Aliyepora Kofia aliandaliwa na Diamond Mwenyewe

Aliyepora Kofia aliandaliwa na Diamond Mwenyewe

Muhuni, mnyonyaji, kupe! Inakuwaje anamhujumu Konde boy. Very soon atakuwa desperate na he will come down kwa kila kitu. Konde boy alichokifanya kama jeshi kweli ana moyo sana wa utu. Diamond chawa wamemharibia sana na yeye hakutumia akili. Idiot kabisa
Konde boy kahujumiwa nini?
 
Na kikawaida huwezi kuibiwa kofia kwenye umati ukaipata.

Alivuliwa cheni Mtwara na hakumaindi itakuwa kofia? Au kofia ina gharama kuliko cheni?
 
Ushuzi mtupu!
Yaan bongo UJUAJI mwingi
Ushamba, ujinga, chuki, wivu, umaku,
Ndy maana umasikini ni mwingi
Sasa hapo unajisifu huwezi kudanganyika alafu unajidanganya mwenyewe,
Kweli akili ni nywele lakini sio Kila nywele ni akili, mengine ni mavuzi mkuu.
 
Kweli bongo tumeachiwa Ujinga. Yaani we mbwiga eti unajipongeza kwa kutokudanganyika na na kitu hicho kisicho na maana yoyote ktk maisha yako?. Unaanzisha na Uzi eti unajipongeza....! Daah...! Nimejisikia aibu
 
Kweli bongo tumeachiwa Ujinga. Yaani we mbwiga eti unajipongeza kwa kutokudanganyika na na kitu hicho kisicho na maana yoyote ktk maisha yako?. Unaanzisha na Uzi eti unajipongeza....! Daah...! Nimejisikia aibu
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom