Citizen_37
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 957
- 1,124
Malisa apongezwe kwa uthubutu, wengi wamo humo chamani wanagugumia chini kwa chini!!!Jambo kubwa la kushukuru Mungu ni kwamba Mtu huyo yuko hai angalau hadi muda huu
Taarifa Kamili hii hapa
View attachment 3231889View attachment 3231890
Kipengele cha kufukuzwa ndio kimetumikaWangemjibu kwa vipengele vya Katiba pekee wangepungukiwa nini?
Hajaitwa hata kusikilizwa ni moja kwa moja amefuta, bora wamemfuta pekee wangeweza kumteka kabisaWangemjibu kwa vipengele vya Katiba pekee wangepungukiwa nini?
Hapo ni ndiyo mzee pekee ndiyo inatakiwaNi haki yake kuuliza, imekuwaje? Au ni hofu kuwa atawaamsha waliolala?
Wanaongopa kufukuzwa na kutekwaMalisa apongezwe kwa uthubutu, wengi wamo humo chamani wanagugumia chini kwa chini!!!
Mbaya zaidi hata hajasikilizwaBasi ingekuwa ni chadema wamefukuza mwanachama kama hivyo, makelele yangekuwa ni kila Kona
Mkutano mkuu wa CCM una mamlaka ya kuamua juu ya mgombea Urais wao!! Harakati Za kitoto zinatia aibu!Nimecheka kwa nguvu vibaya sana. Ccm demokrasia kwao ni jambo wanalazimisha, na hakuna kitu kimewauma kama uchaguzi wa kidemokrasia ya kweli ya uchaguzi wa cdm juzi. Na huyo mwanachama ajiandae kuhujumiwa shughuli yake ya kumuingizia kipato.
Masisiyemu hayana akiliChama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.
Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.
Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.
Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.
Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Ilikuwa muda muafaka? Najua maumivu uliyo nayo.Mkutano mkuu wa CCM una mamlaka ya kuamua juu ya mgombea Urais wao!! Harakati Za kitoto zinatia aibu!
NIMEFURAHISHWA SANA KWA JINSI ALIVYOTIMULIWA NA CHAMA, HUU NI UTOVU WA NIDHAMU KWA VIONGOZI WAKUU WA CHAMA NA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU, NIMEFURAHI NA PEPSI BARIDI IMENIHUSU KWA FURAHA, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.
Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.
Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.
Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.
Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Unajua huwa najiuliza sana hizi video huwa hawazioni tena mbaya zaidi wengine walikuwepo kabisa huwa nahisi wanatudharau sana.Wamsikilize Mwl. J. K. Nyerere hapa.
Mamlaka anayo Mungu, The Almighty, pekee mkuu. Hawa wengine ni watu tu kama mimi na wewe, sema hujiona ni miungu watu na kupenda kunyenyekewa.Ndio kilichokuwa kinafuata, ukihoji tu mamlaka, even if zinavunja katiba au sheria.
Huyu anachuki za udini tuJambo kubwa la kushukuru Mungu ni kwamba Mtu huyo yuko hai angalau hadi muda huu
Taarifa Kamili hii hapa
View attachment 3231889View attachment 3231890
Sikio la kufa huwa halisikii dawa.Unajua huwa najiuliza sana hizi video huwa hawazioni tena mbaya zaidi wengine walikuwepo kabisa huwa nahisi wanatudharau sana.
NIMEFURAHISHWA SANA KWA JINSI ALIVYOTIMULIWA NA CHAMA, HUU NI UTOVU WA NIDHAMU KWA VIONGOZI WAKUU WA CHAMA NA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU, NIMEFURAHI NA PEPSI BARIDI IMENIHUSU KWA FURAHA, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
N. B, Yeyote atakayejaribu kidhihaki vikao na maamuzi ya mkutano mkuu, +halmashauri kuu, CCM WILL QUIT NO MATTER WHO IS WHO!
Umefurahishwa Sana eehh!NIMEFURAHISHWA SANA KWA JINSI ALIVYOTIMULIWA NA CHAMA, HUU NI UTOVU WA NIDHAMU KWA VIONGOZI WAKUU WA CHAMA NA KAMATI KUU NA HALMASHAURI KUU, NIMEFURAHI NA PEPSI BARIDI IMENIHUSU KWA FURAHA, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
N. B, Yeyote atakayejaribu kidhihaki vikao na maamuzi ya mkutano mkuu, +halmashauri kuu, CCM WILL QUIT NO MATTER WHO IS WHO!
Bado unadhihirisha utoto wa Hali ya juu sana hivi mtu kweli atakua na maumivu juu ya chama cha siasa tena cha upinzani?Ilikuwa muda muafaka? Najua maumivu uliyo nayo.
Ccm hamna chama pale, kiko radhi kufukuza akili kubwa ili wabaki na vilaza (machawa)Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.
Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.
Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.
Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.
Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025