Aliyepigwa ngumi akiomboleza msiba wa Lowassa kutua Monduli

Daaaa! Mie hii ngumi nimeiangalia zaidi ya mara Tano. Yule mlinzi alipeleka ngumi nzito na Jamaa aliyepigwa alidondoka kama anakwenda kukata moto kabisa Hadi yule mlinzi ikabidi ageuke nyuma kuona kama Jamaa kavuta mazima
 
Huyo jamaa Kama Ana umri Wa 43 yrs basi anabidi kujitafakari Sana .

Hiyo ni Kama weak up call ya kujifanyia self-evaluation
 
Huyo jamaa Kama Ana umri Wa 43 yrs basi anabidi kujitafakari Sana .

Hiyo ni Kama weak up call ya kujifanyia self-evaluation
weak up call?? Au ulikusudia WAKE UP CALL? Ni hayo tu mkuu.
 
WaTz hawana kazi ndio maana wanajazana kwenye shughuli hizi!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
WaTz hawana kazi ndio maana wanajazana kwenye shughuli hizi!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Sio kweli. Ukizingatia Tukio kama hili hutokea kwa nadra sana, watu wengi hupenda kwenda kushuhudia live. Lakini pia nakubaliana na wewe kwani hii nayo huenda ikawa ni fursa.
 
Wakubwa ni akina nani?
 
Umeniangusha port yaani kofi tu umeanguka kama mgomba wa wa matoki kule kk tukuyu.Pole Mwakanyamale mweeh!
 
Umeniangusha port yaani kofi tu umeanguka kama mgomba wa wa matoki kule kk tukuyu.Pole Mwakanyamale mweeh!
Aah! Alikuwa hajajiandaa bhana -ameshtukizwa. Mwambie jamaa arudie tena aone kama malafyale ataanguka kizembe hivyo.
 
Lakini kasema amesamehe shida yake ilikuwa kuaga tuu..
Kwa ile sura hata kama ni wewe mlinzi usingemuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…