General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Mimi sijafurahi mpk utimize ahadi yakoSawa nimefurahi kukuona Mangi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijafurahi mpk utimize ahadi yakoSawa nimefurahi kukuona Mangi.
Hahahaaaa. Nimecheka sana ujue rafiki. Sijui shida na raha kawaza nini aisee.
nini wewe shida jamani nani anastress sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safi sanaa mkuu ukute ndala kabisa halafu anasema anajitambua eti.
Hahahaaa. Sawa Mangi usijali.Mimi sijafurahi mpk utimize ahadi yako
Mwenzangu. Itakuwa hivyo sababu sio kwa hofu ile aliyokuwa nayo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kawamiss
Nipo tayari kujenga family Na wewesijaumizwa mbondei miye sina kasoro napia kwetu nimekuzwa kujali mme nitakayempata sijaumizwa kwa maana wala sijawahi kuliwa ovyo .
so nimetaka kutulia nimeshauriwa hapa.
sijui kuandika serious hii hapo acheni utoto.
kueni for ones
Aliye-serous hapa hakuna utakesha kumpata labda askari wa hifadhi hiyo ya Serous, humu kuna watu wako Serious sio Serousni hivi siongeagi mambo mengi aliyeserous atakuja hapa ndiye nimemaliza sina hata shida eti mtaongea mpaka anayetaka kutulia nitamwona for now no comment.
mimi ni mtu mzima najitambua so kama unanijitambua basii sijibu tena watu najibu tu pm.
Sahihi kiongoziDada angu,
Hapo kwenye
"awe na Degree"
Ndipo mnapokosea sana.
HATA SIKU MOJA, DEGREE HAITUNZI MKE.
MOYO,AKILI NA UPENDO WA MTU UTAYADUMISHA MAHUSIANO.
Nna imani hata,
Bibi&Babu yako, Mama&Baba yako.
Hawana hizo degree ila waliweza kuoana na kulea familia mpk wewe ukazaliwa,ukakua na ukapata elimu bora.
**BADILIKA DADA ANGU***
[emoji3] [emoji3]Unavaa brah size gani?
Mana nisije nikakuja PM alafu usiwe type yangu..... tehteehhh
Asa 35+ plus unafikiri kichwa kiko sawa.nini wewe shida jamani nani anastress sasa
Mkuu, ebu karibu tukunywe maziwa hapa kwa pinda[emoji3] [emoji3]
Shukraani mkuuMkuu, ebu karibu tukunywe maziwa hapa kwa pinda
Karibu tena mkuuShukraani mkuu
Sana tena fastaHuu uzi wakikutana Hajar na familia yake ya bandia naona utavurugwa mda si mrefu.
Na Mme mwnyw maisha mazuri hatambuliwi kwa degree.Sahihi kiongozi
Huyo nadhan anataka mume mwenye maisha mazuri
hayaa karibu babamie sitaki nije huko pm nataka niseme hapahapa kwamba nakutaka na nina sifa zote pendwa
Kama mtaani hawakuoni kuwa unafaa humu Jf tupia picha zako za faragha hata ile bambuchi weka wapo madaktari waione kama sio usedni hivi siongeagi mambo mengi aliyeserous atakuja hapa ndiye nimemaliza sina hata shida eti mtaongea mpaka anayetaka kutulia nitamwona for now no comment.
mimi ni mtu mzima najitambua so kama unanijitambua basii sijibu tena watu najibu tu pm.