Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa

Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa

sijaumizwa mbondei miye sina kasoro napia kwetu nimekuzwa kujali mme nitakayempata sijaumizwa kwa maana wala sijawahi kuliwa ovyo .
so nimetaka kutulia nimeshauriwa hapa.
sijui kuandika serious hii hapo acheni utoto.
kueni for ones
Nipo tayari kujenga family Na wewe
For serious njoo PM
Tuyajenge
 
ni hivi siongeagi mambo mengi aliyeserous atakuja hapa ndiye nimemaliza sina hata shida eti mtaongea mpaka anayetaka kutulia nitamwona for now no comment.
mimi ni mtu mzima najitambua so kama unanijitambua basii sijibu tena watu najibu tu pm.
Aliye-serous hapa hakuna utakesha kumpata labda askari wa hifadhi hiyo ya Serous, humu kuna watu wako Serious sio Serous
 
Dada angu,

Hapo kwenye
"awe na Degree"

Ndipo mnapokosea sana.

HATA SIKU MOJA, DEGREE HAITUNZI MKE.

MOYO,AKILI NA UPENDO WA MTU UTAYADUMISHA MAHUSIANO.

Nna imani hata,
Bibi&Babu yako, Mama&Baba yako.

Hawana hizo degree ila waliweza kuoana na kulea familia mpk wewe ukazaliwa,ukakua na ukapata elimu bora.

**BADILIKA DADA ANGU***
Sahihi kiongozi
Huyo nadhan anataka mume mwenye maisha mazuri
 
mnalilia sana nini?
acheni shida kama unaye heri yako kaMA HAUNA endelea kufuata mkumbo .
 
mie sitaki nije huko pm nataka niseme hapahapa kwamba nakutaka na nina sifa zote pendwa
 
Umejiunga Jana tu... Leo thread ya mume
Screenshot_20180428-150457.jpg
 
ni hivi siongeagi mambo mengi aliyeserous atakuja hapa ndiye nimemaliza sina hata shida eti mtaongea mpaka anayetaka kutulia nitamwona for now no comment.
mimi ni mtu mzima najitambua so kama unanijitambua basii sijibu tena watu najibu tu pm.
Kama mtaani hawakuoni kuwa unafaa humu Jf tupia picha zako za faragha hata ile bambuchi weka wapo madaktari waione kama sio used
 
Back
Top Bottom