Aliyemuelewa Mzee Kinana tafadhali atusaidie kufafanua ili na sisi tuelewe

Aliyemuelewa Mzee Kinana tafadhali atusaidie kufafanua ili na sisi tuelewe

mimi tena nitoe viashiria wakati nimekutafsiria hoja ya mtoa hoja [emoji205]

kibaraka ni yule jamaa aliyekubali kushikwa akili kwasabb tu alihudumiwa kitu Fulani, na sasa katumwa na mabwenyenye kuja kuvuruga nchi ili afadhalliwe kupata madara na hao mabwenyenye ya magharibi. anajulikana vizuri na hajifichi politically speaking [emoji205]

Wenzio wanatumia akili kujadili hoja, sijui wewe unatumia nini?

Mtu yeyote anayesema eti sijui kuna vibaraka wakati hatoi uthibitisho wowote, ni mwendawazimu mropokaji. Ni sawa na kichaa anayezunhuka barabarani akitamka chpchote kinachomjia akilini lakini hakipo.

Wendawazimu ni wagonjwa wa akili, ni wa kupuuzwa na kuonewa huruma.

Wewe ni mgonjwa, una haki ya kupuuzwa na kuonewa huruma. Siku ukirudiwa na akili, uje na hoja.
 
na daima hicho kitaendelea kuwatafuna zaidi tuendako 🐒

hata hivyo,
hata ukimtazama tu au kumuangalia kwa macho ya nyama na kumskiliza vizuri kibaraka ambae ni kiongozi wao, huwezi ona sura yenye damira au nia ya kuongoza bali kuvuruga tu umoja wa kitaifa wa waTz.

hata contents anazozungumza ni more deconstructive zaidi ya constructive contents kwa matured and visionary politicians.....

na hapo ndipo sura kamili ya upuppet wake hujitokeza na kujidhihirisha bayana 🐒
Ukisikia kukurupuka ndio huku sasa.

View attachment 2991209View attachment 2991210

Watu washashindwa sasa unafafanua kitu gani?

=======

"Katika mzunguko wao (CHADEMA) hapa nchini wamekuwa na hoja zifuatazo, hoja ya kwanza (1) wamezungumzia juu ya Katiba, hoja yao ya pili (2) wamezungumza sana juu ya sheria ya uchaguzi, hoja yao ya tatu (3) wamezungumzia juu ya Muungano na kutaka, na kutaka kuleta mfarakano kati ya Tanzania Bara na Visiwani (Zanzibar), na kuonesha kwamba Visiwani (Zanzibar) wanafaidika zaidi kuliko Tanzania Bara (Tanganyika), na mwisho wamekuwa wakizunguka na ajenda ya kuligawa Taifa katika majimbo, na hiyo ni sera ambayo wamekuwanayo (CHADEMA) kwa muda mrefu sana.

Sasa niko hapa kuzungumza machache kuhusiana na kila jambo walilolisema, lakini kubwa ieleweke kuwa wameshindwa" -KinanaMakamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana amezungumza hayo leo, Jumapili Mei 05.2024 alipokuwa akizungumza na wanachama wa chama hicho mkoa wa Dodoma.
Anaongelea midomo tu huku akili yake ikiwa kwenye pembe za ndovu kama zitafika salama sokoni
 
na daima hicho kitaendelea kuwatafuna zaidi tuendako [emoji205]

hata hivyo,
hata ukimtazama tu au kumuangalia kwa macho ya nyama na kumskiliza vizuri kibaraka ambae ni kiongozi wao, huwezi ona sura yenye damira au nia ya kuongoza bali kuvuruga tu umoja wa kitaifa wa waTz.

hata contents anazozungumza ni more deconstructive zaidi ya constructive contents kwa matured and visionary politicians.....

na hapo ndipo sura kamili ya upuppet wake hujitokeza na kujidhihirisha bayana [emoji205]

Naona wendawazimu waropokaji mmekutana. Mnaropoka bila hoja. Mwenye akili timamu anapotuhumu anaweka uthibitisho au vielelezo vya tuhuma.

Kama una akili japo kidogo, ukishindwe kuwatuhumu wanaogawa rasilimali za nchi kwa wageni kuwa ni vibaraka, halafu unaenda kumtuhumu anayetetea rasilimali za nchi eti ni kibaraka. Ni binadamu mwenye akili wewe au msukule?
 
Wenzio wanatumia akili kujadili hoja, sijui wewe unatumia nini?

Mtu yeyote anayesema eti sijui kuna vibaraka wakati hatoi uthibitisho wowote, ni mwendawazimu mropokaji. Ni sawa na kichaa anayezunhuka barabarani akitamka chpchote kinachomjia akilini lakini hakipo.

Wendawazimu ni wagonjwa wa akili, ni wa kupuuzwa na kuonewa huruma.

Wewe ni mgonjwa, una haki ya kupuuzwa na kuonewa huruma. Siku ukirudiwa na akili, uje na hoja.
ilibainishwa kitabibu tangu mapema sana kwamba athari za masaibu alopitia kibaraka haziwezi kumbakiza salama hususani katika afya ya akili 🐒

na kwahivyo,
hayo unayojaribu kutiririka kwa utaratibu, mathalani uropokaji, unamgusa moja kwa moja kibaraka 🤣

hayo mengine ya uwendawazimu au ugonjwa wa akili kwakweli nisingependa homeboy, the puppet afikie huko politically speaking,
kwasabb aibu na mzigo wa kuubeba utakua ni wetu 🐒

by the way,
hakuna kitu Chadema wanaweza fanya kwa jamii zaidi ya violence tu.
Na I can assure you hiyo tabia mtaacha, mtakabiliwa na kudhibitiwa vizur sana mkijaribu kufanya hivyo 🐒

wanainchi wamewakataa mnalazimisha ya nini, that is not democracy 🐒
 
Naona wendawazimu waropokaji mmekutana. Mnaropoka bila hoja. Mwenye akili timamu anapotuhumu anaweka uthibitisho au vielelezo vya tuhuma.

Kama una akili japo kidogo, ukishindwe kuwatuhumu wanaogawa rasilimali za nchi kwa wageni kuwa ni vibaraka, halafu unaenda kumtuhumu anayetetea rasilimali za nchi eti ni kibaraka. Ni binadamu mwenye akili wewe au msukule?
Inafahamika wazi na bayana mropokaji ni kibaraka na hiyo ni hulka yake 🐒

kwasabb ya athari za madhila aliwahi kupitia utimamu wake ulibainisha utakua chini ya kiwango, kwahivyo sishangai ukimsema ati ni mwendawazimu au hana akili timamu. Daima namuombea asifikie hatua hiyo 🐒

ila kwenye hili la kukamatwa akili na mabwenyenye ya magharibi, hata kama akili hizo si nyingi, siwezi kubabaika wala kuona aibu kulikemea hilo hata kidogo. Homeboy hapo kachemka kazingua mno 🐒
 
Inafahamika wazi na bayana mropokaji ni kibaraka na hiyo ni hulka yake 🐒

kwasabb ya athari za madhila aliwahi kupitia utimamu wake ulibainisha utakua chini ya kiwango, kwahivyo sishangai ukimsema ati ni mwendawazimu au hana akili timamu. Daima namuombea asifikie hatua hiyo 🐒

ila kwenye hili la kukamatwa akili na mabwenyenye ya magharibi, hata kama akili hizo si nyingi, siwezi kubabaika wala kuona aibu kulikemea hilo hata kidogo. Homeboy hapo kachemka kazingua mno 🐒
Cha ajabu mnayetaka kuwaaminisha watu kwamba ni mpotofu na CCM ndiyo ipo sawa inakuwa kinyume chake.Amewazidi hoja.Hamuwezi kuzijibu kiuweledi hata chembe.Mnapaparika kama bata kapigwa na jiwe kichwani.Dhoooful-hali!Kushnehi ghaegha!Mapindu chaaaaliiii!
 
Cha ajabu mnayetaka kuwaaminisha watu kwamba ni mpotofu na CCM ndiyo ipo sawa inakuwa kinyume chake.Amewazidi hoja.Hamuwezi kuzijibu kiuweledi hata chembe.Mnapaparika kama bata kapigwa na jiwe kichwani.Dhoooful-hali!Kushnehi ghaegha!Mapindu chaaaaliiii!
Amina Mungu wewe,
maswala ya kuaminishana uchawi na ushirikina yalipitwa na muda ....

hapa ni mwendo wa ukweli na uwazi, upende usipende 🐒
 
Yote kwa yote, kama Biblia inavyosema Wanawake ishini nao kwa akili, Naamini kundi lingine ni hili la wanasiasa, Ishini na wanasiasa kwa akili.
 
na daima hicho kitaendelea kuwatafuna zaidi tuendako 🐒

hata hivyo,
hata ukimtazama tu au kumuangalia kwa macho ya nyama na kumskiliza vizuri kibaraka ambae ni kiongozi wao, huwezi ona sura yenye damira au nia ya kuongoza bali kuvuruga tu umoja wa kitaifa wa waTz.

hata contents anazozungumza ni more deconstructive zaidi ya constructive contents kwa matured and visionary politicians.....

na hapo ndipo sura kamili ya upuppet wake hujitokeza na kujidhihirisha bayana 🐒
Huwa hawafanyi uchambuzi wa nini kinawanyima ushindi wanamuacha baharia stroway anapuyanga wanahisi anaongeza mtaji kumbe wanajimaliza!
 
Back
Top Bottom