Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mbona maneno makali hivyo?,Amekukosea nini mkuu?.Aende wakammalizie kabisa jinga kweli bora ndugu zake wangemfanya msukule wajipatie utajiri.
Auwawe na nani?.Kwanini Watz hatupendani?,kwanini umtakie mwenzako mabaya?.Sasa kule atakwenda kuuwawa time will tell
Sasa jitu limepigwa ngumi tena kali lakini linasema ni kofi! Hata wana wanafamilia wameshindwa kumuomba radhi kwa masaibu yaliyomkuta lakini lenyewe ndiyo kwanza kiherehere kimeongezeka!
Daaaa! Mie hii ngumi nimeiangalia zaidi ya mara Tano. Yule mlinzi alipeleka ngumi nzito na Jamaa aliyepigwa alidondoka kama anakwenda kukata moto kabisa Hadi yule mlinzi ikabidi ageuke nyuma kuona kama Jamaa kavuta mazimaJina lake halisi ni Benedict Michael Mwakanyamale, lakini wengi katika Jiji la Arusha hasa eneo la Mbauda wanapenda kumuita Chuma. Huyu ndiye muombolezaji aliyeshambuliwa kwa kupigwa ngumi ya uso na mmoja wa watu walionekana kama ni walinzi waliokuwa wakilinda msafara uliobeba mwili wa Waziri Mkuu mstaafu, hayati Edward Lowassa.
“Yalikuwa ni mapenzi tu kwa baba yetu Lowassa,” haya ni maneno ya Benedict Michael Mwakanyamale (43), aliyeshambuliwa jana kwa kupigwa ngumi wakati akiomboleza msiba wa Waziri Mkuu mstaafu, hayati Edward Lowassa.
“Mimi ni mkazi wa hapa Mbauda na hadi kutoka pale barabarani yalikuwa ni mapenzi tu kwa baba yetu tukitaka kumpa heshima za mwisho baada ya kutupambania sana vijana enzi ya uhai wake. Lakini, badala yake nikaambulia kofi la kwenye taya. Kwa sasa najiandaa kwenda Ngarash kushiriki mazishi yake, ili kumpa heshima anayostahili,” amesema Chuma.
“Yaani kupigwa kwangu hakuzuii kabisa kwenda msibani maana sijaumia hivyo, hainikatishi tamaa na hii ni falsafa yetu makamanda wote majasiri, lazima niende msibani kutoa heshima za mwisho kwa mzee wetu,” ameongeza
Source: Mwananchi
weak up call?? Au ulikusudia WAKE UP CALL? Ni hayo tu mkuu.Huyo jamaa Kama Ana umri Wa 43 yrs basi anabidi kujitafakari Sana .
Hiyo ni Kama weak up call ya kujifanyia self-evaluation
WaTz hawana kazi ndio maana wanajazana kwenye shughuli hizi!Jina lake halisi ni Benedict Michael Mwakanyamale, lakini wengi katika Jiji la Arusha hasa eneo la Mbauda wanapenda kumuita Chuma. Huyu ndiye muombolezaji aliyeshambuliwa kwa kupigwa ngumi ya uso na mmoja wa watu walionekana kama ni walinzi waliokuwa wakilinda msafara uliobeba mwili wa Waziri Mkuu mstaafu, hayati Edward Lowassa.
“Yalikuwa ni mapenzi tu kwa baba yetu Lowassa,” haya ni maneno ya Benedict Michael Mwakanyamale (43), aliyeshambuliwa jana kwa kupigwa ngumi wakati akiomboleza msiba wa Waziri Mkuu mstaafu, hayati Edward Lowassa.
“Mimi ni mkazi wa hapa Mbauda na hadi kutoka pale barabarani yalikuwa ni mapenzi tu kwa baba yetu tukitaka kumpa heshima za mwisho baada ya kutupambania sana vijana enzi ya uhai wake. Lakini, badala yake nikaambulia kofi la kwenye taya. Kwa sasa najiandaa kwenda Ngarash kushiriki mazishi yake, ili kumpa heshima anayostahili,” amesema Chuma.
“Yaani kupigwa kwangu hakuzuii kabisa kwenda msibani maana sijaumia hivyo, hainikatishi tamaa na hii ni falsafa yetu makamanda wote majasiri, lazima niende msibani kutoa heshima za mwisho kwa mzee wetu,” ameongeza
Source: Mwananchi
Yesweak up call?? Au ulikusudia WAKE UP CALL? Ni hayo tu mkuu.
Sio kweli. Ukizingatia Tukio kama hili hutokea kwa nadra sana, watu wengi hupenda kwenda kushuhudia live. Lakini pia nakubaliana na wewe kwani hii nayo huenda ikawa ni fursa.WaTz hawana kazi ndio maana wanajazana kwenye shughuli hizi!
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Wakubwa ni akina nani?Anaonekana ni mlevi fulani hivi wa kongo. Pumbavu zake akome kusogelea misafara ya wakubwa yenye ulinzi mkali anaweza kuawawa palepale. Misafara ya wakubwa ina itifaki yake, na iwe funzo kwa viherehere wengine wanaopendapenda kusogelea wakubwa bila kujali itifaki
🤣🤣🤣Soon atapewa ubalozi wa makampuni
Ova
Aah! Alikuwa hajajiandaa bhana -ameshtukizwa. Mwambie jamaa arudie tena aone kama malafyale ataanguka kizembe hivyo.Umeniangusha port yaani kofi tu umeanguka kama mgomba wa wa matoki kule kk tukuyu.Pole Mwakanyamale mweeh!
Lakini kasema amesamehe shida yake ilikuwa kuaga tuu..Jina lake halisi ni Benedict Michael Mwakanyamale, lakini wengi katika Jiji la Arusha hasa eneo la Mbauda wanapenda kumuita Chuma. Huyu ndiye muombolezaji aliyeshambuliwa kwa kupigwa ngumi ya uso na mmoja wa watu walionekana kama ni walinzi waliokuwa wakilinda msafara uliobeba mwili wa Waziri Mkuu mstaafu, hayati Edward Lowassa.
“Yalikuwa ni mapenzi tu kwa baba yetu Lowassa,” haya ni maneno ya Benedict Michael Mwakanyamale (43), aliyeshambuliwa jana kwa kupigwa ngumi wakati akiomboleza msiba wa Waziri Mkuu mstaafu, hayati Edward Lowassa.
“Mimi ni mkazi wa hapa Mbauda na hadi kutoka pale barabarani yalikuwa ni mapenzi tu kwa baba yetu tukitaka kumpa heshima za mwisho baada ya kutupambania sana vijana enzi ya uhai wake. Lakini, badala yake nikaambulia kofi la kwenye taya. Kwa sasa najiandaa kwenda Ngarash kushiriki mazishi yake, ili kumpa heshima anayostahili,” amesema Chuma.
“Yaani kupigwa kwangu hakuzuii kabisa kwenda msibani maana sijaumia hivyo, hainikatishi tamaa na hii ni falsafa yetu makamanda wote majasiri, lazima niende msibani kutoa heshima za mwisho kwa mzee wetu,” ameongeza
Source: Mwananchi