Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Kuna kaukweli'flan'ivi!Kuna jamaa angu aliopoa chombo bara... Mtoto mmoja iv wa Singida ilikuwa 2017 Mpaka leo yuko nae. Jamaa anadai yule ni moja ya wanawake bora sana aliwaowah kutana nao katika maisha yake.
Kwa swal lako pia wachek Mapot wa Mtaani kwako hpo. Maana kwa tafit zangu ndogo hawa jamaa wengi wanachukuoa/ kuoa wanawake wa sehem hizo
AfazariiMbona kasongo anasingiziwa sanaaa?
baadhi wako poa ukibahatika unapata wife material kuna wengine wanafanya kazi hizo kutokana na changamoto tuu kuna mmoja alinisimulia alitengana na mumewe kwasababu alikuwa mchawi.Wanaenda kufanyakazi za baa si kwamba wanapenda! Wanakuwa hawajapata wa kuwaoa!
Mkuu jitose tu oa! Usisahau kupima lakini.
upo sahihi hao unaozungumzia wewe wanakuwa wameshindikana waunii me nimeshuhudia jamaa kamuweka barmaid ndani na watoto wake wawili na katulia tuliiIla kwauzoefu wangu wa hawa watu nadhani mwanamke akifikia hatua ya kujiuza huenda anakuwa amefika hatua ya mwisho kabisa ya kujithamini. Pia huyu mtu huenda huona kama wanaume wote siyo wema kwake. Nina watu wengi muno waliofanya huo ujinga unaotaka kufanya wewe ila walilia sana. Yaani usijaribu japo kuna wachache waliofanikiwa. Ila wengi wao walijuta
Hapana ndo nyuzi zake hizi!Mbona kasongo anasingiziwa sanaaa?
Kasongo mbona wewo🎶😀Mombali nangaa
Kuna jamaa angu aliopoa chombo bara... Mtoto mmoja iv wa Singida ilikuwa 2017 Mpaka leo yuko nae. Jamaa anadai yule ni moja ya wanawake bora sana aliwaowah kutana nao katika maisha yake.
Kwa swal lako pia wachek Mapot wa Mtaani kwako hpo. Maana kwa tafit zangu ndogo hawa jamaa wengi wanachukuoa/ kuoa wanawake wa sehem hizo
Itakuwa nzela (banana) 😹
Hivi wanaume wa pwani mnashida gani?
Wanashangaza sana, uzuri tu hajakuja kutuomba tumvunjie biskuti na kummegea matonge ya ugaliHivi wanaume wa pwani mnashida gani?
Wanashangaza sana, uzuri tu hajakuja kutuomba tumvunjie biskuti na kummegea matonge ya ugaliHivi wanaume wa pwani mnashida gani?
Typical mwanamme wa Pwani, hapa anajifanya kalewa ili aokotwe na watu wakamshughulikieBado Niko kwenye harakati za kutafuta mke
KUNA mzee mwenzangu mkewe alimpata Bar.... NI zamani kidogo lakini mpaka leo maisha raha mustarehe na wana wajukuuu,,,,,KUna wakati alipata mitihani akaenda jela....baada ya kurudi akakuta mkewe kasimamia biashara vizuuri ....any way kwa zama hizi sina hakika sana ....ila cha msingi binadamu hutofautiana .....kama ukimpata aliye wahi kuchapika na maisha akili zika mkaa sawa ....itapendeza zaidi....Kama kilivyo kichwa Cha habari hapo juu yeyote aliyepata mke kwenye sehemu hizo atoe ushuhuda pia anipe muongozo
Kwa maana mpaka Leo natafuta mke wa kuishi nayo sehemu hizi
Kwa sababu
Wahudumu wasafi wanyenyekevu warembo pia wazuri
Inafikia hatua hadi natafutiwa mke nawajibu Bado sijajipanga
Shida ya Hawa wadada hawana hata mmoja Kila anaekuja wamempenda
Sasa sielewi ndio wamechagua kazi yao ndio hii au?
Acha niishie hapa maana naona gambe kama linqnizidi
Mcheki poti.....Kuna jamaa angu aliopoa chombo bara... Mtoto mmoja iv wa Singida ilikuwa 2017 Mpaka leo yuko nae. Jamaa anadai yule ni moja ya wanawake bora sana aliwaowah kutana nao katika maisha yake.
Kwa swal lako pia wachek Mapot wa Mtaani kwako hpo. Maana kwa tafit zangu ndogo hawa jamaa wengi wanachukuoa/ kuoa wanawake wa sehem hizo