Aliyemuelewa Mzee Kinana tafadhali atusaidie kufafanua ili na sisi tuelewe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ukisikia kukurupuka ndio huku sasa.



Watu washashindwa sasa unafafanua kitu gani?

=======

"Katika mzunguko wao (CHADEMA) hapa nchini wamekuwa na hoja zifuatazo, hoja ya kwanza (1) wamezungumzia juu ya Katiba, hoja yao ya pili (2) wamezungumza sana juu ya sheria ya uchaguzi, hoja yao ya tatu (3) wamezungumzia juu ya Muungano na kutaka, na kutaka kuleta mfarakano kati ya Tanzania Bara na Visiwani (Zanzibar), na kuonesha kwamba Visiwani (Zanzibar) wanafaidika zaidi kuliko Tanzania Bara (Tanganyika), na mwisho wamekuwa wakizunguka na ajenda ya kuligawa Taifa katika majimbo, na hiyo ni sera ambayo wamekuwanayo (CHADEMA) kwa muda mrefu sana.

Sasa niko hapa kuzungumza machache kuhusiana na kila jambo walilolisema, lakini kubwa ieleweke kuwa wameshindwa" -KinanaMakamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana amezungumza hayo leo, Jumapili Mei 05.2024 alipokuwa akizungumza na wanachama wa chama hicho mkoa wa Dodoma.
 
Huyu mzee Ni wa kupuuza tu..
 
So baada ya kusema wameshindwa ndio akamaliza au kuna mengine aliyoyasema zaidi ya hayo? Kama yapo mengine tuyafahamu then tulinganishe na hoja wanazozisimamia Chadema juu ya MUUNGANO, Katiba mpya na majimbo na kama hakuna bhasi Kinana na CCM yake imepitwa na wakati.
 
Huyu ndiye 'Mastermind' wa CCM.
Kama huyu kachanganyikiwa kiasi hiki huko ndani ya CCM kukoje?

Huu ni mrejesho muhimu sana kuhusu kazi wanayoifanya CHADEMA kwenye mikutano yao huko mikoani. Inaonyesha wazi sasa kwamba kazi wanayofanya CHADEMA imewapa mchchato CCM.
'Mastermind' anayetegemewa naye hana jibu.

CHADEMA inafaa wakaze kamba sasa; ng'ombe shalazwa chini.
Kazi muhimu zaidi iliyobaki ni kuhakikisha kura za wananchi hazifanyiwi mchezo. CHADEMA wakipata njia za kuzuia hili, matumaini kwetu ni mazuri sana.
 
Huyu Kinana ndiye akili kubwa anayetegemewa na chama kwa muda mrefu, toka enzi za Kikwete. Ukiona anahangaika hivi ujue kuna hofu kubwa huko ndani ya CCM sasa hivi.

Hii ni dalili nzuri kwa nchi yetu, kwamba tunaelekea kujinasua kwa hawa wakoloni wapya.
 
ni kwamba,
turufu ya Chadema iliyobaki ili kupata vyeo na madaraka ni kusababisha fujo tu, hata hivyo haitawezakana. Kibaraka nae nguvu ya soda, kaishachoka tayari πŸ’

simple hivyo tu,
yaan politically speaking πŸ’
 
ni kwamba,
turufu ya Chadema iliyobaki ili kupata vyeo na madaraka ni kusababisha fujo tu, hata hivyo haitawezakana. Kibaraka nae nguvu ya soda, kaishachoka tayari πŸ’

simple hivyo tu,
yaan politically speaking πŸ’

..Samia anasema yeye sio Mtanzania, ni Mzanzibari, lakini anataka kuwa Raisi wa Tanzania. Kama sio wendawazimu ni nini? Zaidi ana yale mambo yao ya kule Zanzibar, Dada Mange amesema.
 
..Samia anasema yeye sio Mtanzania, ni Mzanzibari, lakini anataka kuwa Raisi wa Tanzania. Kama sio wendawazimu ni nini? Zaidi ana yale mambo yao ya kule Zanzibar, Dada Mange amesema.
relax tu na useme maoni na mtazamo wako bila mbambamba wala mihemko yoyote πŸ’
 
ni kwamba,
turufu ya Chadema iliyobaki ili kupata vyeo na madaraka ni kusababisha fujo tu, hata hivyo haitawezakana. Kibaraka nae nguvu ya soda, kaishachoka tayari πŸ’

simple hivyo tu,
yaan politically speaking πŸ’
Mkuu unaweza ukatupa hivyo viashiria vya fujo wanazopanga hao Chadema ili tuvidadavue? Kibaraka ni nani? Unaposema politically speaking, unamaanisha nini katika ulichoongea, mbona hakuna hoja ya kisiasa katika maandishi yako yote?
 
Mkuu unaweza ukatupa hivyo viashiria vya fujo wanazopanga hao Chadema ili tuvidadavue? Kibaraka ni nani? Unaposema politically speaking, unamaanisha nini katika ulichoongea, mbona hakuna hoja ya kisiasa katika maandishi yako yote?
mimi tena nitoe viashiria wakati nimekutafsiria hoja ya mtoa hoja πŸ’

kibaraka ni yule jamaa aliyekubali kushikwa akili kwasabb tu alihudumiwa kitu Fulani, na sasa katumwa na mabwenyenye kuja kuvuruga nchi ili afadhalliwe kupata madara na hao mabwenyenye ya magharibi. anajulikana vizuri na hajifichi politically speaking πŸ’
 
Mkuu hilo neno la mwisho "wameshindwa" liwekee mkazo na lifanyiwe kazi. Hiyo ndio code ya nini kifanyike kwenye maandalizi ya uchaguzi. Anaanda watu kisaikolojia kwa kupre-empt yanayotakiwa kutokea kwenye uchaguzi ujao!
 
..Samia anasema yeye sio Mtanzania, ni Mzanzibari, lakini anataka kuwa Raisi wa Tanzania. Kama sio wendawazimu ni nini? Zaidi ana yale mambo yao ya kule Zanzibar, Dada Mange amesema.
🀣 🀣 🀣
 
Ukweli mtupu

Lisu katufumbua masikio mpaka Abdul anaambatana na Heche kugawa mlungula

Duu kazi kwelikweli

Mungu turehemu
 
Chadema ni wavurugaji mara kadhaa wamekuja na mkakati wao wa nchi isitawalike lakini mara zote kabla dola haijawadhiti wamekuwa wakidhibitiwa na kuadhibiwa na wananchi wazalendo wapenda amani kwa nchi yao kwa kuwanyima kura!
 
Ukweli mtupu

Lisu katufumbua masikio mpaka Abdul anaambatana na Heche kugawa mlungula

Duu kazi kwelikweli

Mungu turehemu
kwahiyo wewe unasubiri kufumbiliwa tu right? πŸ’

Mungu akurehemu? kwan we ni marehemu πŸ’
 
Chadema ni wavurugaji mara kadhaa wamekuja na mkakati wao wa nchi isitawalike lakini mara zote kabla dola haijawadhiti wamekuwa wakidhibitiwa na kuadhibiwa na wananchi wazalendo wapenda amani kwa nchi yao kwa kuwanyima kura!
na daima hicho kitaendelea kuwatafuna zaidi tuendako πŸ’

hata hivyo,
hata ukimtazama tu au kumuangalia kwa macho ya nyama na kumskiliza vizuri kibaraka ambae ni kiongozi wao, huwezi ona sura yenye damira au nia ya kuongoza bali kuvuruga tu umoja wa kitaifa wa waTz.

hata contents anazozungumza ni more deconstructive zaidi ya constructive contents kwa matured and visionary politicians.....

na hapo ndipo sura kamili ya upuppet wake hujitokeza na kujidhihirisha bayana πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…