Pre GE2025 Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama

Pre GE2025 Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimecheka kwa nguvu vibaya sana. Ccm demokrasia kwao ni jambo wanalazimisha, na hakuna kitu kimewauma kama uchaguzi wa kidemokrasia ya kweli ya uchaguzi wa cdm juzi. Na huyo mwanachama ajiandae kuhujumiwa shughuli yake ya kumuingizia kipato.
Mkutano mkuu wa CCM una mamlaka ya kuamua juu ya mgombea Urais wao!! Harakati Za kitoto zinatia aibu!
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.

Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.

Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.

Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Masisiyemu hayana akili
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.

Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.

Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.

Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
NIMEFURAHISHWA SANA KWA JINSI ALIVYOTIMULIWA NA CHAMA, HUU NI UTOVU WA NIDHAMU KWA VIONGOZI WAKUU WA CHAMA NA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU, NIMEFURAHI NA PEPSI BARIDI IMENIHUSU KWA FURAHA, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
N. B/ WARNING, Yeyote atakayejaribu kidhihaki vikao na maamuzi ya mkutano mkuu, +halmashauri kuu, CCM WILL QUIT NO MATTER WHO IS WHO!
 
NIMEFURAHISHWA SANA KWA JINSI ALIVYOTIMULIWA NA CHAMA, HUU NI UTOVU WA NIDHAMU KWA VIONGOZI WAKUU WA CHAMA NA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU, NIMEFURAHI NA PEPSI BARIDI IMENIHUSU KWA FURAHA, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
N. B, Yeyote atakayejaribu kidhihaki vikao na maamuzi ya mkutano mkuu, +halmashauri kuu, CCM WILL QUIT NO MATTER WHO IS WHO!
NIMEFURAHISHWA SANA KWA JINSI ALIVYOTIMULIWA NA CHAMA, HUU NI UTOVU WA NIDHAMU KWA VIONGOZI WAKUU WA CHAMA NA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU, NIMEFURAHI NA PEPSI BARIDI IMENIHUSU KWA FURAHA, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
N. B, Yeyote atakayejaribu kidhihaki vikao na maamuzi ya mkutano mkuu, +halmashauri kuu, CCM WILL QUIT NO MATTER WHO IS WHO!
Umefurahishwa Sana eehh!

Rejea Mafunzo ya Manabii wa kale,

Mithali 29 : 1- 2

Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.
 

Attachments

  • 5777675-245a16d1a646e1c5265c1678e4e73a60.mp4
    1.4 MB
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.

Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.

Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.

Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Ccm hamna chama pale, kiko radhi kufukuza akili kubwa ili wabaki na vilaza (machawa)
 
Back
Top Bottom