dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ingekuta mm pange chimbika walai lzm msafara ule ungesimama kuona mkono ukipigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa aisee, watu wote wale wameenda kuona jeneza tu aiseeWatanzania wengi hatuna issue za kufanya. Hana issue zake huyo
View: https://www.youtube.com/watch?v=Vv05HyuOlkE
Naona tofauti kubwa kwenye shughuli ya kuuaga mwili wa Lowassa, kuna wanaotoa heshima na wanaopita kando ya mwili wa marehemu
Bangiiii hizo na visunguratena kasema yuko fiti yeye ni mwanaharakati🤣
Wamezidi viherehereSiku nyingine msiende wacheni na misiba yao, pengine nyie haiwahusu mwajipendekeza
Acha kamba, jamaa yuko Kijijini kwa Lowasa nimemuona anafuna nyama, yuko njema kabisa. Yule mlinzi ni hovyo kabisa na inafaa afukuzwe kazi, hajui kabisa taaluma yake. Tumeshawahi kuona Kijana alimpiga mzee Mwinyi kibao lakini alidakwa vizuri tuu bila purukushani na walinzi. Pia tuliona yule jamaa aliyemrushia rais Bush wa Marekani viatu, yaani kiatu cha kwanza, then cha pili (Bush naye commando maana alikwepa vyote hahaaaa) but walinzi walim contain vizuri tuu.ile ilikuwa proffessional attack
nasikia jamaa katangulia
Maiti ya waziri mkuu mstaafu/aliye jiuzuru🤣🤣🤣🤣Kinacholindwa ni nini?
Hiyo ya Mtwara ya mapolisi kuuana sijaisikia!Binafsi nina roho ya Musa, nachukia uonevu hata kama huo uonevu sijafanyiwa Mimi.
Yule mtu ana mapungufu ya akili , maana mtu mwenye akili timamu asingeweza kuvamia msafara ambao uko na limited time.
Yule mlinzi analipwa na fedha za umma kulinda Watanzania kwa njia moja ama nyingine.
Yaani mpaka aliyemfurumishia gumi la kanzola alipaswa kumlinda.
Alipaswa amsukume kisha mambo mengine yangeendelea kama kawaida.
Sasa innocent citizen anafanyiwa vile. Too sad.
Mimi najua maana ya ulinzi.
Najua hatua za kuchukua kulingana na mazingira, kwa mazingira yale hakupaswa kumsweka Mtanzania mwenzake ngumi ile.
Alilolifanya yule kijana leo ni sawa na walichofanya polisi wa Mtwara huko majuzi, kibaka alikuwa anawatoroka wakataka kumuua kwa risasi, bahati nzuri risasi ilamuua mkuu wa kituo bwana Inspekta. Nasema bahati nzuri kwasababu walitaka kutenda jambo la kijinga. Unamuuaje kibaka wa debe la mahindi au kuku?
View attachment 2905101
Kanzola ndio kiswahili cha kileo, okay, sikujua.Gumi la kanzola achana nalo, ni ngumi wanaitumia sana polisi wa msumbiji.
Wwliuana baada ya risasi iliyotaka kutoa roho mwizi wa mahindi debe moja kukata kona na kumlamba bwana afandeHiyo ya Mtwara ya mapolisi kuuana sijaisikia!