Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimezipokea mrembo shukrani
Hi baby gal
Mare speculation, hujaweka ushahidi!Diamond anajua kujitengenezea Matukio ili kuzidi ku trend. Hata tukio la kuporwa kofia juzi ni la kutengeneza. Ukiangalia uchukuaji wa video utagundua ni movie tu, yaani pale alikosekana tu yule anayesema " Action!!!". Na hata baada ya Diamond kuingia ndani ya gari nakuanza kuchukuliwa video utamuona anapoongea na kulalamika alionekana kumuangalia mchukuwa video kwa kuibiaibia halafu anafoka na kumuelekeza Onesmo kuhakikisha anarudi na kofia ile.
Japo amefanikiwa na ime trend sana.
Najipongeza kwa kuwa nipo katika kundi dogo sana la watu makini wasiodanganyika kirahisi.
Ndio kitu gani hiko ?You are the low latent inhibition person!!!
yaaan kile kitendo cha kuliangalia jambo fulani kwa undani zaidi yaani muda si mrefu utakua giniazi ha ha ha ha!!!Ndio kitu gani hiko ?
Haiwahusu wewe na nani?Inawezekana ila!haituhusu
Na watanzaniabHaiwahusu wewe na nani?
I miss u my dear sweety candyHi baby gal
Muhuni, mnyonyaji, kupe! Inakuwaje anamhujumu Konde boy. Very soon atakuwa desperate na he will come down kwa kila kitu. Konde boy alichokifanya kama jeshi kweli ana moyo sana wa utu. Diamond chawa wamemharibia sana na yeye hakutumia akili. Idiot kabisaDiamond anajua kujitengenezea Matukio ili kuzidi ku trend. Hata tukio la kuporwa kofia juzi ni la kutengeneza. Ukiangalia uchukuaji wa video utagundua ni movie tu, yaani pale alikosekana tu yule anayesema " Action!!!". Na hata baada ya Diamond kuingia ndani ya gari nakuanza kuchukuliwa video utamuona anapoongea na kulalamika alionekana kumuangalia mchukuwa video kwa kuibiaibia halafu anafoka na kumuelekeza Onesmo kuhakikisha anarudi na kofia ile.
Japo amefanikiwa na ime trend sana.
Najipongeza kwa kuwa nipo katika kundi dogo sana la watu makini wasiodanganyika kirahisi.
It needs Big Brain. For normal Brain you will never notice the CODED DRAMAMare speculation, hujaweka ushahidi!
Alikuwa anazima kelele na trend za gigy money😂😂Diamond anajua kujitengenezea Matukio ili kuzidi ku trend. Hata tukio la kuporwa kofia juzi ni la kutengeneza. Ukiangalia uchukuaji wa video utagundua ni movie tu, yaani pale alikosekana tu yule anayesema " Action!!!". Na hata baada ya Diamond kuingia ndani ya gari nakuanza kuchukuliwa video utamuona anapoongea na kulalamika alionekana kumuangalia mchukuwa video kwa kuibiaibia halafu anafoka na kumuelekeza Onesmo kuhakikisha anarudi na kofia ile.
Japo amefanikiwa na ime trend sana.
Najipongeza kwa kuwa nipo katika kundi dogo sana la watu makini wasiodanganyika kirahisi
Mbona tulishamshitukia kitambo, dogo anapenda kuzungumzwa na bahati mbaya asilimia kubwa ya mashabiki wake ni mazwazwa waaminio kila ujinga aufanyao kuwa ni maajabu. Wahenga walisema, wajinga waliwao.Diamond anajua kujitengenezea Matukio ili kuzidi ku trend. Hata tukio la kuporwa kofia juzi ni la kutengeneza. Ukiangalia uchukuaji wa video utagundua ni movie tu, yaani pale alikosekana tu yule anayesema " Action!!!". Na hata baada ya Diamond kuingia ndani ya gari nakuanza kuchukuliwa video utamuona anapoongea na kulalamika alionekana kumuangalia mchukuwa video kwa kuibiaibia halafu anafoka na kumuelekeza Onesmo kuhakikisha anarudi na kofia ile.
Japo amefanikiwa na ime trend sana.
Najipongeza kwa kuwa nipo katika kundi dogo sana la watu makini wasiodanganyika kirahisi.