Aliyepora Kofia aliandaliwa na Diamond Mwenyewe

Mare speculation, hujaweka ushahidi!
 
Muhuni, mnyonyaji, kupe! Inakuwaje anamhujumu Konde boy. Very soon atakuwa desperate na he will come down kwa kila kitu. Konde boy alichokifanya kama jeshi kweli ana moyo sana wa utu. Diamond chawa wamemharibia sana na yeye hakutumia akili. Idiot kabisa
 
Halafu ki kofia chenyewe dollar 20, Eti mmiliki wa ndege., kumbe ndege yenyewe kakodisha tu.Ngozi nyeusi tuna shida sana ndio maana wanatuona manyani yaliochangamka πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Aiji
Alikuwa anazima kelele na trend za gigy moneyπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona tulishamshitukia kitambo, dogo anapenda kuzungumzwa na bahati mbaya asilimia kubwa ya mashabiki wake ni mazwazwa waaminio kila ujinga aufanyao kuwa ni maajabu. Wahenga walisema, wajinga waliwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…