Aliyemuelewa Mzee Kinana tafadhali atusaidie kufafanua ili na sisi tuelewe

mpaka wanatia huruma. Hahah... zile zama za wapinzani wanaleta vita zimewatupa mkono
 
Ukweli mtupu

Lisu katufumbua masikio mpaka Abdul anaambatana na Heche kugawa mlungula

Duu kazi kwelikweli

Mungu turehemu
AAAAIIIISSSEEE!!
Unasema kweli wewe?
Hii habari ya kustua/kushangaza wewe umeipata wapi?

Kati ya watu wote wa hovyo walioko CHADEMA, kwa nini umhusishe HECHE kwenye ujinga wa aina hii!

Hata huna uwezo wa kutunga uongo ili watu waanze kujikuna akili?
Na wewe ni kati ya machawa mnao ishi kwa uchafu wa mama?

Siku nyingine ukini'quote' na kuweka takataka za namna hii nitakuzaba vibao (nilikuwa na maneno machafu zaidi ya kuzaba vibao).

Hopeless Kabisa.
 
Chadema ni wavurugaji mara kadhaa wamekuja na mkakati wao wa nchi isitawalike lakini mara zote kabla dola haijawadhiti wamekuwa wakidhibitiwa na kuadhibiwa na wananchi wazalendo wapenda amani kwa nchi yao kwa kuwanyima kura!
Ulilala wapi?
 
Asa wewe ulivo na ubongo wa sisimizi unawezaje kumuelewa mzee Kinana wewe
size yako yule ropo ropo .
 
Wewe fwala kabisa
Jambo liko wazi humu humu Jf
Fwala unarukia treni kwa mbele

Kwa taarifa yako hata Msigwa ni Ajenti wa Abduli

Kima usini zoee
 
Wewe fwala kabisa
Jambo liko wazi humu humu Jf
Fwala unarukia treni kwa mbele

Kwa taarifa yako hata Msigwa ni Ajenti wa Abduli

Kima usini zoee
EEEEeeeenHEEEeeee.
Mtu kama wewe inabidi nicheke tu.
Tutakutana siku nyingine, leo nina maswala muhimu kuliko kupoteza muda na chizi.
 
Hil
Tatizo lako umerukia jambo
Abduli ana fungu la kutamka kuivuruga cdm
Hilo siyo jipya. Katafute jingine.
Hivi tumeanzia wapi, unakumbuka? Rudi huko mwanzo, huenda utanielewa vizuri, kuliko kuendelea tukipotezeana muda hapa na mwishowe usababishe niondoe uvivu juu yako.
 
Huyu Dingi hana uchungu na Tanganyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…