Aliyerekodi video akieleza amepewa bahasha yenye Tsh. 5,000 huko Kizimkazi asibughuziwe, kama mamlaka zina ushahidi kadanganya waseme

Aliyerekodi video akieleza amepewa bahasha yenye Tsh. 5,000 huko Kizimkazi asibughuziwe, kama mamlaka zina ushahidi kadanganya waseme

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kuna clip inasambaa kwamba wananchi wameitwa kwa Mhe. Rais huko Zanzibar kupewa zawadi ya Idd, mmoja wa wananchi hao ameonyesha kukerwa na kitendo cha kupewa bahasha yenye Tsh. 5,000 akidai hata gharama alizotumia kufuata hiyo elfu tano ni kubwa.

Kwa mfumo tulionao usishangae akakamatwa kwa kueleza uhalisia japo hakuna sheria ya nchi iliyovunjwa. Nachukua fursa hii kuwaomba vyombo vya dola badala ya kuangaika na huyu aliyesema ukweli wahangaike na aliyeweka elfu 5 kwenye bahasha. Naamini kuna upigaji mkubwa kwenye zoezi hili na hapo ndipo utabaini kwenye pesa hata imani zinatingishwa.

Lakini tujiulize huu utamaduni wakutoa pesa ulikuwepo au umetokea kuelekea uchaguzi? Sheria ya kupambana na rushwa nchini inasemaje? Kama ipo kimya haiwekzekana watu wakaanza kugawa fedha kwa wananchi kama ilivyokuwa kipindi cha JK? Kama wakigawa wanazitoa wapi? Je, mfumo mkuu wa hazina utakuwa salama?

==

Pia soma

Zanzibar: Wadaiwa kuitwa Mgogoni kwa Rais Samia na kupewa msaada wa Tsh. 5,000
 
Kuna clip inasambaa kwamba wananchi wameitwa kwa Mhe. Rais huko Zanzibar kupewa zawadi ya Idd, mmoja wa wananchi hao ameonyesha kukerwa na kitendo cha kupewa bahasha yenye shs elfu tano akidai hata gharama alizotumia kufuata hiyo elfu tano ni kubwa.

Kwa mfumo tulionao usishangae akakamatwa kwa kueleza uhalisia japo hakuna sheria ya nchi iliyovunjwa. Nachukua fursa hii kuwaomba vyombo vya dola badala ya kuangaika na huyu aliyesema ukweli wahangaike na aliyeweka elfu 5 kwenye bahasha. Naamini kuna upigaji mkubwa kwenye zoezi hili na hapo ndipo utabaini kwenye pesa hata imani zinatingishwa.

Lakini tujiulize huu utamaduni wakutoa pesa ulikuwepo au umetokea kuelekea uchaguzi? Sheria yakupambana na rushwa nchini inasemaje? Kama ipo kimya haiwekzekana watu wakaanza kugawa fedha kwa wananchi kama ilivyokuwa kipindi cha JK? Kama wakigawa wanazitoa wapi? Je mfumo mkuu wa hazina utakuwa salama ?
Hahah
 
Kuna clip inasambaa kwamba wananchi wameitwa kwa Mhe. Rais huko Zanzibar kupewa zawadi ya Idd, mmoja wa wananchi hao ameonyesha kukerwa na kitendo cha kupewa bahasha yenye shs elfu tano akidai hata gharama alizotumia kufuata hiyo elfu tano ni kubwa.

Kwa mfumo tulionao usishangae akakamatwa kwa kueleza uhalisia japo hakuna sheria ya nchi iliyovunjwa. Nachukua fursa hii kuwaomba vyombo vya dola badala ya kuangaika na huyu aliyesema ukweli wahangaike na aliyeweka elfu 5 kwenye bahasha. Naamini kuna upigaji mkubwa kwenye zoezi hili na hapo ndipo utabaini kwenye pesa hata imani zinatingishwa.

Lakini tujiulize huu utamaduni wakutoa pesa ulikuwepo au umetokea kuelekea uchaguzi? Sheria yakupambana na rushwa nchini inasemaje? Kama ipo kimya haiwekzekana watu wakaanza kugawa fedha kwa wananchi kama ilivyokuwa kipindi cha JK? Kama wakigawa wanazitoa wapi? Je mfumo mkuu wa hazina utakuwa salama ?
Vyombo vya ulinzi ulitakiwa uviamuru na siyo kuviomba.
 
Na huyo aliye lalamika nilimshangaa sana. Yani mtu nimpe Maokoto ya bule halafu aanze kusema hazitoshi? Ningemwambia tu zirudishe ili nimpe zitakaye mtosha? Hata shukrani hakuna, malalamiko full masinonda... tunaelekea wapi?
 
Na huyo aliye lalamika nilimshangaa sana. Yani mtu nimpe Maokoto ya bule halafu aanze kusema hazitoshi? Ningemwambia tu zirudishe ili nimpe zitakaye mtosha? Hata shukrani hakuna, malalamiko full masinonda... tunaelekea wapi?
Kodi zenu izo afu una sema ya bure
 
"MKONO WA IDD"
-Ipo karne kwa karne, tena nashangaa siku hizi ustaarabu na Utamaduni unazidi kupungua nguvu.
 
Kuna clip inasambaa kwamba wananchi wameitwa kwa Mhe. Rais huko Zanzibar kupewa zawadi ya Idd, mmoja wa wananchi hao ameonyesha kukerwa na kitendo cha kupewa bahasha yenye Tsh. 5,000 akidai hata gharama alizotumia kufuata hiyo elfu tano ni kubwa.

Kwa mfumo tulionao usishangae akakamatwa kwa kueleza uhalisia japo hakuna sheria ya nchi iliyovunjwa. Nachukua fursa hii kuwaomba vyombo vya dola badala ya kuangaika na huyu aliyesema ukweli wahangaike na aliyeweka elfu 5 kwenye bahasha. Naamini kuna upigaji mkubwa kwenye zoezi hili na hapo ndipo utabaini kwenye pesa hata imani zinatingishwa.

Lakini tujiulize huu utamaduni wakutoa pesa ulikuwepo au umetokea kuelekea uchaguzi? Sheria ya kupambana na rushwa nchini inasemaje? Kama ipo kimya haiwekzekana watu wakaanza kugawa fedha kwa wananchi kama ilivyokuwa kipindi cha JK? Kama wakigawa wanazitoa wapi? Je, mfumo mkuu wa hazina utakuwa salama?
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwanza nianze kusema namshukuru Mama kizimkazi kwa kuteletea viwanda vya karatasi ambavyo vimefanikisha kupatikana kwa hizo bahasha za kaki zilizo hifadhi Hiyo dola 5000/=

Pili naunga mkono hoja kuwa ni dolla 5000/= kila mwanachi amepewa
 
Na huyo aliye lalamika nilimshangaa sana. Yani mtu nimpe Maokoto ya bule halafu aanze kusema hazitoshi? Ningemwambia tu zirudishe ili nimpe zitakaye mtosha? Hata shukrani hakuna, malalamiko full masinonda... tunaelekea wapi?
Hata kama ni hivyo ndio buku tano uniwekee kwenye bahasha?!! Si tupange mstari tu utugawie? Umasikini ndio ngao kubwa ya watawala wa kiafrika!!
 
Na huyo aliye lalamika nilimshangaa sana. Yani mtu nimpe Maokoto ya bule halafu aanze kusema hazitoshi? Ningemwambia tu zirudishe ili nimpe zitakaye mtosha? Hata shukrani hakuna, malalamiko full masinonda... tunaelekea wapi?
Maokoto ya bure wakati ni kodi zetu.
 
Hata kama ni hivyo ndio buku tano uniwekee kwenye bahasha?!! Si tupange mstari tu utugawie? Umasikini ndio ngao kubwa ya watawala wa kiafrika!!
Hakutangaza atawapa elfu tano, niko tayari kusahihishwa, kwa hili nitamtetea ingawaje huwa sikubaliani na baadhi ya sera zake
 
Maokoto ya bure wakati ni kodi zetu.
Hilo sina uhakika nalo, labda ni kweli, nachojua mshara wake na marupurupu na per diem (zikichanganywa) ni pesa ndefu (na hakuna mtu anaye mpangia mwenzake namna bora ya kutumia pesa zake) na sijui huwa anaifanyia nini ilihali kila kitu ni KKKKB- kula, kulala, kuvishwa, Kusafirishwa ni bure. Hivyo hashindwi kugawa buku tano hata akitaka kugawa kwa watanzania wote milion 67 kwa sasa, ataweza...cha msingi, wanaopewa hizo buku 5 wampe shukrani hata kama ni buku 1. kutoa ni moyo, usambe si utajiri, tulisoma methali hii darasa la nne miaka hiyo. sio kulalamika kwa kila kitu...
Huyu Mama kuna vitu vingi sana sikubariani naye, lakini kuna vingine nakubaliana naye. Nchi yetu inahitaji mambo matatu tu ili inyooke (mjadara wa siku nyingine) na kila mtu afanye kazi sio kila siku kutegema maokoto kama Waisraeli walipo pewa maokoto na Mwenye Enzi Mungu kule jangwani na walipo shindwa kushukuru, sote tunajua (kwa mujibu wa vitabu vitakatifu) ni nini kilicho wapata...
 
Kodi zenu izo afu una sema ya bure
mshahara wake, marupurupu yake, per diem etc ni shilling ngapi? Buku tano anazimudu ndugu yangu. cha msingi shukrani... ni hilo tu, hata kama ingekuwa pipi- shukuru.
 
Back
Top Bottom