Mr. Mkwachu
Member
- Jul 14, 2014
- 34
- 2
- Thread starter
-
- #41
Unaweza kutumia matokeo ya kidato cha nne kusoma diploma ya clinical medicine kama una c ya bilogy c ya chemistry name d ya physics.cheki name jamaa WA city college of health and Allied sciences kwa 0769566282
Kama hujali tuambie ulisoma kozi gani,dhumuni langu inaonekana ww ni mtu wa afya nataka nilinganishe kozi uliyopo na hii unayoijutia.Anhaaa...
Hiyo prosthetics and orthotics ni sayansi ya mifupa na viungo bandia, so unapiga kazi sawa na Dr lkn wewe utaspecialize specifically ktk mifupa+viungo bandia...
Niliacha hiyo kozi, sasa hivi najilaumu usiku na mchana.
subiri wanakuja ila amini nilchokwambia pia MD&NURSING kairuki&imtu unapata ila usjarbu kiu hapo maji ya shida
Kama hujali tuambie ulisoma kozi gani,dhumuni langu inaonekana ww ni mtu wa afya nataka nilinganishe kozi uliyopo na hii unayoijutia.
Sijafanya utafiti,hii sayansi ya viungo kwetu Tz watu wameipokea,,na vipi jeshini inakubalika(kama nitabahatika kuwa daktari natamani nilitumikie jeshi langu kwa kutoa tiba kwa wapiganaji/walinda amani wetu.
Mkuu wapi nimesema najutia course niliyopo???
Sijawahi kujutia kusoma kemia ya gesi na mafuta, lkn naumia kuacha kusoma kada ya afya, coz hiyo ndio ilikua field of my dreams, sasa hivi habari ya mujini ni Petroleum mkuu...
Kuhusu sayansi ya tiba ya mifupa, it's obvious haikwepeki kwenye mzunguko wa maisha, ajali kila kukicha, magonjwa chungu mzima nk nk, orthopadeic istitute hapo muhimbili (MOI) ndio kazi zao hizo...
Jeshini utakua lulu sana, tena kule watu wanavunjana ka toothpick, ukitoka zako TMA unakula uMajor 1 kwa 1, maswala ya uluteni na ukapteni kwako hutasi
Hahaha!!! umenifurahisha u meja 1 kwa 1,,,hata hivo aksante kwa info nimeweka chaguo la 4 kutoka bpharm na md
Ikiwa umesoma CBG A-level unaweza kusoma medicine
Wee si nurse tayari wewe? Kama ndo mkwachu ninayekufaham mm.