Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujiulizi Kwanini Alaska plus hawaii zipo US?,kikubwa ni Usalama kuliko hata kula samaki toka baharini,yaani ukitaka kupigwa kirahisi toa unguja na Pemba,Wewe unaona ni rahisi but mwanajeshi aliona mbali sana mpk kuwashauri Wazee Nyerere na karume ichukulieni hivyo hivyo kiuwepesi.Habari njema sana hiyo ...ni wakati sasa wa huu upumbavu wa muungano wa ccm kuvunjwa...
Well said👌Bado like Kopo linalowashwa na kukimbizwa mchana.
Lile zindiko lazima liswekwe kusikojulikana.
Sifael Mushi, mmoja wa Watanzania walioshiriki tukio la kuchanganya udongo wa iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, 1965, wakati wa maadhimisho ya mwaka mmoja wa Muungano, ameafariki dunia. Hii hapa historia yake.
Soma Pia: Aliyeshiriki kuchanganya udongo wa Tanganyika, Zanzibar afariki
Akili za kuchambia za ccm hizi na za wanaume wa dar yani tuogope kazanzibar je nchi kubwa tunazo pakana nazo bila hata kizuizi cha maji unasemaje ...ukisikia shoga kuogopa mende ndiyo hukuHujiulizi Kwanini Alaska plus hawaii zipo US?,kikubwa ni Usalama kuliko hata kula samaki toka baharini,yaani ukitaka kupigwa kirahisi toa unguja na Pemba,Wewe unaona ni rahisi but mwanajeshi aliona mbali sana mpk kuwashauri Wazee Nyerere na karume ichukulieni hivyo hivyo kiuwepesi.
Taiwani nako kunagombaniwa baina ya US na China kwakua China ipo karibu sana na taiwani hivi vitu visikieni tu wakisimulia ila Dsm cku moja itageuzwa km Gaza
Ili iweje. The dead cannot come backMsalimie Mwalimu Nyerere.
Mwambie yote yanayofanyika
Kwa hiyo uoga ndio uliifanya Tanganyika kuomba muungano na Zanzibar ?Hujiulizi Kwanini Alaska plus hawaii zipo US?,kikubwa ni Usalama kuliko hata kula samaki toka baharini,yaani ukitaka kupigwa kirahisi toa unguja na Pemba,Wewe unaona ni rahisi but mwanajeshi aliona mbali sana mpk kuwashauri Wazee Nyerere na karume ichukulieni hivyo hivyo kiuwepesi.
Taiwani nako kunagombaniwa baina ya US na China kwakua China ipo karibu sana na taiwani hivi vitu visikieni tu wakisimulia ila Dsm cku moja itageuzwa km Gaza
Rest in peace kwa mwanamama lakini lile tendo la kiimani lina igharik tanganyika to dateSifael Mushi, mmoja wa Watanzania walioshiriki tukio la kuchanganya udongo wa iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, 1965, wakati wa maadhimisho ya mwaka mmoja wa Muungano, ameafariki dunia. Hii hapa historia yake.
Soma Pia: Aliyeshiriki kuchanganya udongo wa Tanganyika, Zanzibar afariki
Bro ulikua kwenye ufahamu wangu kabisaWakishapotea wote waliohusika na huu uchawi wa nyerere, na muungano unapotea......
Kila lenye mwanzo lina mwishoHujiulizi Kwanini Alaska plus hawaii zipo US?,kikubwa ni Usalama kuliko hata kula samaki toka baharini,yaani ukitaka kupigwa kirahisi toa unguja na Pemba,Wewe unaona ni rahisi but mwanajeshi aliona mbali sana mpk kuwashauri Wazee Nyerere na karume ichukulieni hivyo hivyo kiuwepesi.
Taiwani nako kunagombaniwa baina ya US na China kwakua China ipo karibu sana na taiwani hivi vitu visikieni tu wakisimulia ila Dsm cku moja itageuzwa km Gaza
Atakuwa huyo wa pili kushoto, nimeona komwe lake. Hawa ndiyo wametuletea shida yote hii.Hapo yeye ni yupi? View attachment 3245165
Au alifuata maji?
Nadhani Tanganyika itakombolewa sasa.. Apumzike kwa amaniSifael Mushi, mmoja wa Watanzania walioshiriki tukio la kuchanganya udongo wa iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, 1965, wakati wa maadhimisho ya mwaka mmoja wa Muungano, ameafariki dunia. Hii hapa historia yake.
Soma Pia: Aliyeshiriki kuchanganya udongo wa Tanganyika, Zanzibar afariki