Pamoja na hayo ni rare cases kwa mwananchi wa kawaida ambaye hajihusishi na ulinzi na usalama kujinunulia pingu wakati makofuli yamekaa madukani.Mkuu ina maana haujui kuwa pingu ni bidhaa inayouzwa hata kwa raia?. Nenda maduka ya silaha na vifaa vya ulinzi utazikuta tena bei ya kawaida tu.
Heee!!!Unavyojiamini sasa, tangu lini CCTV ikatoa Sauti.
Awekewe ulinzi, ikibidi aende nje ya Nchi kutulia kidogo maana KAZI yake ni ya kutukuka.Aliyerekodi ni mfanyakazi wa hiyo bar ,sijui hoteli. Na ni maagizo alopewa arekodi na boss wake kwa ajili ya matumizi ya baadaye maana hilo tukio alikuanzia hapo,, lilianzia ndani ya uzio wa hiyo hoteli. Kwa hiyo bonge akavutana nao hadi kwenye gari ilopakiwa nyuma ya geti la uani.
Upo Dunia ya wapi mkuu alokwambia CCTV camera hazitoki sauti nani..ingia hapo google utazikuta zinachukua picha na video hata kukiwa na Giza na mvua Totoro na sautiUnavyojiamini sasa, tangu lini CCTV ikatoa Sauti.
OkaySalaam, Shalom!
Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.
Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.
- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.
Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.
Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,
What comes around, goes around.
Mungu Mbariki mpiga picha.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Bila kutafuna maneno, moja kwa Moja hao waliohusika na tukio hili ni Mawakala wa TISS, watu wa Abduction Squad. That's why unaona kwamba hata Polisi nao wameshikwa na ganzi katika kushugulikia suala hili.Pamoja na hayo ni rare cases kwa mwananchi wa kawaida ambaye hajihusishi na ulinzi na usalama kujinunulia pingu wakati makofuli yamekaa madukani.
Lazima Kuna namna ambayo mnunuzi anadhamiria Kwa ajili ya security purpose! Kwenye Clip rejea neno "gogoni"
---------------Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana
hao sio askari bro ni wahuni tuNi vile hao askari ni division zero, wangekuww wako makini huyo aliyerekodi aidha wangeondoka na yeye au hiyo simu yake!!
Ndio hapo sasa ushangaeHuyo deo bonge ni nani na anajishugulisha na nini!
Au naye mwanaharakati
Ova
Duka la silaha huko sea cliff wanauza pinguPingu zinauzwa wapi wewe hayawani?
Kaingia mitini kivipi wakati kwa millard yupo kahojiwa?Ndio hapo sasa ushangae
Hii mimi naona ilikuwa shoo ya tiktok, ila imebumburuka
Maana hata huyo mtekwa bonge kaiingia mitini kuogopa soo.....
Wewe ndo division 0.kwa haya maelezo ya kipumbavu na kijinga uliyotoaNi vile hao askari ni division zero, wangekuww wako makini huyo aliyerekodi aidha wangeondoka na yeye au hiyo simu yake!!
Nyie ndo mnasababisha Tanzania tuitwe "BONGOLALA"Alama ya tattoo kwenye mkono wa mmoja wa washukiwa yadhihirisha hawa ni polisi wa "mchongo".
Tatizo ni kwamba wenye akili wamekaa kimya hawachukui hatua ikiwemo kulishitaki jeshi la polisi kwa kushindwa kusimamiwa usalama wa raia na kuishia kuwa na "uchunguzi unaendelea"Bila kutafuna maneno, moja kwa Moja hao waliohusika na tukio hili ni Mawakala wa TISS, watu wa Abduction Squad. That's why unaona kwamba hata Polisi nao wameshikwa na ganzi katika kushugulikia suala hili.
Nashangaa hadi leo eti hajawahi kuona askari mwenye tatoo, mimi nishaona hadi mwenye rastaNyie ndo mnasababisha Tanzania tuitwe "BONGOLALA"
Huyo no 2 anavuta ndumu. Sisi ma FBI wa mtaa tunajua sign za mvutaji.Hakika Mpiga Picha apewe Maua yake. Jamaa hatimaye wamejulikana