Aliyepigwa ngumi hana akili na mpiga ngumi ni tahira

Aliyepigwa ngumi hana akili na mpiga ngumi ni tahira

Ingekuta mm pange chimbika walai lzm msafara ule ungesimama kuona mkono ukipigwa
 
Siku nyingine msiende wacheni na misiba yao, pengine nyie haiwahusu mwajipendekeza
 
ile ilikuwa proffessional attack
nasikia jamaa katangulia
Acha kamba, jamaa yuko Kijijini kwa Lowasa nimemuona anafuna nyama, yuko njema kabisa. Yule mlinzi ni hovyo kabisa na inafaa afukuzwe kazi, hajui kabisa taaluma yake. Tumeshawahi kuona Kijana alimpiga mzee Mwinyi kibao lakini alidakwa vizuri tuu bila purukushani na walinzi. Pia tuliona yule jamaa aliyemrushia rais Bush wa Marekani viatu, yaani kiatu cha kwanza, then cha pili (Bush naye commando maana alikwepa vyote hahaaaa) but walinzi walim contain vizuri tuu.
 
Binafsi nina roho ya Musa, nachukia uonevu hata kama huo uonevu sijafanyiwa Mimi.

Yule mtu ana mapungufu ya akili , maana mtu mwenye akili timamu asingeweza kuvamia msafara ambao uko na limited time.

Yule mlinzi analipwa na fedha za umma kulinda Watanzania kwa njia moja ama nyingine.

Yaani mpaka aliyemfurumishia gumi la kanzola alipaswa kumlinda.

Alipaswa amsukume kisha mambo mengine yangeendelea kama kawaida.

Sasa innocent citizen anafanyiwa vile. Too sad.

Mimi najua maana ya ulinzi.

Najua hatua za kuchukua kulingana na mazingira, kwa mazingira yale hakupaswa kumsweka Mtanzania mwenzake ngumi ile.

Alilolifanya yule kijana leo ni sawa na walichofanya polisi wa Mtwara huko majuzi, kibaka alikuwa anawatoroka wakataka kumuua kwa risasi, bahati nzuri risasi ilamuua mkuu wa kituo bwana Inspekta. Nasema bahati nzuri kwasababu walitaka kutenda jambo la kijinga. Unamuuaje kibaka wa debe la mahindi au kuku?
View attachment 2905101
Hiyo ya Mtwara ya mapolisi kuuana sijaisikia!
 
Gumi la kanzola achana nalo, ni ngumi wanaitumia sana polisi wa msumbiji.
Kanzola ndio kiswahili cha kileo, okay, sikujua.

basi kwa Kiingereza hilo gumi linaitwa sucker punch

sucker punch,
ni shambulio la kikuda lisilo na taarifa kwa mwenzio kwamba sasa tunachapana

linatumiwa na mashoga wasiojiamini kusimama uso kwa uso piga nikupige

lingekuwa ni gumi la maana usingesema linatumiwa na polisi wa Msumbiji, third world la mwisho duniani ambako polisi wamezoea kuonea raia wasio na silaha, akitokea mwamba mwenzao kama gaidi wa Capo Delgado majeshi ya nchi hizi huwa yanatolewa kamasi na kuishia kuomba msaada Rwanda, of all the places
 
Kibaka ata wa sindano ni wa kuua tena kikatili.
 
Back
Top Bottom