Aliyemuelewa Mo Dewji kuhusu uwekezaji Simba atujuze

Aliyemuelewa Mo Dewji kuhusu uwekezaji Simba atujuze

Ikumbukwe tume ya ushindani ilizuia mfumo wa mabadiliko baada ya kutokufuata utaratibu na kuitaka timu ya simba kuanza upya lakini hawakufanya hivyo.

Baada ya utawala mpya kuingia nchini yule nwenyekiti wa tume ya ushindani aliondolewa kinyemela akawekwa ambaye atampendelea Dewj kufanya atakavyo.

Ndivyo inavyoendelea kwa sasa huyu Dewj ukisikiliza press yake jana ni kama alienda kututukana sisi Watanzania

Imagine eti anasema aliisaidia simba badae akaiacha akaenda kuwasaidia watu wa Singida kuwapelekea maendeleo hivi huyu tapeli aliwapelekea maendeleo gani singida wakati historia inamkumbuka km mtu aliyekuwa anagawia wanawake kanga na chumvi anatumia uongo wa siasa kuiibia simba

Anasema ametumia zaidi billion 21 kwa miaka mine toka aingie simba hivi waandishi wa habari hawajamuuliza simba iliingiza kiasi gani Kati ya hizo bilion 21.

Kwann waandishi wa habari hawakumuuliza bidhaa zake zinazochofua brand ya simba amelipa shiling ngapi?

Kwann waandishi wa habari hawajamuuliza kwann uwanja wa bunju auite jina lake wakati yeye hana mchango wowote kwenye huo uwanja.

Tena kwa kiburi sana anasema aulizwe maswali machache tu.

Huyu muhindi anatumia udhaifu wa serkali iliyopo kutaka kuimiliki simba sawa anaweza kushinda kwa muda ila itafika siku utaondoka kwa aibu.

Huyu tapeli hana maisha marefu simba.

Mbaya zaidi ameanza kuhonga waandishi wa habari ili waache kukosoa uhuni wake kwenye klabu.
Tuache kumtukana mo,alichofanya ni kizuri mno kwa maendeleo ta simba na soka,japo mie ni yanga

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hilo jamaa kavulata ni jinga fulani hivi miaka yote simba ipo hakuna aliyethubutu kuweka mpunga
Huo ndio ujinga wako. Simba ilikuwepo tangu 1936 mbona ipo? Samani ya Simba ni kubwa sana. Wahindi wanaujuwa ukubwa wa simba na yanga kuliko wanachama wenyewe. Kuna wafanyabiashara ambao utajiri wao leo umetokana na simba na yanga. Hizi timu zina mashabiki kila mkoa kila wilaya na kila kitongoji. Lakini wanasimba waziona 20b eti ni nyiiiiiingi sana kiasi cha kutukana kila mtu anaehoji integrity ya mo kwenye uwekezaji huu. Huwezi kuweka mayai yako yoote kwenye kikapu kimoja lakini simba imempa mo hiza zote 49% peke yake na mtu asihoji; na mtu asiulize. Ina maana mo akijikwaa mayai yetu yoote yatavunjika. Ndio maana mo alivyotishia kujivua uwanachama kila shabiki na kila mwanachama alitoa punzi kwenye kila tundu la mwili wake. Manji alipopatwa na msukosuko tuliona mabakuli kila kona. Hatujifunzi tu? Nani katuroga ngozi nyeusi.
Hilo jamaa kavulata ni jinga fulani hivi miaka yote simba ipo hakuna aliyethubutu kuweka mpunga
 
YANGA TV 40B KWA MIAKA 10.
SIMBA 20B KWA MAISHA NANI HAPO MWENYE BONGO?
 
Usilalamike kama mo, jibu maswali haya kama una unaachokifahamu. Mnataka watu wa sympathise na mo kwakuwa eti Simba inaleta makombe anayedanganya watu eti kila mtu Tanzania ni Simba na mashabiki wa Simba Wana purchasing power kubwa kuliko wale wa Yanga. Huo utafiti aliufanya lini? Sample size yake ilikuwa watu wangapi? Ethical clearance aliipata wapi? Amelidanganya taifa. Lengo la uongo huo ni wivu wa Azam media kuipa Yanga 40b wakati yeye kasini hela kiduchu, pia anataka Sportpesa impe hela nyingi kuliko Yanga.
Mm sijaona tatizo la MO amesema amesema ashamalizana na FCC na bilioni 20 kaweka sasa tatizo ni nn?tunawasubiri mpili fc nao wakamilishe bila kulalamika
 
Mbumbumbu katika ubora wao muachwe na litimu lenu maana Mo anawapa mapenzi motomoto hamuoni wala hamtaki kusikia , kila kitakachohojiwa ni utopopolo.
Mngepewa nchi hii nyie mngeshatuuza watanzania wote kwa mabeberu maana so kwa upofu huo wa akili.
Hata uto si mna timu lenu mbona kutwa kuhangaika na nyumba ya jirani wakati wewe pia umeshindwa ku manage ya kwako
 
Hela kuitoa inauma wewe asikuambie mtu. Ushawahi kupewa hela na mkeo uone utakavyosimangwa?
Mo anahitaji kupongezwa sana.
Sure Ile ni economic resource kwa sio rahisi Kama mtoa post anahoji kirahisi akiwa kalala anasubiri chai kwa mama
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Kama ni hivyo basi asingeitisha press conference kumbe wadhamini wanafahamu kila kitu. Ametusumbua kutuita kwasababu gani kama kila kitu kinafahamika kwenye kamati. Mo peke yake ndiye katoa 20b za 49% ya hisa, kanuni inasema hivyo?
Unataka kanuni ipi brother,mwakyembe alishafafanua kuhusu hisa za mo sasa wewe unaturudisha nyuma kwa uzembe wako wa kutofuatilia toka mwanzo.
 
Kuwekeza siyo kujitolea. Ni lazma uwekeze na upate faida ya uwekezaji. Mo hajawahi kuweka faida anayoipata kwa uwekezaji wake na kimsingi anapata pesa nyingi kuliko alichowekeza. Its just business si kwamba anaipenda sana Simba No ni source of income kwake. Cha msingi hapa simba wangeweka wazi ili hata wawekezaji wengine wawe huru kuwekeza.
Tatizo kubwa wengi mnahoji baada ya kuweka hela mwanzoni mlikuwa mnahoji kwa nn haweki hizo bilioni 20,sasa hamueleweki mnataka nn?
 
YANGA TV 40B KWA MIAKA 10.
SIMBA 20B KWA MAISHA NANI HAPO MWENYE BONGO?
Acha kudanganya watu, 40B sio uwekezaji ni haki ya matangazo ambayo hata klabu nyingine zipo katika mazungumzo na Azam.

Usijelia siku ukisikia simba kachukua zaidi ya hiyo 40B katika haki hiyo maana ni timu yenye mafanikio makubwa zaidi
 
Yaap. Kikubwa timu ishinde tu..
Wewe chura FC ukishajua itakusaidia nn?? Cc wanasimba ata akitoa jero tunaomba apewe timu yote aimiliki na akipenda abadilishe na jina iwe Mo FC muhimu mashabiki tunapata FURAHA timu inafanya maajabu basi tunafurahi ayo mengine ni kukompliketi mambo mwaisa
 
Mbumbumbu katika ubora wao muachwe na litimu lenu maana Mo anawapa mapenzi motomoto hamuoni wala hamtaki kusikia , kila kitakachohojiwa ni utopopolo.
Mngepewa nchi hii nyie mngeshatuuza watanzania wote kwa mabeberu maana so kwa upofu huo wa akili.
Mkuu Mo atakuwa anatuibia unaonaje tukupe wewe hizo asilimia 49?..
 
Wasio na akili timamu utawasikia wakisema ili mradi timu yao inafanya vizuri viwanjani haya mengine hayawahusu.

Kumbe ni ujinga umewajaa kichwani na baadae huko mbele mambo yakienda mlama watashindwa kutafuta mchawi ni nani.
Mambo kwenda mrama kiaje? Embu tabiri kivipi unahisi mambo yanaweza kwenda mrama huko mbele ya safari?.
 
Hela kuitoa inauma wewe asikuambie mtu. Ushawahi kupewa hela na mkeo uone utakavyosimangwa?
Mo anahitaji kupongezwa sana.
Halafu mtu anatoa billions wanataka asilalamike na kuwakumbusha kuwa mpunga anatoa ni mwingi hivyo umakini unahitajika..
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Kuwekeza siyo kujitolea. Ni lazma uwekeze na upate faida ya uwekezaji. Mo hajawahi kuweka faida anayoipata kwa uwekezaji wake na kimsingi anapata pesa nyingi kuliko alichowekeza. Its just business si kwamba anaipenda sana Simba No ni source of income kwake. Cha msingi hapa simba wangeweka wazi ili hata wawekezaji wengine wawe huru kuwekeza.
Maswali

1. Hao wawekezaji wengine walikua wapi kabla ya Mo? Kwann hawakuwekeza?

2. Kama kuna pesa anatengeneza, kwann simba ilishindwa jiendesha yenyewe wakati hayupo?? Hizo pesa zilikua wapi muda huo zisionekane?
 
Nae keshajua kuwa Simba ni majuha, kushinda mechi, na ubingwa kunawanyamazisha kimyaa na kuwafanya wakenue tu kama maombie. Hivyo atafanya kila ajuacho na awezalo kuhakikisha timu inashinda, maana hiyo ndiyo ganzi ya wanasimba. Ona anaongelea kawakopesha Simba 24.3b lakini hasemi kuhusu mapato ya zile nyomi za Haji Manara viwanjani, mauzo ya jezz, bonus za ubingwa, kutangaza bidhaa zake kwakutumia Simba wala kuuza wachezaji, wala kodi za majengo wala wadhamini.

Wajanja kama Dr. Kingwangala ni wachache sana, na hao wanapigwa vita na mazombie wasihiji. Bila akina kingwangala hizo 20b zisingeletwa hakiya mama.
Wewe acha tu apige hela. Sisi simba hatuna faida nayo nyingine yoypte zaidi ya matokeo ya uwanjani. Aichukue hata bure kikubwa wachezaji walipwe na matokeo yaonekane uwanjani.
 
Wewe ni miongoni mwa watu mliopigwa sindano ya ganzi ya mo na wenzake friends of Simba. Ili kuiondoa hiyo ganzi meza dawa ya kigwangalaquine ili uone Simba inavyomtajirisha mo na kundi lake. Unafahamu gharama halisi ya kuweka tangazo la biashara yako kwenye jezz na magari ya timu kubwa kama Simba yenye mashabiki wengi Africa na duniani? Uliza Rwanda inalipa hela ngapi kuweka katangazo kake ka Visit Rwanda kwenye jezi ya Arsenal? Hata mo ni mchumi, anaijuwa gharama ya kutangaza biashara kwenye jezi ya timu inayofanya vizuri ni ghali, ndiyo maana anasema "sikubali" kutangaza bidhaa ya Sportpesa Africa nzima kwa pesa ile anayotoa Sportpesa msimu uliopita. Lakini yeye ametangaza mo energy lakini bado analalamika amepoteza 24.3b. majuha TU kama wewe ndio wanamuelewa.
Wewe ni mjinga wa asili, yani wa kuzaliwa kabisa

Hiyo simba unayosema inafanya vizuri Africa mashariki na kati, ni nani kaiwezesha ifanye hivyo?? Au imetokea Kama miujiza tu sio?? Yani Mo aweke pesa yake timu ifanye vizuri alafu uje umhukumu kwa pesa yake hiyo hiyo???

Kabla ya Mo Simba ilikuaje?? Kwann haikufanya vizuri ?? Hiyo pesa inayopatikana saiv simba miaka minne nyuma ilikua wapi??

Kaa chini kitulize
 
Back
Top Bottom