mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Anasubiri uanze weweSaa100 naye lini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasubiri uanze weweSaa100 naye lini
JPM anamsalimia,anamkaribisha hukoAnasubiri uanze wewe
Mkuu John Wickzer Mulholland salaam Kwako.Kumbe huo udongo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulichanganywa na huyu Mchagga!! Mimi nilikuwa nadhani kwamba Watu walioshitiki kuchanganya huo udongo wa Muungano walikuwa ni Nyerere na Karume!
Acha kututisha wewe, mwenye uwezo wa kutupiga atatupiga tu hata kama znz ipo kwenye muungano, mfano US akitaka kutuchapa ndio znz itasaidia tusipigwe?Hujiulizi Kwanini Alaska plus hawaii zipo US?,kikubwa ni Usalama kuliko hata kula samaki toka baharini,yaani ukitaka kupigwa kirahisi toa unguja na Pemba,Wewe unaona ni rahisi but mwanajeshi aliona mbali sana mpk kuwashauri Wazee Nyerere na karume ichukulieni hivyo hivyo kiuwepesi.
Taiwani nako kunagombaniwa baina ya US na China kwakua China ipo karibu sana na taiwani hivi vitu visikieni tu wakisimulia ila Dsm cku moja itageuzwa km Gaza
Kitengo mstaafu......RipSifael Mushi, mmoja wa Watanzania walioshiriki tukio la kuchanganya udongo wa iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, 1965, wakati wa maadhimisho ya mwaka mmoja wa Muungano, ameafariki dunia. Hii hapa historia yake.
Soma Pia: Aliyeshiriki kuchanganya udongo wa Tanganyika, Zanzibar afariki
AdrizHuu usiku wa manane unatuletea habari za kilio na msiba. Si ungesubiri hadi kesho. 😡😡😡
Nyau de adriz
Hizi ni dalili kwamba muungano unaelekea kufaSifael Mushi, mmoja wa Watanzania walioshiriki tukio la kuchanganya udongo wa iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, 1965, wakati wa maadhimisho ya mwaka mmoja wa Muungano, ameafariki dunia. Hii hapa historia yake.
Soma Pia: Aliyeshiriki kuchanganya udongo wa Tanganyika, Zanzibar afariki
Kumbe alikua mtu asiyejulikana ? RIP Mama MushiSifael Mushi, mmoja wa Watanzania walioshiriki tukio la kuchanganya udongo wa iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar Aprili 26, 1965, wakati wa maadhimisho ya mwaka mmoja wa Muungano, ameafariki dunia. Hii hapa historia yake.
Soma Pia: Aliyeshiriki kuchanganya udongo wa Tanganyika, Zanzibar afariki
Itakua ni Mtu wa IdaraHakuna mwenye picha yake akiwa anachanganya udongo? Alikuwa kitengo nini mbona kafia hapo?
Rudi ukasome vzr security of any country ndio Uje bishanaAcha kututisha wewe, mwenye uwezo wa kutupiga atatupiga tu hata kama znz ipo kwenye muungano, mfano US akitaka kutuchapa ndio znz itasaidia tusipigwe?
I’m not affiliated to any political party in your country but I’m understand why those founders did that because I have more exposure to international diplomacy that what you understandAcha kututisha wewe, mwenye uwezo wa kutupiga atatupiga tu hata kama znz ipo kwenye muungano, mfano US akitaka kutuchapa ndio znz itasaidia tusipigwe?