Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mkurugenzi mwenyewe Ryoba yuko Kama kuku wa kienjeji, na vipindi vinakuwa na sura Yake.Na muda mrefu sana siangaliagi hii chanel.
Tido ndio aliiwezea, Mshana na huyu wa sasa hakuna kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkurugenzi mwenyewe Ryoba yuko Kama kuku wa kienjeji, na vipindi vinakuwa na sura Yake.Na muda mrefu sana siangaliagi hii chanel.
Tido ndio aliiwezea, Mshana na huyu wa sasa hakuna kitu.
Sasa kwani Mimi ninahaja nayo. Ifirie mbali hukoOk mtu kama wewe wala tbc haina haja nae.
Alifungwa miaka mingapi ?Labda wewe tu ndio huiangalii tbc. Halafu tido mhando aliondolewa tbc kwa shutuma za ufisadi kwa kuingiza tbc mkataba na startimes usiyokua na maslahi yoyote kwa tbc.
Chama kina nguvu kubwa. Kinauwezo wa kuchukua eneo la uchaguzi bila kufanya kampeni ya majukwaani bali kampeni ya kisayansi ya kimya kimya! Ushahidi, upo.akiwa katibu mkuu wa chama.
Deep state,haikumtaka Tido,Tido si mwanasiasa,ni mwanataaluma,sio Kama huyu ceo wa TBC wa sasa hv,huyu ni yesman,hana jipya,Hili ni jambo la muhimu sana kufanyika kwa sasa hasa baada ya TBC kupoteza mvuto kwa wananchi kwa kiwango cha kutisha mno.
Bila shaka aliyefanya jambo lile alilipwa ili kuhujumu TV ya Taifa, si bure ! TBC leo imekuwa ya kuangaliwa na walioishiwa bando kweli ? tena kipindi cha Mama Ndege ! Hii ni aibu sana !
CEO wa sasa ni Daktari ktk fani ya mambo hayo ya utangazaji nk.Ukiangalia station zoote za tv za serikali hazina tofauti na hii ya kwetu..KBC...UBC..NTV..nk..nk..Deep state,haikumtaka Tido,Tido si mwanasiasa,ni mwanataaluma,sio Kama huyu ceo wa TBC wa sasa hv,huyu ni yesman,hana jipya,
Sasa huyu mwenye PHD,ameishindwa kuifanya TBC kuwa bora,Kama vituo vya wenzetu,linganisha hii TBC na kituo Cha south Africa,SABC,hii ya kwetu hakuna chochote kinachoongelewa,imekuwa Kama kituo Cha propaganda Cha ccm,imekuwa Kama Russia today,ya urusi,CEO wa sasa ni Daktari ktk fani ya mambo hayo ya utangazaji nk.Ukiangalia station zoote za tv za serikali hazina tofauti na hii ya kwetu..KBC...UBC..NTV..nk..nk..
[emoji23][emoji23][emoji23]eti mama ndege kinahusu nini maana Mimi sihangalii upumbavu wa local Chanel, maana ni kujijaza ujinga tuKuna li-kipindi linaitwa "Mama ndege" huko?? Hahaaa!
Hii channel sitaki hata kuiona kwenye list pindi nikishika remote.
TBC enzi za tindo ilikuwa Moto wa kuotea mbali Kama bbc, au CNN kabisaBaba yake Februari ndiye aliyekuwa nyota wa hiyo filamu, hasa baada ya Tido kugomea kusitishwa kwa kile kipindi midahalo majimboni na wagombea urais kwenye ule uchaguzi, akiwa katibu mkuu wa chama.
TBC imebaki na MS ELIZABETH MRAMBA wa RIDHIO , na wanao mwangalia ni wanaumeHili ni jambo la muhimu sana kufanyika kwa sasa hasa baada ya TBC kupoteza mvuto kwa wananchi kwa kiwango cha kutisha mno.
Bila shaka aliyefanya jambo lile alilipwa ili kuhujumu TV ya Taifa, si bure ! TBC leo imekuwa ya kuangaliwa na walioishiwa bando kweli ? tena kipindi cha Mama Ndege ! Hii ni aibu sana !
Television za Kenya ziko vzuri kuliko tbc yetu aisee, huku tbc habari ni mikutano tu ya viongozi hawaingii deep, tofauti na Kenyan TV'sCEO wa sasa ni Daktari ktk fani ya mambo hayo ya utangazaji nk.Ukiangalia station zoote za tv za serikali hazina tofauti na hii ya kwetu..KBC...UBC..NTV..nk..nk..
Uwiiii! Hali si hali!Mimi Bora ninunue kifurush Cha simu niangalie ma x videos huko walau punyeto inanipa raha kuliko nicheck tbc
Ndugu Katibu Mkuu wa chama chetu pendwa[emoji23]Mimi Bora ninunue kifurush Cha simu niangalie ma x videos huko walau punyeto inanipa raha kuliko nicheck tbc
NaaaamNdugu Katibu Mkuu wa chama chetu pendwa[emoji23]