Aliyesoma CBG naweza kusomea Medicine?

Aliyesoma CBG naweza kusomea Medicine?

Unaweza kutumia matokeo ya kidato cha nne kusoma diploma ya clinical medicine kama una c ya bilogy c ya chemistry name d ya physics.cheki name jamaa WA city college of health and Allied sciences kwa 0769566282

Asante
 
Anhaaa...
Hiyo prosthetics and orthotics ni sayansi ya mifupa na viungo bandia, so unapiga kazi sawa na Dr lkn wewe utaspecialize specifically ktk mifupa+viungo bandia...
Niliacha hiyo kozi, sasa hivi najilaumu usiku na mchana.
Kama hujali tuambie ulisoma kozi gani,dhumuni langu inaonekana ww ni mtu wa afya nataka nilinganishe kozi uliyopo na hii unayoijutia.

Sijafanya utafiti,hii sayansi ya viungo kwetu Tz watu wameipokea,,na vipi jeshini inakubalika(kama nitabahatika kuwa daktari natamani nilitumikie jeshi langu kwa kutoa tiba kwa wapiganaji/walinda amani wetu.
 
Kama hujali tuambie ulisoma kozi gani,dhumuni langu inaonekana ww ni mtu wa afya nataka nilinganishe kozi uliyopo na hii unayoijutia.

Sijafanya utafiti,hii sayansi ya viungo kwetu Tz watu wameipokea,,na vipi jeshini inakubalika(kama nitabahatika kuwa daktari natamani nilitumikie jeshi langu kwa kutoa tiba kwa wapiganaji/walinda amani wetu.


Mkuu wapi nimesema najutia course niliyopo???

Sijawahi kujutia kusoma kemia ya gesi na mafuta, lkn naumia kuacha kusoma kada ya afya, coz hiyo ndio ilikua field of my dreams, sasa hivi habari ya mujini ni Petroleum mkuu...

Kuhusu sayansi ya tiba ya mifupa, it's obvious haikwepeki kwenye mzunguko wa maisha, ajali kila kukicha, magonjwa chungu mzima nk nk, orthopadeic istitute hapo muhimbili (MOI) ndio kazi zao hizo...
Jeshini utakua lulu sana, tena kule watu wanavunjana ka toothpick, ukitoka zako TMA unakula uMajor 1 kwa 1, maswala ya uluteni na ukapteni kwako hutasikia.
 
Mkuu wapi nimesema najutia course niliyopo???

Sijawahi kujutia kusoma kemia ya gesi na mafuta, lkn naumia kuacha kusoma kada ya afya, coz hiyo ndio ilikua field of my dreams, sasa hivi habari ya mujini ni Petroleum mkuu...

Kuhusu sayansi ya tiba ya mifupa, it's obvious haikwepeki kwenye mzunguko wa maisha, ajali kila kukicha, magonjwa chungu mzima nk nk, orthopadeic istitute hapo muhimbili (MOI) ndio kazi zao hizo...
Jeshini utakua lulu sana, tena kule watu wanavunjana ka toothpick, ukitoka zako TMA unakula uMajor 1 kwa 1, maswala ya uluteni na ukapteni kwako hutasi

Hahaha!!! umenifurahisha u meja 1 kwa 1,,,hata hivo aksante kwa info nimeweka chaguo la 4 kutoka bpharm na md
 
Ni ngumu sana mkuu kama huna physics, ila kwa mujibu wa nacte kama una clinical officer na form 4 ulipiga fresh utapata kwa vyuo kama IMTU,KIU na Kairuki. Ila kwa Bsc in lab tech na nursing kwa CBG unapata.
 
Back
Top Bottom