mtembea kwa miguu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 1,121
- 1,735
Kwahyo wema kaua bibi mwenzie?Huu ubuyu unechukua maisha ya bibi yake calisa.
In short wema kaua.
Kabisaaa.Mpaka sasa naamini huyo jamaa yupo katika mchakato wa kutafuta KIKI.. jiulize bibi aliipataje?
Hao ni watu wa kuigaiga na kutafuta kiki.huwa wanapataje akil za kushika simu na kujirekodi,nikiwa kwenye hiyo mambo huwa sikumbuk hata sim ilipo labda wallet.
Sasa kama ni kwa CCM unashangaa nini?Kuna siku Wema alivaa dera la kijani eti anawania ubunge wa viti maalum....mwe! jamani watanzania tuna vivutio vingi vya utalii!
hiyo kingwendu imenichekesha sanaWewe unashangaa wanaume wanaomtaka Wema?
sasa utashangaa wasichana kama wewe watakaomtaka huyo Calisah badaa ya kuwa na Wema
hata wengine wataenda wenyewe kujirekodi na huyo Calisah na kurusha mtandaoni
wanasema kila binadamu ana kichaa cha aina fulani
Kuna watu hawalali wakimuwaza Shilole au Gygymoney ...
na kuna wamama hawalali wanamuwaza Kingwendu
mradu 'dunia uwanja wa fujo' walisema wahenga
Kesho saa saba SHILAWADU wanaweza kutokea msibani na drone yao bila kusaha soudy na Sox yake usoni.Ha ha ha ha ha yani nimecheka jamani afu soudy alivo mbea eti anauliza taratibu za mazishi zikoje ha ha ha
Bibi yake Calisa amekufa baada ya kumuona mjukuu wake ananyonyana ute na bibi wema.Kwahyo wema kaua bibi mwenzie?
Alivua wigi lisijekuvurugika.Wema alikuwa amesuka mabutu nini alipokwa bed na huyo chalii?...hawa madem wa mwendokas ovyo sana..naanza ona kick inasakwa..
Mlumumba mwenzetu huyu lakini tena aligombea viti maalum na alikuwa bega kwa bega na makamuWajinga wote
ni ujinga jazModel anayeitwa Calisah amedai video yake ya kimapenzi na wema iliyovuja imemsababishia majanga makubwa sana ikiwepo bibi yake kufariki kwa presha mara baada ya kuona hiyo video
pia amesema kuna mkataba wake na Oxfoam upo hati hati kuvunjika mara baada ya video hiyo
na amechanganyikiwa kwa sasa hivi