Aliyetufikisha Uchumi wa Kati ni Kikwete na siyo Magufuli, acheni kudanganya!

Aliyetufikisha Uchumi wa Kati ni Kikwete na siyo Magufuli, acheni kudanganya!

Btron wewe una akili ganzi! Nani alikuambia kuwa uchumi wa kati utafikiwa katika awamu moja!! Kila kiongozi anasogeza na marais wengine wanasogeza zaidi kuliko wengine! Hivyo sifa haiwezi kwenda kwa moja.

Tulia usikilize wenzako!!!
 
Btron wewe una akili ganzi! Nani alikuambia kuwa uchumi wa kati utafikiwa katika awamu moja!! Kila kiongozi anasogeza na marais wengine wanasogeza zaidi kuliko wengine! Hivyo sifa haiwezi kwenda kwa moja!!
Tulia usikilize wenzako!!!
Umesoma hoja zangu au umejibu kwa nyege zako
 
Jk alistaafu 2015 na Uchumi wa Kati chini tumeingia 2020 chini ya JPM.Kweli JK ni balaa,anapiga KAZI ata akiwa Mstaafu 😂😂😂
Uchumi wa kati tumeingia kwa takwimu za WB za kuishia mwaka 2015. Ushahidi Ni kufungwa kwa NGOs zilizokuwa zina deal na poverty alleviation kama Worldwide Concern iliyofunga ofisi mnamo May 2016.

JK alikuwa siyo mtu wa kupiga debe sana ndiyo maana Watanzania wengi hawajui. Mwendazake yeye alikuwa anapenda MASIFA sana ndiyo maana hata akina Kangi Lugola na Aggrrey Mwanri waliposema yeye ni kama Mungu aliona sawa tu
 
Huna tofauti na mtu ambaye hajui yanayoendelea duniani pamoja na kujitahidi kuaminisha ukichoandika. Kwa wanaojua yanayiendekea duniani tumekuelewa upeo wako.
 
Kikwete hakuwahi kuiingiza nchi katika uchumi wa kati, ila alikaribia. Na yeye alisema wazi kuwa Rais ajaye baada yake ataifikisha nchi katika uchumi wa kati.
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa video[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]kuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza[emoji1313][emoji1313]


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!

Udini wako hautakufikisha popote
 
Aliyetoa dollar toka 950 to 2200 ni hyo Kikwete. Magufuli ameingia dolla ilisimama
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa video[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]kuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza[emoji1313][emoji1313]


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!

Si ndo karudi ngoja sasa atupaishe zaidi.
 
Pumbavu mkubwa wewe?

Unakumbuka ni lini JPM amewahi kuwa raisi wa nchi hii??

Huna adabu kabisaa
 
Mimi nina amini 100%, JK alifanya kazi kubwa kuujenga uchumi na kuvutia FDI ila huyo mwendazake alikua anafanya juhudi kubwa kukimbiza FDI na kuua private sector. Its an open secret, lets call a spade by its name
Wapuuzi nyieee..mlikuwa mnamnanga jk wakat wake kuwa n dhaifuu..leo mnarudia matapishi yenu..tz kuna wananchi wa ajab kuwah kutokea..ndio mana jk alisema kuongoza watz inahitaj unafiki mwingi..mana watz wengi pia ni wanafik wa kutupwaaa
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa video[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]kuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza[emoji1313][emoji1313]


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!


Transforming Agriculture - Realizing the Potential of Agriculture for Inclusive Growth and Poverty Reduction​

13TH TANZANIA ECONOMIC UPDATE, DECEMBER 2019.
Tanzania was again one of the top growth performers in the region. Official GDP figures show that growth remained steady in the first half of the year, driven by higher public investment and by a recovery in exports. Inflation has been low and stable, and the balance of payments is quite sound despite a widening current account deficit. Exports are recovering from last year’s contraction. The Government's Tanzania Development Vision 2025 and the Five-Year Development Plan (FYDP II) set out ambitious goals for reducing poverty and sustainably industrializing so that the country can achieve middle-income status by 2025. The government recognizes agriculture as central to realizing its objectives of socioeconomic development, which are well-articulated in the Second Agriculture Sector Development Program (ASDP II). Among the goals of ASDP II are to transform agriculture by promoting commercialization, prioritizing high-potential commodity value chains, and mobilizing capital by giving the formal private sector a growing role in agriculture. Because agriculture and related value chains drive two-thirds of all jobs—three-quarters for the poor— the sector is central to creating more and better jobs at scale and significantly reducing poverty.
 

Human Capital: The Real Wealth of Nations​

12TH TANZANIA ECONOMIC UPDATE, JULY 2019.
Investing in human capital is essential for Tanzania. To generate future income and achieve sustainable development, people are the most important asset countries have. Part two of this economic update discusses where Tanzania stands in terms of its investments in human capital for both children and adults. The analysis is part of the World Bank Human Capital Project (HCP), which relies on both the Human Capital Index (HCI) and data on human capital wealth (HCW).
 

Managing Water Wisely - The Urgent Need to Improve Water Resources Management in Tanzania Public​

10TH TANZANIA ECONOMIC UPDATE, NOVEMBER 2017.
The tenth edition of the Tanzania Economic Update covers the state of the economy and includes a near term outlook, with a special focus chapter on one of the most cross-cutting determinants of development outcomes, water resource management. Part One presents a discussion and analysis of Tanzania's recent macroeconomic and fiscal performance, with an updated outlook for the near term. Part Two presents an analysis of Tanzania's management of its water resources, showing that the management of these resources has massive implications for Tanzania's people, its economy and its environment, and that there is an urgent need for improvements.
 
Back
Top Bottom