Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
MIMI NATAKA KUJUA TU, CALISAH ALILIPWA SHS NGAPI? NA WEMA NAE ALIPEWA SHS NGAPI...ILE YA KIM KARDASHIAN NA YULE RAPPER ILIVYOVUJA WALILAMBISHWA $ 1 MILIONI KILA MMOJA...!Model anayeitwa Calisah amedai video yake ya kimapenzi na wema iliyovuja imemsababishia majanga makubwa sana ikiwepo bibi yake kufariki kwa presha mara baada ya kuona hiyo video
pia amesema kuna mkataba wake na Oxfoam upo hati hati kuvunjika mara baada ya video hiyo
na amechanganyikiwa kwa sasa hivi
Bibi nae yupo insta[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mpaka sasa naamini huyo jamaa yupo katika mchakato wa kutafuta KIKI.. jiulize bibi aliipataje?
vinatudanganya sana hivi visaka umaarufu kwa nguuvu.. wakamuulize mwenzao mziwanda kaishia wapi..Bibi nae yupo insta[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]