Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hehehee......ila kweli lakini ndio kusema huko Lumumba Fc wameisha?Sasa kama nyie hamtaki kuunga Juhudi unadhani CCM itapata wapi Vijana wachapakazi!
Wabunge tu ilibidi Shujaa Magufuli awachukue kwa nguvu wale Covid-19 wa Ufipa st πππ₯πΌ
Kwa tume hii hii?Haya ni maigizo kabisa, uchaguzi wa 2024 na 2025 ifike tu tuachane na haya maigizo kwa kweli.
Kwani hukumuona Chalamila?Tunaposema kwamba CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa, haiwezekani mtu atenguliwe kwenye U DC mwezi July na kuchafuliwa kila kona, halafu huyo huyo arejeshwe tena baada ya miezi miwili tu.
Hii maana yake ni kwamba nyie wapiga kelele humu JF mkiongozwa na johnthebaptist na mchumia tumbo Lucas mwashambwa hamufai hata kwa kulumangia, nyinyi mtabaki kusifia mauzo ya bandari tu.
Siwahurumii hata kidogo nyie.
View attachment 2759472
Imejaa majangili tupuAiseeeee !!
Hata wanamjua sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ina maana ndugu Lucas mwashambwa pamoja na kila thread zake kuweka namba za simu bado wakubwa hawamuoni tu? [emoji15][emoji15][emoji15]
Yaani utasema hakuna wengine wenye sifa stahili isipokuwa hao hao waliopo.Akina Kipara kipya hadi wamechoka sasa wamekimbia vita.
Haiwezekani Nchi nzima lakini teuzi ni watu wale wale. Hata akifukuzwa huku wanasubiri nafasi nyingine wampeleke kule as if hakuna watu wengine.
Cc Maharage Juma Pumba.