Aliyeruhusu kituo cha daladala mdomoni mwa Ubungo flyover (riverside) alitoroka lini mirembe?

Aliyeruhusu kituo cha daladala mdomoni mwa Ubungo flyover (riverside) alitoroka lini mirembe?

hii taarifa bila picha ni kama kuimba huku unatafuna karanga otherwise ww usiwe mkaz wa dar umesimuliwa tuuu.
Hicho kituo kwa wakaazi wa dar hasa wanao safiri mbezi Buguruni tegeta segerea nk wanakifahamu sio kila kitu picha
 
Back
Top Bottom