Aliyetufikisha Uchumi wa Kati ni Kikwete na siyo Magufuli, acheni kudanganya!

Aliyetufikisha Uchumi wa Kati ni Kikwete na siyo Magufuli, acheni kudanganya!

Unatumia nguvu nyingi sana kutetea hoja yako lakini roho inakusuta na ukweli unayafahamu,ulichobakiza ni roho ya kishetani isiyokuwa na shukrani hata kwa kidogo upatacho,acha mihemuko kunywa maji ya baridi tuliza nafsi yako,hiyo roho mbaya yako si chochote wala si lolote katika dunia hii.
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa video[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]kuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza[emoji1313][emoji1313]


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!
Mbona hukuyasema Akiwepo???

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa video[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]kuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza[emoji1313][emoji1313]


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!

Sawa mkuu. Ila kupanda kwa kipato huwa ni mchakato na siyo "on a point event". Mchakato wa kupanda kipato ulianza tangu enzi za awamu ya kwanza hadi awamu hii. Kwa hiyo, kila awamu inamchango wake katika mchakato huu. Tusirahisishe mambo kwa ajili ya kumsifu mtu.
 
Mimi nina amini 100%, JK alifanya kazi kubwa kuujenga uchumi na kuvutia FDI ila huyo mwendazake alikua anafanya juhudi kubwa kukimbiza FDI na kuua private sector. Its an open secret, lets call a spade by its name
Aliyetoa dollar toka 950 to 2200 ni hyo Kikwete. Magufuli ameingia dolla ilisimama
Wakati mwingine unaweza kuruhusu inflation ili uchumi wa nchi upande. Watu wa uchumi wanajua hilo. Juzi mhe. Aliyekuwa kiongozi crdb muda mrefu kalifafanua vizuri sana. Kea hiyo stability ya shilingi against USD ni jambo jema la Mhe . JPM tunakubaliana. Lakini kea nini mtu usikubali kuwa JMK alipandisha uchumi kama takwimu alizotoa mtoa mada ni sahihi. Kwani imukubali ukweli inakuondolea kuwa shabiki bora wa kiongozi umpendaye. Rwanda sana fedha yenye nguvu ukibadilisha pale mpakani, lakini per capita income yetu tunawapita mbali. Jamani JMk apewe sofa stahiki, siyo kutuimbia wimbo wa ufisadi kila siku , wimbo umechuja. Takwimu zinapinga vizuri , hivyo tumieni takwimu kujenga hoja.
 
Acheni uzuzu,uchumi upi huo wa kati, mbona watz tunakuwa wajinga hivi? Juzi nilipita vijiji vya kilolo iringa na baadhi ya maeneo ya Morogoro Ulanga, daah, kusema kuna uchumi wa kati ni wizi tu.

Maana kule kuna ufukara uliopitiliza, tembeeni muone acheni kupiga kelele za wanasiasa mitandaoni. MAISHA ni MAGUMU sana vijijini tuache utani aisee.
Afadhali ukawafundishe WB
 
Kikwete ndiyo aliye tufikisha angalau kwenye hiyo kitu ya uchumi wa kati.

Huyo baba yenu hana cha kujivunia alicho kifanya zaidi ya kututia umasikini
Uchumi wa Kati wa rushwa na ufisadi haukuwa wa haki! Uchumi wa haki ni wa Magufuli na ambaye alisimama kipindi cha Magu alisimama kiuhakika
 
Kikwete ndiyo aliye tufikisha angalau kwenye hiyo kitu ya uchumi wa kati.

Huyo baba yenu hana cha kujivunia alicho kifanya zaidi ya kututia umasikini
😂😂 Hapo ndo nashindwaga kuwaelewa nyumbu,Leo hii mmepiga zile gia zenu za angani,Si JPM ni JK ndo alituingiza uchumi wa Kati.🤣

Siku hizi hamsemi tena ni uongo JPM alitunga na uchumi umeporomoka so alikua anadanganya tupo uchumi wa Kati,mmebadili gia uchumi wa Kati tuliingia enzi za JK😂😂
Ila nyumbu lakini mbona mnafilisika akili namna hyoooo
 
Sawa mkuu. Ila kupanda kwa kipato huwa ni mchakato na siyo "on a point event". Mchakato wa kupanda kipato ulianza tangu enzi za awamu ya kwanza hadi awamu hii. Kwa hiyo, kila awamu inamchango wake katika mchakato huu. Tusirahisishe mambo kwa ajili ya kumsifu mtu.
Lakini wapo waliokua wanajimwambafai kwamba ndio wao pekee walioifikisha Tz kwenye uchumi wa kati na kutaka kuwafanya tuwaone waliotangulia hakuna walilofanya. Kuwaambia wastaafu waache "kuwashwawashwa" ni kauli isiyofaa kwa watu ambao walikianza kijiti kabla hujakipokea wewe.
 
Uchumi upi jamani mbona mimi sielewi , au huu wa kuteua wasanii ma diisii? hatari sana
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa video[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]kuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza[emoji1313][emoji1313]


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!
Mzimu wa JPM unasumbua baadhi ya watu sana nashauri kwenye mahoteli muwe mnachukua vyumba vya floor za chini vinginevyo mtajikuta mnakimbia kupitia madirishana kama Mwanamziki fulani wa Uganda.
Mtu kafanya mambo makubwa kwa muda mfupi na kayaacha yanaonekana,we unapambana tuyafute,huu si ni Uchawi.

Haya tuchukulie ni Tangazo tu la kwamba tumeingia uchumi wa kati lilitoka wakati wa JPM,matendo yalifanywa na JK,inatusaidia nini,sisi tunasubiri tangazo jingine litoke ndani ya miaka mitano tena kama atakuwa amefanya SSH,au JPM sisi tunaitaji matokeo.
 
Uchumi wa Kati wa rushwa na ufisadi haukuwa wa haki! Uchumi wa haki ni wa Magufuli na ambaye alisimama kipindi cha Magu alisimama kiuhakika
Siyo uchumi wa haki tu sema na ufisadi wa kihistoria umefanyika kipindi hicho.
 
😂😂 Hapo ndo nashindwaga kuwaelewa nyumbu,Leo hii mmepiga zile gia zenu za angani,Si JPM ni JK ndo alituingiza uchumi wa Kati.🤣

Siku hizi hamsemi tena ni uongo JPM alitunga na uchumi umeporomoka so alikua anadanganya tupo uchumi wa Kati,mmebadili gia uchumi wa Kati tuliingia enzi za JK😂😂
Ila nyumbu lakini mbona mnafilisika akili namna hyoooo
Huyu mtoa mada ndio ofisa habari wa IRAN,kipindi HAMAS inachabangwa alipotea humu,cha AJABU baada ya ISRAEL kusitisha mashambulizi AKAIBUKA na nyuzi lukuki eti HAMAS imeitandika ISRAEL
Apuuzwe tu!
 
Back
Top Bottom