Aliyetenguliwa Julai Temeke arejeshwa Septemba Mtwara

Aliyetenguliwa Julai Temeke arejeshwa Septemba Mtwara

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.

Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.

Siwahurumii hata kidogo nyie.

Screenshot_2023-09-23-14-36-34-1.png
 
Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa , haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona , halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu !

Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia , nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.

Siwahurumii hata kidogo Wajinga wakubwa nyie !!!

View attachment 2759472
Lucas mwashambwa........Mzee wa Mapambio 🙂 🙂 🙂
 
Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa , haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona , halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu !

Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia , nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.

Siwahurumii hata kidogo Wajinga wakubwa nyie !!!

View attachment 2759472
Haya ni maigizo kabisa, uchaguzi wa 2024 na 2025 ifike tu tuachane na haya maigizo kwa kweli.
 
Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa , haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona , halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu !

Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia , nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.

Siwahurumii hata kidogo Wajinga wakubwa nyie !!!

View attachment 2759472
Mh alikuwa likizo isiyo na malipo...
 
Back
Top Bottom