Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kuna kaukweli'flan'ivi!Kuna jamaa angu aliopoa chombo bara... Mtoto mmoja iv wa Singida ilikuwa 2017 Mpaka leo yuko nae. Jamaa anadai yule ni moja ya wanawake bora sana aliwaowah kutana nao katika maisha yake.
Kwa swal lako pia wachek Mapot wa Mtaani kwako hpo. Maana kwa tafit zangu ndogo hawa jamaa wengi wanachukuoa/ kuoa wanawake wa sehem hizo
Mostly lakini siyo wote.
