KAKA NASOKI
Senior Member
- May 25, 2016
- 191
- 212
We unamuunga mkono kuwa alikuwa na akili timamu huyo Engineer?Ungeweza kutoa mawazo yako mazuri tu, bila kuzarau watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unamuunga mkono kuwa alikuwa na akili timamu huyo Engineer?Ungeweza kutoa mawazo yako mazuri tu, bila kuzarau watu.
Acha upumbavu ww kijana,, nani kadharauliwa hapo? Mbona kaeleza vizur !!! Au ww ndo muhusika? Kumbafu sanaUngeweza kutoa mawazo yako mazuri tu, bila kuzarau watu.
Acha upumbavu ww kijana,, nani kadharauliwa hapo? Mbona kaeleza vizur !!! Au ww ndo muhusika? Kumbafu sana
Nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huko Mirembe hakuna ulinzi wa kutosha?!
Kituo kinakera sana kile, kina disrupt flow ya magari kwenye flyover, its ridiculous!Nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiko kituo kimeanza tangia Enzi za JPM hivyo lawama hizi ni za Marehemu.Hivi kuna faida gani kutumia bilioni 300 kujenga Ubungo flyover ili kuondoa foleni halafu tunakuja kuruhusu kituo cha daladala mdomoni kabisa mwa flyover ambapo gari ndio zinaingilia?
Kitendo cha daladala kuingia na kutoka kwenye kituo hiki inasababisha magari kushindwa kabisa kuflow kama inavyopaswa, maana mengine hushusha na kupakia katikati ya barabara kutokana na kukosa nafasi kituoni.
Hii inaleta foleni kali sana kuanzia external hasa siku zenye malori mengi, unakuta mbele kwenye flyover ni kweupe hadi Mwenge, ila kurudi nyuma hadi Mwananchi kuna foleni kali!
Huko Mirembe hakuna ulinzi wa kutosha?!
Tena wanapakia na kushusha katikati ya barabara, maana kituo kina daladala nyingi na ni kidogo!, kiondoke!Kile sio kituo cha kukusanyia abiria ni kituo cha kushusha abiria then safari inaendelea. Daladala pale haitakiwi kusimama zaidi ya dakika 3. Inatakiwa kushusha na kusepa haraka sana.
Ukikuta daladala imesimama na inapiga debe basi ni kosa kubwa wanafanya.
Tumia akili.Tena wanapakia na kushusha katikati ya barabara, maana kituo kina daladala nyingi na ni kidogo!, kiondoke!
Inamaana mdhabuni hakua na akili ya kuwaza kama kutakua na shida sasa ndio ashakua kwa Mungu tupe mawazo tuyawasirisheHivi kuna faida gani kutumia bilioni 300 kujenga Ubungo flyover ili kuondoa foleni halafu tunakuja kuruhusu kituo cha daladala mdomoni kabisa mwa flyover ambapo gari ndio zinaingilia?
Kitendo cha daladala kuingia na kutoka kwenye kituo hiki inasababisha magari kushindwa kabisa kuflow kama inavyopaswa, maana mengine hushusha na kupakia katikati ya barabara kutokana na kukosa nafasi kituoni.
Hii inaleta foleni kali sana kuanzia external hasa siku zenye malori mengi, unakuta mbele kwenye flyover ni kweupe hadi Mwenge, ila kurudi nyuma hadi Mwananchi kuna foleni kali!
Huko Mirembe hakuna ulinzi wa kutosha?!
Wa kituo cha Ubungo Tanesco zamani, leo wanapandia wapi?Tumia akili.
Riverside inalisha abiria wa Kibangu, Makoka, Kisukuru, majichumvi.
Ukiondoa kituo, abiria wakapandie wapi.
Wanateseka, wanalazimika kutembea umbali mrefu sana jua kali kukifata kituo cha Kimara Baruti. Wanachelewa vibaruani.Wa kituo cha Ubungo Tanesco zamani, leo wanapandia wapi?
Kwahiyo hao wanaoteseka sio binadamu? Ila hawa wa River side ndio binadamu sivyo?Wanateseka, wanalazimika kutembea umbali mrefu sana jua kali kukifata kituo cha Kimara Baruti. Wanachelewa vibaruani.
Wengine Baruti ni mbali mno, mpaka wavuke mto. Tegemeo lao ni Ubungo Riverside.
😂😂😂😂Mmbo hadharani saivi kila Kona kunalipaKwahiyo hao wanaoteseka sio binadamu? Ila hawa wa River side ndio binadamu sivyo?
Kimara flyover ipo sehemu gani? Sijawahi kuiona.Vivyo hivyo kujenga stesheni ya BRT na kuweka zebra, tuta, kona kona kwenye mdomo wa flyover upande wa Kimara
Kimara bus stop za mwendo kasiKimara flyover ipo sehemu gani? Sijawahi kuiona.
Alimaanisha upande wa kuelekea Kimara kutoka Ubungo flyover, na sio Kimara.Kimara flyover ipo sehemu gani? Sijawahi kuiona.
OkeyAlimaanisha upande wa kuelekea Kimara kutoka Ubungo flyover, na sio Kimara.
Alimaanisha upande wa kuelekea Kimara kutoka Ubungo flyover, na sio Kimara.