Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kijana hajakoseaAende wakammalizie kabisa jinga kweli bora ndugu zake wangemfanya msukule wajipatie utajiri.
Upumbavu mtupu, ila wakati wakitaka kura yangu wanakuja huku lingusenguse na kunywa nao ulanziAnaonekana ni mlevi fulani hivi wa kongo. Pumbavu zake akome kusogelea misafara ya wakubwa yenye ulinzi mkali anaweza kuawawa palepale. Misafara ya wakubwa ina itifaki yake, na iwe funzo kwa viherehere wengine wanaopendapenda kusogelea wakubwa bila kujali itifaki
Kiherehere cha nini kwenye msiba usiokuhusu!Mbona kijana hajakosea
Alienda msibani ni mambo ya hisia tu
Labda alikuwa na machungu sana
Kwani pale cha thamani ni nini?
Mwili wa Lowasa unakuwaje na thamani kuliko raia hai
Askari hawana mafunzo ya kudeal na watu wakiwa kwenye majonzi au furaha sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha..baada ya Mandonga sasa ni Huyu jamaa..ata trend sanaEhh kibongobongo ashakuwa star
Huyu akaribishwe mpk bungeni
Ova
Na atakua alikua tungiMbona kijana hajakosea
Alienda msibani ni mambo ya hisia tu
Labda alikuwa na machungu sana
Kwani pale cha thamani ni nini?
Mwili wa Lowasa unakuwaje na thamani kuliko raia hai
Askari hawana mafunzo ya kudeal na watu wakiwa kwenye majonzi au furaha sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Soon atapewa ubalozi wa makampuniKabisa, Hadi ameanza na kuhojiwa na vyombo vya habari
Mandonga ashapotea mbonaHahahahaha..baada ya Mandonga sasa ni Huyu jamaa..ata trend sana
Atapewa ubalozi wa kampuni ya pombe 😁😁Ehh kibongobongo ashakuwa star
Huyu akaribishwe mpk bungeni
Ova
Msiba haumhusu kivipi?Kiherehere cha nini kwenye msiba usiokuhusu!
Ni kweli unamuhusu ndiyo maana katandikwa ngumi ya koromelo.Msiba haumhusu kivipi?
Lowasa alikuwa Waziri mkuu wa Watanzania wote.
Nae ni Mtanzania
Bendera ya taifa imepepea nusu mlingoti kuomboleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Au ile sheria ya Kosa la kumpiga mtu hadharani au Shambulio...... haihusiki hapo?? Ngoja kwanza tumalize msiba.Yule afisa sijui muhuni hajakamatwa?
Askari/Mlinzi mshambuliaji apatikane na Sheria ichukue mkondo wake. Huo ulikuwa ni msiba mzito wa Kitaifa, Haukuwa ni msiba wa kuoneshana ubabe au kutunishiana misuli.Mbona kijana hajakosea
Alienda msibani ni mambo ya hisia tu
Labda alikuwa na machungu sana
Kwani pale cha thamani ni nini?
Mwili wa Lowasa unakuwaje na thamani kuliko raia hai
Askari hawana mafunzo ya kudeal na watu wakiwa kwenye majonzi au furaha sana?
Sent using Jamii Forums mobile app