Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Mkuu ina maana haujui kuwa pingu ni bidhaa inayouzwa hata kwa raia?. Nenda maduka ya silaha na vifaa vya ulinzi utazikuta tena bei ya kawaida tu.
Pamoja na hayo ni rare cases kwa mwananchi wa kawaida ambaye hajihusishi na ulinzi na usalama kujinunulia pingu wakati makofuli yamekaa madukani.
Lazima Kuna namna ambayo mnunuzi anadhamiria Kwa ajili ya security purpose! Kwenye Clip rejea neno "gogoni"
 
Awekewe ulinzi, ikibidi aende nje ya Nchi kutulia kidogo maana KAZI yake ni ya kutukuka.
 
Unavyojiamini sasa, tangu lini CCTV ikatoa Sauti.
Upo Dunia ya wapi mkuu alokwambia CCTV camera hazitoki sauti nani..ingia hapo google utazikuta zinachukua picha na video hata kukiwa na Giza na mvua Totoro na sauti
 
Okay
 
Bila kutafuna maneno, moja kwa Moja hao waliohusika na tukio hili ni Mawakala wa TISS, watu wa Abduction Squad. That's why unaona kwamba hata Polisi nao wameshikwa na ganzi katika kushugulikia suala hili.
 
Huyo deo bonge ni nani na anajishugulisha na nini!
Au naye mwanaharakati

Ova
Ndio hapo sasa ushangae
Hii mimi naona ilikuwa shoo ya tiktok, ila imebumburuka
Maana hata huyo mtekwa bonge kaiingia mitini kuogopa soo.....
 
Ndio hapo sasa ushangae
Hii mimi naona ilikuwa shoo ya tiktok, ila imebumburuka
Maana hata huyo mtekwa bonge kaiingia mitini kuogopa soo.....
Kaingia mitini kivipi wakati kwa millard yupo kahojiwa?
 
Bila kutafuna maneno, moja kwa Moja hao waliohusika na tukio hili ni Mawakala wa TISS, watu wa Abduction Squad. That's why unaona kwamba hata Polisi nao wameshikwa na ganzi katika kushugulikia suala hili.
Tatizo ni kwamba wenye akili wamekaa kimya hawachukui hatua ikiwemo kulishitaki jeshi la polisi kwa kushindwa kusimamiwa usalama wa raia na kuishia kuwa na "uchunguzi unaendelea"
 
Hakika Mpiga Picha apewe Maua yake. Jamaa hatimaye wamejulikana
Huyo no 2 anavuta ndumu. Sisi ma FBI wa mtaa tunajua sign za mvutaji.
Hawa jamaa wanatumwa kwa ujira mdogo sana sio hata wa kutoboa maisha. Hivi wanaweza kupewa hata mil 10 kila mtu kweli ? Au ndio njaa chochote wanachukua.
Wafanya biashara wakodishe mafia wawafanye kitu kibaya hawa jamaa.
Nchi yeyu sijui kwa nini haina MAFIA wa mtaa kama South Africa au USA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…