Pre GE2025 Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama

Pre GE2025 Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mfuatano wa matukio haukufuatwa kikatiba!
Ratiba haipangwi na katiba! Watanzania acheni ujuaji wa kipumbavu!! Mjumbe yeyoye wa mkutano mkuu anayo mamlaka kikatiba wa kutoa hoja au ajenda mbele ya mkutano mkuu mkuu ijadiliwe na kukubaliwa na wajumbe. Alichofanya Adam kimbisa kilikua halali kwa mujibu wa katiba yao.
 
Ratiba haipangwi na katiba! Watanzania acheni ujuaji wa kipumbavu!! Mjumbe yeyoye wa mkutano mkuu anayo mamlaka kikatiba wa kutoa hoja au ajenda mbele ya mkutano mkuu mkuu ijadiliwe na kukubaliwa na wajumbe. Alichofanya Adam kimbisa kilikua halali kwa mujibu wa katiba yao.
Kama mambo yamewekewa utaratibu wake kikatiba ni lazima kwanza mkutano Mkuu utengue kifungu/vifungu husika vya Katiba na kufanya hayo maamuzi yaliyo kinyume cha kifungu/vifungu husika vya Katiba.
 
Kama mambo yamewekewa utaratibu wake kikatiba ni lazima kwanza mkutano Mkuu utengue kifungu/vifungu husika vya Katiba na kufanya hayo maamuzi yaliyo kinyume cha kifungu/vifungu husika vya Katiba.
Kipi kimefanyika kinyume? Mkutano mkuu umeamua Samia agombee kifuatacho ni kukamilisha procedures tu!! Si Tanzania tu hata huko duniani ilikokomaa demokrasia sitting president huwa na direct ticket ya kugombea awamu ya pili!! Someni kabla ya kuja na lawama zenu zilizojaa utoto, upumbavu na unyani.
 
Kipi kimefanyika kinyume? Mkutano mkuu umeamua Samia agombee kifuatacho ni kukamilisha procedures tu!! Si Tanzania tu hata huko duniani ilikokomaa demokrasia sitting president huwa na direct ticket ya kugombea awamu ya pili!!
Kuna tatizo la kiufundi CCM mnajifanya hamlioni. Kwanza Urais wa Samia hautokani na Samia kuchaguliwa na Wana CCM wenzie kuwa mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2020.

Kwa ivo Samia Hana sifa ya kuitwa Rais aliyeechuguliwa anatakiwa aendelee kugombea mhula mwingine bila ya kupata mpinzani.

Wana CCM walimchagua John Magufuli ambaye yeye ndiye alimpendekeza Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza wake.

Kwa ivo Samia hana sifa mnayosema anayo.

Halafu mkutano Mkuu hauna mamlaka yoyote ile ya kuvunja Katiba Kwa kuacha kufuata kifungu chochote kile cha Katiba.
 
Kuna tatizo la kiufundi CCM mnajifanya hamlioni. Kwanza Urais wa Samia hautokani na Samia kuchaguliwa na Wana CCM wenzie kuwa mgombea wao kwenye uchaguzi wa mwaka 2020.

Kwa ivo Samia Hana sifa ya kuitwa Rais aliyeechuguliwa anatakiwa aendelee kugombea mhula mwingine bila ya kupata mpinzani.

Wana CCM walimchagua John Magufuli ambaye yeye ndiye alimpendekeza Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza wake.

Kwa ivo Samia hana sifa mnayosema anayo.

Halafu mkutano Mkuu hauna mamlaka yoyote ile ya kuvunja Katiba Kwa kuacha kufuata kifungu chochote kile cha Katiba.
Unaelewa maana ya mgombea mwenza?
 
Unaelewa maana ya mgombea mwenza?
Mgombea mwenza siyo mgombea Urais. Hapo wewe huoni kama Kuna utofauti?

Mgombea Urais huchaguliwa na wajumbe wa mkutano Mkuu wakati mgombea mwenza huteuliwa na mgombea Urais aliyechaguliwa na mkutano Mkuu.

Kwa maana nyingine mgombea mwenza Hana mkataba na mkutano Mkuu. Samia hajawahi kuchaguliwa na wajumbe wa mkutano Mkuu wa CCM kuwa mgombea wao wa Urais.
 
Back
Top Bottom