Aliyetangaza Agosti 23 kuwa siku ya Mapumziko kwa ajili ya Sensa hakufikiria?

Aliyetangaza Agosti 23 kuwa siku ya Mapumziko kwa ajili ya Sensa hakufikiria?

Haya mapunziko yaliwanufaisha wachache sana. Nilishinda nyumbani siku nzima masaa 24 siku ya senza iliyotangazwa kwa nguvu nyingi sana kusubiri kuhesabiwa mimi na familia yote bila kuhesabiwa. Lakini nimepigia simu ndugu, majirani na marafiki mikoa mbalimbali nao wakasema hawakuhesabiwa. Ni nani kahesabiwa siku ya kuhesabiwa?

Binafsi ni hatari kwangu kuachia watoto na house girl taarifa zangu nyeti zinazonihusu mimi na familia yangu ili waje wazitoe kwa makarani wa sensa, hata kama iweje sintafanya hivyo. Kwanini mapunziko yasingekuwa kwa siku saba basi? kwanini mapunziko yasingekuwa kwa mikoa basi ili zoezi liishe kwa siku moja ya mapunziko? kwanini makarani hawakuwa wengi?

Haya mapunziko yamewanufaisha akina nani kama sio uharibifu wa rasilimali za taifa.
 
Walianza na Mawaziri, wabunge, wasanii na watu wengine maarufu zamu ya watanzania wa 'kawaida' bado.
 
Walianza na Mawaziri, wabunge, wasanii na watu wengine maarufu zamu ya watanzania wa 'kawaida' bado.
kwanini tupunzike nyumbani kusubiri watu wasiokuja? kwanini wasingesema mapema kuwa hii trh 23 August ni kwa watu maalumu wenye hadhi fulani?
 
MTU akilamba asali hawezi kueleweka .........ngoja mtumbwi WA vibwengo ufike ukingoni watajua hawajui......
watu wamemdanganya Rais, amehujumiwa na wapuuzi. Huwezi kuniambia taarifA ZANGU NIMWACHIE HOUSEGIRL
 
Miaka yote ya nyuma sensa ilikuwa siku moja tu

Ova
 
Watanzania bwana, yaani mmekaa zenu nyumbani kabisa kusubiri sensa, dah! Hivi mnajua mwisho wa siku wanafanya majumuisho na makadirio tu? Na mbona mko tayari sana kutoa taarifa zenu kwa serikali ambayo kwa muda mrefu imeonekana kutowajali?

Sensa iliyopita wewe imekusaidiaje?
Umenena vema binafs huo muda sina naendelea na ratiba zangu kama kawa bora niwe kwenye kundi la kukadiriwa hawana msaada wowote majitu yanashindwa kuweka hata gloves tu hospital af wanakuja na mikwara miingi wizi mtupu
 
Haya mapunziko yaliwanufaisha wachache sana. Nilishinda nyumbani siku nzima masaa 24 siku ya senza iliyotangazwa kwa nguvu nyingi sana kusubiri kuhesabiwa mimi na familia yote bila kuhesabiwa. Lakini nimepigia simu ndugu, majirani na marafiki mikoa mbalimbali nao wakasema hawakuhesabiwa. Ni nani kahesabiwa siku ya kuhesabiwa?

Binafsi ni hatari kwangu kuachia watoto na house girl taarifa zangu nyeti zinazonihusu mimi na familia yangu ili waje wazitoe kwa makarani wa sensa, hata kama iweje sintafanya hivyo. Kwanini mapunziko yasingekuwa kwa siku saba basi? kwanini mapunziko yasingekuwa kwa mikoa basi ili zoezi liishe kwa siku moja ya mapunziko? kwanini makarani hawakuwa wengi?

Haya mapunziko yamewanufaisha akina nani kama sio uharibifu wa rasilimali za taifa.
Naunga mkono hoja
 
Kwa mujibu wa Mama Anne Makinda, Zoezi litaendelea kwa Siku 7, yaani endapo hukufikiwa Leo, utafikiwa siku zijazo, sasa ni nini mantiki ya kupumzika leo?

Tumeambiwa tupumzike ili tupate muda wa kuona picha za viongozi wakihesabiwa?

Haya kesho inafika saa 11 tunaingia barabarani kupambana na foleni kuelekea kazini, tukitoka kazini tunaelekea Bar mpaka saa 6 tunarudi kulala.
[emoji16][emoji16][emoji16]nilihoji hili suala baada ya kufikiwa na hii taarifa
 
[emoji16][emoji16][emoji16]nilihoji hili suala baada ya kufikiwa na hii taarifa
kama sensa ni siku 7 kwanini tupunzike siku moja? Hiyo siku moja kwa tanzania nzima ilikuwa na maana gani? lazima awepo wa kujiuzulu hapa na kufungwa jela kwa kuharibu zoezi lote la sensa. Nyumbani kwangu mimi na mke wangu tunatoka asubuhi wote kwenda kazini na watoto wanakwenda shule, nyumbani kabaki dada wa kazi tu, je, wanataka taarifazetu tumkabidhi dada wa kazi? je, huo sio mwanya wa kuibiwa maana dada wa kazi haruhusiwi kukaribisha wageni kaka sisi hatupo.
 
Kwa mujibu wa Mama Anne Makinda, Zoezi litaendelea kwa Siku 7, yaani endapo hukufikiwa Leo, utafikiwa siku zijazo, sasa ni nini mantiki ya kupumzika leo?

Tumeambiwa tupumzike ili tupate muda wa kuona picha za viongozi wakihesabiwa?

Haya kesho inafika saa 11 tunaingia barabarani kupambana na foleni kuelekea kazini, tukitoka kazini tunaelekea Bar mpaka saa 6 tunarudi kulala.
nadhani tulipumzika kwa kuwa hii nchi ni tajiri sana!!
 
Back
Top Bottom