Aliyetenguliwa Julai Temeke arejeshwa Septemba Mtwara

Aliyetenguliwa Julai Temeke arejeshwa Septemba Mtwara

Mambo yanaenda kwa spidi sana, hata barua ya uteuzi mteuliwa aliyekuwa balozi meja jenerali hajatajwa kwa cheo hicho cha ziada cha kibalozi


22 May 2023
RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI wa MABALOZI NANE, JENERALI MWAISAKA, JENERALI SIMULI, BYAKANWA na WENGINE
View attachment 2759523
Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo Meja Jenerali Simuli alikuwa Mkuu wa Utumishi Jeshini (JWTZ).



View: https://m.youtube.com/watch?v=5PEPm9ErW2I

MABALOZI-7.jpg
Rais Samia akimuapisha Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli, kuwa Balozi kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma tarehe 16 Agosti, 2023

Updates :
23 September 2023


hours ago — Taarifa kwa umma iliyotolewa inaeleza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Mwenyekiti wa bodi ya TANESCO.

Aibu naona mimi
 
Zimwi likujualo halikuli likakwisha. Ukiingia kwenye system huwezi lala njaa, mnabadilishana tu.
 
JamiiForums imeweza ku adapt kasi ya mabadiliko ya kiteknolojia kuweza kupata habari sahihi, inabidi vitengo vya serikali vya mawasiliano na pia uteuzi kwenda na kasi hiyo

TOKA MAKTABA:
JENERALI ULIMWENGU KATIKA MADA YA TEHAMA NDANI YA ULIMWENGU WA SASA


View: https://m.youtube.com/watch?v=ZLf2xtmCzFg
Jenerali Ulimwenguni anasema sasa mambo yanakwenda kwa kazi ya teknolijia ya habari na mawasiliano TEHAMA hivyo utendaji kazi mahali popote na pia elimu inayotolewa shuleni iendane na mabadiliko.

Speech of Jenerali Ulimwengu, Journalist and publisher, political commentator and active member of civil society, Dar es Salaam, Tanzania, at eLearning Africa 2nd August 2011. More at www.elearning-africa.com
 
Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa , haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona , halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu !

Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia , nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.

Siwahurumii hata kidogo Wajinga wakubwa nyie !!!

View attachment 2759472
Ipo sawa, maana Watanzania wenye sifa wameisha, ulitegemea atawapata wapi wengine kama siyo kufanya recycling?
Kwa huyu mama nchi imepigwa hiyo.
 
Utaachana nayo Kwa tume ipi na katiba gani? Tulieni tu dawa iingie.
Msidhani watawala waovu huwa wanaandika katiba mpya bali wananchi ndio wanapaswa kudai katiba.
Uchaguzi wa 2024 na 2025 mbinu zote za kuiba kura zitathibitiwa kwa uhakika. Haitawezekana kumtangaza mshindi ambaye hajashinda, uchafuzi wa 2020 hautajirudia.
 
Vyeo vya CCM vinahitaji Network na Kujuana, kama haupo kwenye circle yao utaendelea kulipwa buku 7 hadi Unazeeka [emoji119]
Lucas Mwamshamba ameamua kuuza mpaka utu wake ilia atupiwe japo utendaji wa kata, lakini wapi! Anaendelea kuweka namba yake ya simu kila siku lakini hatupiwi japo makombo!!

Lucas Mwamshamba, kama hajaoa, angejitahidi amtafute hata mpwa wa Samia, amwoe. Hiyo ingekuwa sifa tosha ya kuwa hata mkuu wa mkoa.
 
Lucas Mwamshamba ameamua kuuza mpaka utu wake ilia atupiwe japo utendaji wa kata, lakini wapi! Anaendelea kuweka namba yake ya simu kila siku lakini hatupiwi japo makombo!!

Lucas Mwamshamba, kama hajaoa, angejitahidi amtafute hata mpwa wa Samia, amwoe. Hiyo ingekuwa sifa tosha ya kuwa hata mkuu wa mkoa.
Umenena vyema mkuu, jamaa atatumiwa na kutupwa kama karatasi tu
 
Unaweza kutumbuliwa,baada ya uchunguzi wa kina vyombo vya juu vikagundua hakukuwa na makosa,
 
Back
Top Bottom