Aliyepandisha gharama za Toto Afya kadi ni muuaji. Magufuli tunamkubuka kwa hili

Aliyepandisha gharama za Toto Afya kadi ni muuaji. Magufuli tunamkubuka kwa hili

Kama unatibiwa india. Au unatoka familia yenye ukwasi huwezi kujua mateso wanayopata watanzania wa kawaida..

Watu wanatumia mitishamba au kwenda kwa mwaposa badala ya kwenda hospital kukwepa gharama kubwa za matibabu. Uongo mkubwa wanakwambia mtoto chini ya miaka 5 anatibiwa bure.

Hata kwa watu wazima vifurudhi vya bima siyo rafiki sana na huduma ni mbovu. Ni mateso makubwa taifa linaangamia.

Hukohuko NHIF wanakosema mfuko umezidiwa fedha zinagawanwa kama njugu nchi ngumu sana hii..

View attachment 2758862
Lengo la CCM kusalia madarakani ni kujinufaisha wao binafsi kiuchumi na siyo kulisaidia Taifa
 
1.jpg
Heart touching
 
Wanadai watoto waliokuwa Wana tibiwa kwa kifurushi Cha Toto Afya walikuwa wachache,aise! Hii nchi kila mtu anajiamulia anavyotaka hasa akiwa na mamlaka bila kufikiria watu wengine wataathirika vipi.

Eti wamehamishia kwa watoto wanaosoma waunganishwe kwa magroup,swali linakuja kwa watoto ambao hawajfikia umri wa kwenda shule wanapataje hizo huduma za bima ya afya?

Wananchi hawana chao maana maswala Kama haya ilitakiwa kuwashirikisha wananchi njia gani itakuwa Bora zaidi kupatiwa huduma ya afya kupitia mfuko wa Taifa wa Bima ya afya.


Watanzania wengi tuna hali ngumu lakini serikali inazidi kutukamua kila siku inasikitisha Sana.
Ambao hawajaanza kusoma wajiunge kupitia wazazi wao,
Licha ya maumivu yake ila utaratibu huu unaonekana utaleta uhai kwa mfuko tofauti na ule wa mwanzo, huu utahamasisha wazazi kuhimizana kuchangia kwa vikundi
 
Kama unatibiwa india. Au unatoka familia yenye ukwasi huwezi kujua mateso wanayopata watanzania wa kawaida..

Watu wanatumia mitishamba au kwenda kwa mwaposa badala ya kwenda hospital kukwepa gharama kubwa za matibabu. Uongo mkubwa wanakwambia mtoto chini ya miaka 5 anatibiwa bure.

Hata kwa watu wazima vifurudhi vya bima siyo rafiki sana na huduma ni mbovu. Ni mateso makubwa taifa linaangamia.

Hukohuko NHIF wanakosema mfuko umezidiwa fedha zinagawanwa kama njugu nchi ngumu sana hii..

View attachment 2758862
Mkiambiwa CCM hawafai hata kwakulumangia hamelewi wacha dawa iwangie vzri akili iwakae sawa
 
Hatari sana hawa watu. Wanawaza uchaguzi tu.
Kitu kinachoitwa ilani ya uchaguzi ya CCM ni sawa sawa na ule mkataba wa hovyo wa DP World.

Wao wanapambana kusalia madarakani ndo maana wanatumia vyombo vya dola kufanikisha hilo.
 
Kitu kinachoitwa ilani ya uchaguzi ya CCM ni sawa sawa na ule mkataba wa hovyo wa DP World.

Wao wanapambana kusalia madarakani ndo maana wanatumia vyombo vya dola kufanikisha hilo.
 
Nyie ndio mnawapigia kura, Hawa akina mama wanatakiwa wakalee familia na wajukuu uongozi wamefeli hawawezi. Watazidi kuharibu Nchi kwa ulimbukeni na udhaifu walio nao
Si kinamama tu hata wanaume jamii ya nape anaeikataa starlink kwa sbb ya maslahi rostam wanatakiwa wakalee watoto ikiwezekana waolewe kabisa
 
Shida ya toto bima ilikuwa wengi wa waliojiunga walikuwa ni watoto wenye changamoto za Kiafya
ili mfuko wa bima uwe na uwezo ni lazima kuwe na wachangiaji ambao hawatatumia fedha za mfuko kwa mwaka husika.
Kwa hiyo awo watoto wenye changamoto za kiafya awakupaswa kujiunga?.Hvi kuna upasuaji wa bure kwa watoto kuanzia 1-5 years na hawa watoto watajiunga na shule ipi .Kunatakiwa kuje na mbadala kwa watoto 1-5 years kama mtoto.50400 ilikuwa tu changamoto kwa wengi sembuse hizi package mpya.
 
Kwa hiyo awo watoto wenye changamoto za kiafya awakupaswa kujiunga?.Hvi kuna upasuaji wa bure kwa watoto kuanzia 1-5 years na hawa watoto watajiunga na shule ipi .Kunatakiwa kuje na mbadala kwa watoto 1-5 years kama mtoto.50400 ilikuwa tu changamoto kwa wengi sembuse hizi package mpya.
Ili mifuko ya bima iweze kufanya kazi kwa ufanisi ni lazima kuwe na wachangiaji wengi ambao hawatatumia mfuko huo, bima sio kama ponzi scheme ambapo kila mtu anatarajia kunufaika
Watanzania hatuna kawaida ya kukata bima ndo sababu mfuko wa bima unafilisika kila siku maana anayekata bima tayari ana changamoto
 
Basi hata wangeongeza kiwango ili tu watoto wapate bima za afya. Lakini pia serikali iweke ruzuku kwa bima hasa kwa watoto.
 
Ili mifuko ya bima iweze kufanya kazi kwa ufanisi ni lazima kuwe na wachangiaji wengi ambao hawatatumia mfuko huo, bima sio kama ponzi scheme ambapo kila mtu anatarajia kunufaika
Watanzania hatuna kawaida ya kukata bima ndo sababu mfuko wa bima unafilisika kila siku maana anayekata bima tayari ana changamoto
Wakulaumiwa ni wafanyakazi wa mfuko.Walioshindwa kuja na ubunifu kwamba watoto wote wa 1 month to 5 years wanakatiwa bima na wazazi na walezi wao.Iweje sekta binafsi mfano wanaouza line za voda wanashawishi mpaka unanunua line je awo wa Bima ya afya wanashindwaje kuja na ubunifu hata kama mtoto bado ajaumwa wazazi au walezi wawakatie watoto wao Bima ya afya.Ukiweza kushawishi ukasajili watoto zaidi ya 1,000,000 ambao kila mwaka watachangia 50,400 kwa mwaka awawezi kuumwa wote kwa wakati mmoja ina maana watatakuwa wale watoto wenye matatizo ya kiafya wanasaidiwa.Nilichogundua baadhi ya watu awawezi waza nje ya boksi wanangojea mishara na posho tu badala ya kuja na ubunifu ndio manake mashirika mengi ya serikali yanakufa hata yawe na malengo mazuri ya uanzishwaji baada ya muda yanakufa.
 
Wakulaumiwa ni wafanyakazi wa mfuko.Walioshindwa kuja na ubunifu kwamba watoto wote wa 1 month to 5 years wanakatiwa bima na wazazi na walezi wao.Iweje sekta binafsi mfano wanaouza line za voda wanashawishi mpaka unanunua line je awo wa Bima ya afya wanashindwaje kuja na ubunifu hata kama mtoto bado ajaumwa wazazi au walezi wawakatie watoto wao Bima ya afya.Ukiweza kushawishi ukasajili watoto zaidi ya 1,000,000 ambao kila mwaka watachangia 50,400 kwa mwaka awawezi kuumwa wote kwa wakati mmoja ina maana watatakuwa wale watoto wenye matatizo ya kiafya wanasaidiwa.Nilichogundua baadhi ya watu awawezi waza nje ya boksi wanangojea mishara na posho tu badala ya kuja na ubunifu ndio manake mashirika mengi ya serikali yanakufa hata yawe na malengo mazuri ya uanzishwaji baada ya muda yanakufa.
Spot on !! Uwajibikaji na kuwaza nje ya boksi kwa wafanyakazi wa serikali ni zero
 
Kama unatibiwa india. Au unatoka familia yenye ukwasi huwezi kujua mateso wanayopata watanzania wa kawaida..

Watu wanatumia mitishamba au kwenda kwa mwaposa badala ya kwenda hospital kukwepa gharama kubwa za matibabu. Uongo mkubwa wanakwambia mtoto chini ya miaka 5 anatibiwa bure.

Hata kwa watu wazima vifurudhi vya bima siyo rafiki sana na huduma ni mbovu. Ni mateso makubwa taifa linaangamia.

Hukohuko NHIF wanakosema mfuko umezidiwa fedha zinagawanwa kama njugu nchi ngumu sana hii..

View attachment 2758862
Nchi ngumu hii.
Watu wa hali ya chini tunazidi kukandamizwa...
Wanasingizia eti watoto wajiandikishe kupitia shule zao.
Swali ni je,mtoto wa miaka 0-3 anasoma shule?
Na hiyo age mtoto anakuwa na complications nyingi kutokana na mabadiliko ya ukuaji,hivyo;kwenda hospital mara kwa mara hakukwepeki.

Mama Samia upo humu na unasoma.
Kama wewe ni mzalendo kweli, basi turudishie hizi bima za watoto.

Pesa kwa ajili ya bima hakuna,ila pesa za magari ya anasa kwa viongozi na posho za kusaza zipo!
This is sad.
Fanya maamuzi magumu.
Wananchi tunateseka.
 
Back
Top Bottom