To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Inashangaza sanaWanasiasa bwana!!
Wanaanzisha vita, raia wanakufa halafu wanakaa pamoja kujadiliana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inashangaza sanaWanasiasa bwana!!
Wanaanzisha vita, raia wanakufa halafu wanakaa pamoja kujadiliana
Ushindi upo karibuHamas aka "wavaa kobaz" fomeshen wanayoitumia ni ya kupak basi "Mourinho style" na wanashambulia kwa kushtukiza km wakipata upenyo na upande wa wateule wa mungu wao wanatumia stail ya kumilik mchezo mwanzo mwisho "la masia style"
Taifa teule lina hali tete ukizingatia deni la taifa linazid kupanda na ktk baadh ya maeneo uzalishaj na shughul za kijamii zimesimama uchumi wa mtu mmojammoja umetetereka na Hamas nao wanakabia juu hawatak kufanya makosa
alishakaa hata gerezani kitambo sana huyo, wangetaka kumuua wangeshamuulia mbali kitambo, na alitibiwa kwenye hospitali za israel. hapo ndio uone utofauti wa Mungu wa Israel na Mungu wa waarabu.Kwa hyo Israeli lihakikisha adui yake namba moja anapona sio
wana akili za mamba: mamba hata umpatie kuku za kukaanga milion mia saba lakini ujue bado anakuvizia mtoni ukitaka kuvuka!kama haujui, huyu aliwahi kubutuliwa, akapelekwa hospitali za israel wakamfanyia operation hadi akapona, ndio maana ni mzima leo hii.