Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.
Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.
Siwahurumii hata kidogo nyie.
Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.
Siwahurumii hata kidogo nyie.