Aliyepewa jina la mfu anayetembea, Yahya Sinwar anaongoza mjadala wa kusimamisha vita mwenyewe akiwa Gaza

Aliyepewa jina la mfu anayetembea, Yahya Sinwar anaongoza mjadala wa kusimamisha vita mwenyewe akiwa Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kiongozi mkuu mkazi wa Hamas,Yahya Sinwar amekuwa akiongoza majadiliano kwa umakini kwa kushirikiana na kiongozi mwenzake wa kisiasa Ismail Haniye aliyeko Qattar.

Majadiliano hayo yanayosimamiwa na Marekani na Qattar kuhusu vita baina ya wapalestina na Israel yametajwa kukaribia kufikia ukingoni.

Ulimewengu unasubiri kwa hamu kujua namna vita vitavyosimamishwa na kupatikana kwa mateka wa Israel na wachache kutoka mataifa ya kigeni.

Yahya Sinwar aliwahi kukaa magerazani ndani ya Israel kwa miaka 27 kabla ya kuachiwa huru yeye na wenzake 1000 mwaka 2011 kubadilishana na askari wa Israel aliyetekwa Gazza,Gilad Shalit.

Kutokana na hasira Israel ilizonazo katika vita vya takriban miezi 2 bila kumpata mateka hata mmoja akiwa hai ni wazi kuwa makubaliano hayo itayavunja mapema na vita vitaendelea kwa kasi kwa mara nyengine.

1700559717434.png
 
Kiongozi mkuu mkazi wa Hamas,Yahya Sinwar amekuwa akiongoza majadiliano kwa umakini kwa kushirikiana na kiongozi mwenzake wa kisiasa Ismail Haniye aliyeko Qattar.

Majadiliano hayo yanayosimamiwa na Marekani na Qattar kuhusu vita baina ya wapalestina na Israel yametajwa kukaribia kufikia ukingoni.

Ulimewengu unasubiri kwa hamu kujua namna vita vitavyosimamishwa na kupatikana kwa mateka wa Israel na wachache kutoka mataifa ya kigeni.

Yahya Sinwar aliwahi kukaa magerazani ndani ya Israel kwa miaka 27 kabla ya kuachiwa huru yeye na wenzake 1000 mwaka 2011 kubadilishana na askari wa Israel aliyetekwa Gazza,Gilad Shalit.

Kutokana na hasira Israel ilizonazo katika vita vya takriban miezi 2 bila kumpata mateka hata mmoja akiwa hai ni wazi kuwa makubaliano hayo itayavunja mapema na vita vitaendelea kwa kasi kwa mara nyengine.

View attachment 2820626
Unaongea unafiki eti Israel haijaokoa hata mateka moja wapo wachache wameokolewa wengine wazima na wengine wamekufa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Unaongea unafiki eti Israel haijaokoa hata mateka moja wapo wachache wameokolewa wengine wazima na wengine wamekufa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Haya twambie basi hao unaojwa wameokolewa.Naona wote wamefukuliwa kwenye makaburi
Na Hamas walikwishasema mateka 60 wameshatangulia mbele ya haki.Sasa ukiona kaburi la mmoja wao karibu na hospitali ndio umewaokoa.
 
Kiongozi mkuu mkazi wa Hamas,Yahya Sinwar amekuwa akiongoza majadiliano kwa umakini kwa kushirikiana na kiongozi mwenzake wa kisiasa Ismail Haniye aliyeko Qattar.

Majadiliano hayo yanayosimamiwa na Marekani na Qattar kuhusu vita baina ya wapalestina na Israel yametajwa kukaribia kufikia ukingoni.

Ulimewengu unasubiri kwa hamu kujua namna vita vitavyosimamishwa na kupatikana kwa mateka wa Israel na wachache kutoka mataifa ya kigeni.

Yahya Sinwar aliwahi kukaa magerazani ndani ya Israel kwa miaka 27 kabla ya kuachiwa huru yeye na wenzake 1000 mwaka 2011 kubadilishana na askari wa Israel aliyetekwa Gazza,Gilad Shalit.

Kutokana na hasira Israel ilizonazo katika vita vya takriban miezi 2 bila kumpata mateka hata mmoja akiwa hai ni wazi kuwa makubaliano hayo itayavunja mapema na vita vitaendelea kwa kasi kwa mara nyengine.

View attachment 2820626
Huyu Jamaa Yahya Sinwar anatafutwa na Israel kwa udi na uvumba. Mpaka Waisrael wamempa Jina la Gaza Osama bin Laden. Inaaminika ndiye anayeongoza Vikosi vya Wanamgambo wa Hamas.
 
Yehya Sinwar mzee wa kuwafukia hai wasaliti juu anapiga zege .Hafai huyo.
 
Alafu huyu sindo Wayahudi wa Uyole walikuwa wanatuambia kuwa amezungukwa kwenye hospital ya shifa?[emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kiongozi mkuu mkazi wa Hamas,Yahya Sinwar amekuwa akiongoza majadiliano kwa umakini kwa kushirikiana na kiongozi mwenzake wa kisiasa Ismail Haniye aliyeko Qattar.

Majadiliano hayo yanayosimamiwa na Marekani na Qattar kuhusu vita baina ya wapalestina na Israel yametajwa kukaribia kufikia ukingoni.

Ulimewengu unasubiri kwa hamu kujua namna vita vitavyosimamishwa na kupatikana kwa mateka wa Israel na wachache kutoka mataifa ya kigeni.

Yahya Sinwar aliwahi kukaa magerazani ndani ya Israel kwa miaka 27 kabla ya kuachiwa huru yeye na wenzake 1000 mwaka 2011 kubadilishana na askari wa Israel aliyetekwa Gazza,Gilad Shalit.

Kutokana na hasira Israel ilizonazo katika vita vya takriban miezi 2 bila kumpata mateka hata mmoja akiwa hai ni wazi kuwa makubaliano hayo itayavunja mapema na vita vitaendelea kwa kasi kwa mara nyengine.

View attachment 2820626
Kobazi mnataka vita visimamie wapi?. Bila kunyofolewa kwenye hayo mahandaki yenu hakuna cease fire.
 
Alafu huyu sindo Wayahudi wa Uyole walikuwa wanatuambia kuwa amezungukwa kwenye hospital ya shifa?[emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Maghorofa yaliyobomolewa ni mengi lakini yapo mengi Idf hawajayafikia na waliobaki hai wanaogopa kuingia.Wajeda wa Hamas wanaishi na kula humo humo.Usiku wanatoka nje kupumua.
gaza ni jiji la maghorofa matupu,ni mengi kuliko ya kitumbini na Kariakoo teana mengi yamejengwa kila moja na uwelekeo wake hakuna plan rasmi sana ya mitaa.Sasa fikiria ukibomoa maghorofa 20 -30 kule kitumbini ndio itakuwa unaweza kuingia kwa mguu kumtafuta mtu anayekuvizia.
 
Kobazi mnataka vita visimamie wapi?. Bila kunyofolewa kwenye hayo mahandaki yenu hakuna cease fire.
Mpaka hii leo ile operation kali ya kulipua kwa mtindo wa kutaka iwe ndio kiama bado imeshindikana kuwatoa Hamas kwenye mahandaki.
 
Back
Top Bottom