nyie waganga wa kienyeji, kutwa mnashinda kwenye bao na draft mabondeni hapo mnaishi kwa hisani tu. Mo atadumu Simba hakuna kidampa wa kumbabaisha hata awe chuma ulete
 
Kwanini hakwenda kuwekeza Ihefu? Akili huna vhata moja. Simu ina wenyewe na wenyewe sio wewe mshabiki oyaoya, wenyewe wanataka faida pia sio makombe tu.
Minyororo imekata draft halilipi sasa hivi
 
Minyororo imekata draft halilipi sasa hivi
Hahaha, ukiachana na Mashabiki oyaoya wanaonyamazishwa kuhoji kwa ushindi na makombe hata kwa nunua mechi wenye timu yao wahitaji mgao ili maisha yaende. Lakini hata serikali ina hisa kwenye hizi club kubwa
 
Hiyo nyomi huwa haileti zaidi ya 400M lakini mishahara ya Simba kwa mwezi ni 350M ukumbuke hizo nyomi sio kila mwezi.
Usajili Simba ni wa hela kubwa let say extension contact ya chama ni 500M lakini konde boy alinunuliwa kwa 650M bado chikwende ,Fraga nae alitumia zaidi ya 300M Sasa hapo ona taswira ya bajeti ya Simba kwa msimu moja
Ivi unikulize swali unazani Mo anufaiki na chochote kupitia Simba??? Kama anufaiki na chochote kwann aing'ang'anie simba???skia ni kwambie Mo anapata faida kubwa mno kupitia Simba uyo ni Muindi waindi sikuzote kwnye maswala ya finance wanamahesabu makubwa mno na ni wabahili vibaya mno awafanyi kitu kwa kukurupuka by the way Simba n8 club kubwa Afrika mzee acha kabisa.......
 
Na Mo kasema hawezi kubali tuwe sawa na mpili fc kama vp atatoa mwenyewe huo udhamini
Mwambie mo amuuze Miqueson apate hela sasa wakati yuko kwenye pick, msimu ujao hatauzika tena kiumri, majeraha ya manungu na kukanyagwa na mpira kushuka. Take my words.
 
Ivi unikulize swali unazani Mo anufaiki na chochote kupitia Simba??? Kama anufaiki na chochote kwann aing'ang'anie simba???skia ni kwambie Mo anapata faida kubwa mno kupitia Simba uyo ni Muindi waindi sikuzote kwnye maswala ya finance wanamahesabu makubwa mno na ni wabahili vibaya mno awafanyi kitu kwa kukurupuka by the way Simba n8 club kubwa Afrika mzee acha kabisa.......
Uko sahihi, wahindi hawana Cha bure never, kama angekuwa anapata hasara hata familia yake isingemruhusu.

Unadhani wanapataje hela kupitia Simba?
1. Zile hisa zake 49% anaweza kuwagawia kwa kuwauzia wenzake kwa bei kubwa ili wagawane risks
2. Urahisi kwenye biashara zake, watumishi na viongozi wengi kama polisi, TRA, mawaziri, wabunge wako ama Simba au Yanga, hivyo ni rahisi kupitisha agenda zako kupitia wao.
3. Kutangaza bidhaa zako kwa watu wengi kwa wakati mmoja. Milage.
4. Beting: Wamiliki wa timu wengi wanacheza kamali kwa kutumia mechi za timu zao kwa kupanga matokeo.
5. Kukwepa ushuru kwa kisingizio Cha kuagiza au kutangaza bidhaa kwaajili ya timu. Mfano, inatia zawadi ya TV kwa kila mchezaji lakini unaagiza containers 10 za TV kwa jina la timu ambazo zitasamehewa kulipiwa ushuru. Au kuweka tangazo kwenye vitu vya timu ambavyo vingekugarimu sana kwa kutoa Kodi ya matangazo.
6. Madawa ya kulevya: unaweza kuingiza na kutoa madawa ya kulevya kupitia bidhaa za club ambazo hazitiliwi Mashaka na kukaguliwa sana.
7. Viingilio, mikataba, na uuzaji wachezaji, zawadi (bonuses).
8. Kufahamika na kujulikana kwa kutumia jina la timu. Kupata umaarufu kunasaidia kwenye biashara zako nyingine hata zikiwa za hovyo kabisa.
 
Mlihangaikaje nyie waganga wa kienyeji, kutwa mnashinda kwenye bao na draft mabondeni hapo mnaishi kwa hisani tu. Mo atadumu Simba hakuna kidampa wa kumbabaisha hata awe chuma ulete
Sawa lakini ale akijuwa Simba ina wenyewe waliopokezana kuiengaenga tangu 1936 ilipoanzishwa hadi leo. Lazima ule kwa unyenyekevu bila kebehi wala dharau kwao. Kama unataka amani ya moyo na tambo, chukua 20b zako kanunue timu ya daraja la kwanza kama Mgambo, Singinda Uninted, African Sports uwapeleke akina Morison kule ili uchukue makombe. Why Simba?
 
Hapa ndio umeonyesha uboya zaidi... ulipolinganisha matangazo ya biashara na uwekezaji.

Pia kumbuka hiyo 20B sio thamani ya simba bali ni sehemu ya share za mwekezaji na wala sio kanunua timu. Majority share bado zipo kwenye 51%.
Rudi darasani kwanza.
Hao 51% wameweka ngapi?
 
Utaishia hivyo hivyo. Yaani kweli kwa wafungaji kina saprong na nchimbi ulitegemea kuibeba VPL au FA unaota wewe. Yanga ni mbooovuuuuuu
Kama akina sarpong na nchimbi waliwatoa kamasi akina chama, Bocco, Mugalu, bwalya na wengine sijui itakuwaje kwa akina makambo na mayele msimu ujao
 
Back
Top Bottom