'Aliyetaka kuuza mechi ya Simba vs Zamalek 2003 bado ana kinyongo. Tarehe 23 kuweni makini nae'

'Aliyetaka kuuza mechi ya Simba vs Zamalek 2003 bado ana kinyongo. Tarehe 23 kuweni makini nae'

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Ndio, ni zee 10% (hapana hili ni 90% kabisa), bado lina wapambe wake wakiwemo makanjanja na hata majuzi lilihojiwa na redio moja ya FM likamkandia sana CEO Barbara Gonzalez.

Lengo lao kubwa ni yule dada aondoke, sasa anaondokaje ni kumuabisha kwa matokeo haswa mechi vs utopolo, sasa angalia mazingira ya wiki hii ilivyoenda ndipo ujue wazee wa iwe jua iwe mvua watacheza mbinu chafu zao tena.

wako hatarini kutolewa kwa kipigo cha aibu huko Sudan, na Simba iko mguu mmoja kuingia makundi. Hawatakubali kupigwa na Simba tarehe 23. Hapo ndipo wasaliti wenye nguvu ndani ya Simba watakapotaka kumuaibisha CEO anayewazuia kucheza dili zao chafu chafu ikiwemo kunyimwa mkataba wa majezi yale mabaya yaliyokuwa yamejaa bandia.

Sasa kwa msiyojua wakati Simba anaingia makundi 2003 kwa kumtoa bingwa mtetezi Zamalek ya Misri ambayo wiki kadhaa nyuma ilikuwa imetoka kuwafunga Real madrid ya kina Beckham kwenye Klabu Bingwa ya Dunia kuna zee la 10% lilifika dau la kuuza mechi, kocha Mkenya marehemu Siang'a akakomaa kukataa katakata.

Yaliyobaki ni historia, Zamalek alitolewa kwa mikwaju ya penati Simba akaingia makundi, hilo zee bado lipo lina wapambe wake kwwnye media na bado lina hasira sana ya madili yake kubanwa na Barbara.

Tuatendelea kusema tutasema hadi haya majitu yatafute namna nyingine za kupata hela siyo ujinga na sabotage wanzofanya haswa kwenye mechi za utopolo*.
 
Natamani kumjua huyo mzee
ALIHOJIWA EFM AKATEMA NYONGO BALAA, KINA KITENGE WANALICHOCHEA TU LENYEWE LINAWAKA MBAYA, HATUKAKAA SAWA ADEN RAGE NAYE SIKU HIYOHIYO AKA MU ATTACK BARBARA BADO KADUGUDA SIKU ILE AKASEMA TUNAENDA KUFUNGWA NA UTOPOLO NA IKAWA HIVYO
 
Leo Barbara kawa mwema kwako na kwa Gentamycine? Ama kweli duniani kuna mambo.
Hii ni kampeni yangu endelevu hata kwenye serikali ya Rais Samia kuna wasaliti wako ndani huko wanafanya sabotage Mama achukiwe sembuse Barbara?

Wapambe hamtamzuia sisi mashabiki kulalamikia majitu ya hivyo, jitu hata 2003 lilitaka kuuza mechi shukrani kwa yule marehemu mkenya kocha kukataa ujinga huo
 
Huyu jamaa sijui anashida gani
 

Attachments

  • ef5a9aa127f34bec82e6022891eab075.mp4
    2.6 MB
Acha kujaza server kwa threads za kipumbavu. Kuumbuka kwako jana hakujakufundisha tu.
Kaaibiika bichwa hata ku report kwa bashasha kashindwa, vipi kaongea lolote leo kuhusu simba? nitakuwa glad sana kama Barbara kaweza kutengeneza ANTI VIRUS YA KUDEAL NA VIRUS HAO WASIO NA AIBU
 
Wacha woga,mtaje tu ni Kasim Dewji na wapambe wake kina Shafii
ajabu ni kwamba hapa jukwaani kuna mijitu inawatetea kwa nguvu zote..kwa trend ya week hii ilivyolala vibaya kwa utopolo, hawa virus wa simba ni kuwa nao makini sana kuelekea tarehe 23 watataka tupoteze kwa namna yoyote ile ili washabiki wamshukie Barbra
 
Yes , ni zee la ten pasenti(hapana hili ni 90 pasenti kabisa) bado lina wapambe wake wakiwemo makanjanja na hata majuzi lilihojiwa na redio moja ya FM likamkandia sana CEO Barbara Gonzalez

Lengo lao kubwa ni yule dada aondoke, sasa anaondokaje ni kumuabisha kwa matokeo haswa mechi vs utopolo, sasa angalia scenario ya week hii ilivyoenda ndipo ujue wazee wa iwe jua iwe mvua watacheza DIRTY TRICKS ZAO TENA

wako hatarini kutolewa kwa kipigo cha aibu huko sudan na simba iko mguu mmoja kuingia makundi...hawatakubali kupoigwa na simba tarehe 23 HAPO NDIPO WASALITI WENYE NGUVU NDANI YA SIMBA WATAKAPOTAKA KUMUAIBISHA CEO anayewazuia kucheza deals zao chafuchafu ikiwemo kunyimwa mkataba wa majezi yale mabaya yaliyokuwa yamejaa ma fake

Sasa kwa msiojua wakati simba anaingia makundi 2003 kwa kumtoa bingwa mtetezi zamalek ya misri ambayo week kadhaa nyuma ilikuwa imetoka kuwafunga Real madrid ya kina beckham kwenye klabu bingwa ya dunia KUNA ZEE LA TENI PASENTI lilifika dau la kuuza mechi kocha mkenya marehemu Siang'a akakomaaa kukataa katakata

The rest is history, zamalek alitolewa kwa mikwaju ya penalty simba akaingia makundi, HILO ZEE BADO LIPO LINA WAPAMBE WAKE KWENYE MEDIA NA BADO LINA HASIRA SANA YA DEALS ZAKE KUBANWA NA BARBARA

Tuatendelea kusema tutasema hadi haya majitu yatafute namna nyingine za kupata hela siyo ujinga na sabotage wanzofanya haswa kwenye mechi za utopolo*
Unajilazimisha kupenda soka lakini soka haikupendi masikini!!!
 
ajabu ni kwamba hapa jukwaani kuna mijitu inawatetea kwa nguvu zote..kwa trend ya week hii ilivyolala vibaya kwa utopolo, hawa virus wa simba ni kuwa nao makini sana kuelekea tarehe 23 watataka tupoteze kwa namna yoyote ile ili washabiki wamshukie Barbra
Niliwahi kumtaja Simba wa Yuda kwenye uzi fulani humu kuwa naye ni nyoka wadau wakaniwakia sana. Barbara ana maadui wengi na ndiyo wako radhi Simba iumie ili mradi tu wafanikiwe kumtoa Barbara hapo.
 
Niliwahi kumtaja Simba wa Yuda kwenye uzi fulani humu kuwa naye ni nyoka wadau wakaniwakia sana. Barbara ana maadui wengi na ndiyo wako radhi Simba iumie ili mradi tu wafanikiwe kumtoa Barbara hapo.
alisema kabisa kwamba ile mechi tunaenda kupoteza ...tarehe 23 hao nyoka ndani ya club wawe nao makini sana kw ahali ilivyo ni either jamaa wawekwe mbali kabisa na club au Barbara awaachie waendelee na ma deals yao ya kuinyonya club kama kupe ili tuendelee kuwafunga utopolo maana mechi karibu 4 sasa ni ujingaujinga tu
 
Unajilazimisha kupenda soka lakini soka haikupendi masikini!!!
agh topolo WAZZZUP HOW ARE YOU DOING? 0.5 POINTS FOR LIFE
0.5 POINTS.jpg
 
Kassim dewji!??

Hawa wanaojiita watu wa mpira ndio waharibifu wa mpira wetu
 
Sasa umeandika uzi kwa hidden ID halafu unaona tabu tena kumtaja mhusika?
 
Back
Top Bottom