Elections 2010 Aliyetuhumiwa Kumtukana Kikwete sasa Kugombea jimbo la Musoma Vijijini.......

Elections 2010 Aliyetuhumiwa Kumtukana Kikwete sasa Kugombea jimbo la Musoma Vijijini.......

Mkuu hii ni taarifa...Kaka mimi nimeombwa na wao coz wameona kazi niliyoifanya kipindi nagombea TEMEKE...Siwezi kuwaahidi nitawanfanyia nini ila nitakchofanya ni kushirikiana nao ili sote kwa pamoja (Wao na MIMI) tuiletee Musoma Vijijini maendeleo endelevu...Wadogo zetu na watoto wetu wafurahie kuzaliwa katika jimbo hili...Asante sana kwa kunitia moyo...

Big up nakuunga mkono nena kiagata pale tuna tawi na diwani wasaidie maana nami nilisha amua kujitoa mhanga ila sijaombwa pia kuwa mwangalifu mkono alivuruga jimbo lile kwa rushwa anawahonga walevi pombe kiasi kwamba kila tukienda hasa na gari wanadhani u mgombea usijaribu kuwapa pesa za gongo
 
Big up nakuunga mkono nena kiagata pale tuna tawi na diwani wasaidie maana nami nilisha amua kujitoa mhanga ila sijaombwa pia kuwa mwangalifu mkono alivuruga jimbo lile kwa rushwa anawahonga walevi pombe kiasi kwamba kila tukienda hasa na gari wanadhani u mgombea usijaribu kuwapa pesa za gongo

Mkubwa nimekusoma na ninashukuru sana..nivizuri pia ukijitoa mhanga..Unajua kwanini..nampenda sana hayati Dr. Martin King Jr...aliwahisema akiwaambia wamerekani weusi kuwa 'Kama mpaka sasa hakuna mmarekani aliyeona kuwa kuna jambo ambalo yuko tayari kufa kwalo basi hafai kuishi marekani'...Kumbe kujitolea kwako mhanga kunaonyehsa uko Tayari kufa kwa ajili ya Jimbo letu la Musoma Vijijini...Ndo maana nikasema kwa pamoja tunaweza kaka hebu nitextie namba ya simu ya huyo Diwani wetu wa hapo Kiagata....Asante sana kwa kuwa pamoja ndug yangu..
 
Angalia sana hiyo nyekundu maana cku ukiambiwa uwataje utaweza?...Wakiulizwa wametumwa na nani kukwambia au kukutext watajibu?....Je hao waliokwambia au kukutext wao wanakubalika kwa wananchi???.......ni dhahiri kuwa hao ni ndugu zako tu ambao pia wanajua makazi yako kwa hao waliokuja na ambao walikutext wanajua number yako ya cmu?,(Jibu rahisi ni kuwa watakuwa ni ndugu zako).
Nina nia njema sana na wewe ndiyo maana nakutahadharisha ili ukienda kule uwe na propaganda za maana, Binafsi cpendi mbunge aliyepo kule maana amekuwa cyo mbunifu wa miradi ya maendeleo bali ana technique ya kugawia viongozi (Madiwani,Watendaji Kata?Vijiji, Headteachers/schools) vijisent vyake binafsi BADALA YA KUTETEA JIMBO LAKE LIPATE MIRADI INAYOTOKANA NA KODI YA WANANCHI/SERIKALI....Hivyo kaza buti sana maana amewateka na wamebweteka sana,Ukitoa Butiama,kiabakari,Busegwe( Kwao MB) na Mgango ambazo zina umeme pia kwa Advantage ya ''Butiama Tu''...Wilaya nzima haina umeme, haina Lami hata ya kutambikia, haina Irrigation scheme yoyote,Maji taabu wakati wako karibu na ziwa, hakuna makao makuu ya Wilaya.....Unakazi kubwa sana ya KUFANYA NDUGI YANGU...hebu anzia hapo, Pia ile fununu ya wagombea wa Musoma Vijijini kununuliwa kaa chonjo pia
Naomba kuwasilisha..........
kwani hoja yangu imekuwa ngumu sana kujibika??, or u need more time?
 
Asante ingawa nina wasiwasi na kauli iliyopitwa na wakati ya "nimeombwa nigombee" 2015. Hata hivyo naamini kauli yako hapo juu imeingia kwenye "hansard" na utakuwa mwanifu kwazo ikiwepo kutokuwa msaliti hapo baadaye. Yaliyoandikwa yameandikwa. All the best.

Kaka nashukuru na ninakuahidi kuwa nitakuwa mwaminifu na nitasimimamia maneno yangu ondoa shaka...Ukweli sina maana ya kuwa nimekubalika kupita watu wengine mpaka kufikia kuombwa kugongea...Hii inatokana na watu walioona courage yangu kule Temeke na kwamba wanahitaji mbunge wa aina hiyo...sasa yawezekana kabisa CDM isiniteuwe na ikateuwa mtu mwingie kwan wako wengi wenye sifa na uwezo mkubwa wa uongozi hivyo kama sio mimi basi nitamsaidia atakayeteuliwa na CDM.
 
kwani hoja yangu imekuwa ngumu sana kujibika??, or u need more time?

Kaka siko katika kupimwa kuwa nafaa au sifai..nilichofanya nikuujulisha UMMA kuwa nimekubali kwa hao wachache niliozungumza nao na kusoma text zao kuwa nimekubali kugombea kama Mwenyezi Mungu atatupa uzima,hata hivyo nikasema nitaendelea kupambana nikishirikiana na wapenda maendeleo wote ili kuhakikisha tunaleta (WOTE) maendeleo endelevu..Sasa naomba niijibu hoja yako wakati huo ukifika ambapo kwanza wanaCDM watakuwa wanateua wagombea....
 
Kaka nashukuru na ninakuahidi kuwa nitakuwa mwaminifu na nitasimimamia maneno yangu ondoa shaka...Ukweli sina maana ya kuwa nimekubalika kupita watu wengine mpaka kufikia kuombwa kugongea...Hii inatokana na watu walioona courage yangu kule Temeke na kwamba wanahitaji mbunge wa aina hiyo...sasa yawezekana kabisa CDM isiniteuwe na ikateuwa mtu mwingie kwan wako wengi wenye sifa na uwezo mkubwa wa uongozi hivyo kama sio mimi basi nitamsaidia atakayeteuliwa na CDM.

Nimependa sana majibu yako mkuu-yametulia. Tuko pamoja, na daima kwa pamoja, tutafika.
 
CCM-CCK-CDM-CCM-CDM-?

sorry, naomba kuuliza,

unataka utuambia kuwa sasa utakuwa na msimamo, au msimamo wako ni popote upepo unapoelekea?

Dadangu Judith,

Inawezekana ukawa umenichanganya...sijawahi kuwa CCM-CCK-CDM-CCM-CDM...Ila ni ukweli usiopingika kuwa nilikuwa CCM na nikatoka nikawa CCJ ambayo nilikuwa mmoja wa viongozi wake wajuu kitaifa. Hata hivyo CCJ ilifanyiwa mizengwe na hivyo kutokuqualify kupata usajili..Baada ya hapo, tulitoa tamko la kuunganisha nguvu na CDM na hivyo ndivyo ilivyo so sijawahi kutoka tena CDM tangia hapo....Nimekuwa na msimamo huo na sitarajii wala sitegemei kuubadili. Sasa CCK ni baadhi ya wale ambao hawakwenda CDM, nasikia kwa ushauri wa mzee Tendwa wakaamua kuanzisha Chama kingine kinachoitwa CCK....Sasa sijui kama nimekujibu ipasavyo dadangu...
 
Kaka siko katika kupimwa kuwa nafaa au sifai..nilichofanya nikuujulisha UMMA kuwa nimekubali kwa hao wachache niliozungumza nao na kusoma text zao kuwa nimekubali kugombea kama Mwenyezi Mungu atatupa uzima,hata hivyo nikasema nitaendelea kupambana nikishirikiana na wapenda maendeleo wote ili kuhakikisha tunaleta (WOTE) maendeleo endelevu..Sasa naomba niijibu hoja yako wakati huo ukifika ambapo kwanza wanaCDM watakuwa wanateua wagombea....
Una dalili za kuwa mbunge, tusubiri ridhaa ya wananchi maana CDM ni chama cha watu cyo chama cha chama, Hope u got me
 
Nakutakia kila la kheri. Lakini naomba pia ufahamu nguvu ya fedha ya Mheshimiwa Mkono. Tatizo watu wengi wamezoea 'lamba lamba' hasa wakazi wa vijijini.

Mpaka nakubaliana na ushawishi wa kugomea ujue nimefanya utafiti wa kina na nina hakika kwamba, kama Mwenyezi Mungu atanijalia uzima na afya njema na kama CDM kitaniteua niwe mgombea na mwisho tume ikaniteuwa..ninahakika ya ushindi coz udhaifu wa mkono ninaufahamu licha ya kuwa anapesa za kufa mtu...Usihofu ndugu yangu tuko pamoja..
 
Mkuu,..
heshima kwako!

nina maswali mawili na maoni/doughts pia
maswali:
1.Kwanini hauta gombea temeke tena au umeona uwezekano wa kushindo ndo basi tena?
2.mara ya mwisho ulikua musoma vijijini lini?
3.kesi yako imeishia wapi?

doughts...
1.sidhani kama wananchi wa musoma vijijini wame mchoka mkono kiasi hicho,
ana daiwa kuwa fisadi,lakini ni fisadi anae leta maendeleo sana katika jimbo lake.
kila mwana msm vijijini na hata mjini analijua hilo,...labda kama atakua hayupo au hatagombea ndo utashinda!

2.Nime zaliwa mwanza,ila std1-7 nimesomea musoma vijijini,tarafa ya kiagata,kata ya bwiregi na kijiji cha masurura,...
na shule ya msingi masurura!
katika mda nilio soma huko,toka mkono alipo kuwa mbunge ame badilisha mambo mengi sana hadi kujiwekea uhakika wa
kushinda kwa kishindo hata asipo piga kampeni!
Kwanini unadhani utashinda au kwa sababu ndugu zako wame kuita huko?

3.kuna mgombea alokua huko alijitoa,na ina daiwa ni kwa sababu mkono alimpa chapaa kibao na ukawa mtaji wake,
hii ni kwasababu mkono hakutaka shida ya kuzunguka na kampeni ingawa alikua na uhakika wa kushinda,...
je,na wewe umependa dau la mkono hadi ujitokeze kwenda kugombea huko?

All the best mkuu,...
 
Mimi naunga mkono miguu na mikono; maana tusibaki kuongelea pembeni mikia chini ya kitovu na mara mtu mwingine anapodiriki kujitokeza hadharani tunaanza kumvunja moyo ili naye afyate mkia kama mbwa koko!

Nilishawahi kusema huko nyuma ili cdm ifike huko vijini kwa urahisi ni lazima tupate watu wenye nia ya kugombea maeneo yale ili waanze kazi ya kukijenga chama na kuweka mahusiano mazuri na watu wale.
Mabo ya kupeleka sura zetu 2014 eti tunataka kura haitaKuwa. Mtu anayetaka kugombea ni lazima awekeze siyo chini ya miaka mitatu akifanya kazi ya kukijenga chama kwa kuwa na watu wenye ushawishi kila kona ya jimbo na wanachama waaminifu watakao kitanganza chama

Mimi nashauri chadema iwaruhusu watu ambao wana nia ya kugombea waanzenze leo kazi hiyo na sikusubiri utaratibu wa chama kama wanamagamba. Lazima cdm ilichukulia swala la kugombea ni haki ya msingi na kila mtu anaruhusiwa ni kazi yake kwenda kujiuza na kukubalika kwa wananch hiyo siyo kazi ya uongozi wa cdm.

Kama kuna watu zaidi ya mmoja wanataka kugombea jimbo moja iwe ni kazi yao kujiuza kwa wananchi mpaka wakati wauteuzi utakapo fika.
Mimi naamini mtu atakeye fanikiwa kukijenga chama pia atakuwa amekubalika na hakutakuwa na sababu ya kutompitisha kugombea ili hali amekiletea faida pia chama.
Pia itakuwa rahisi kwa watu kuwachuja hawa wagombea maana watakuwa wakishirikiana nao kwa muda mrefu zaidi kuliko ilivyo sasa mtu anaweza kutumia lambalamba kwa muda mfupi akwateka watu. Lakini hawezi kutoa lambalamba kwa muda wa miaka minne mfululizo hata kama yeye ni tajiri atachoka tu.

Tukumbuke mtu mwenye nia yakuwaletea watu mabadiliko ya kweli na sikupata jimbo, hachoki hata akishindwa bado ataendelea kushirikiana na hawa watu mpaka watakubaliana naye maana ataendelea kutimiza ahadi zake hatakama ameshindwa.

Once again mimi na unga mkono na kama kuna mtu mwingine anataka pia kupambana na huyu brother ni ruksa ajitokeze pia wakati huu maana mwisho wa siku ni wananchi ndo wanaamua ni yupi anawafaa na siyo uongozi wa cdm.

Haya ni mshambulizi mazuri kwa wana magamba kabla hawajaanza kuchakachua ni lazima wajue kabisa 2015 cdm siyo tena mambo ya kuzima moto kama vyama vya akina DOVUTWA.
 
Ndugu zangu Watanzania na wale wote wenye kuitakia mema Tanzania, nawasalimu,

Nimeona ni bora kuliweka hili wazi kwa kila Mtanzania ili ajue ni kitu gani kinaendelea. Baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka jana, yalisemwa mengi sana juu yangu kuwa nimerudi CCM n.k. Kama ilivyo kawaida yangu, nimechelewa sana kujibu hata hivyo sikuona umuhimu wa kujibu kwani wakati muafaka ulikuwa haijafika. Wahenga walisema, uwe mwepesi wa kusikia na sio kusema. Sasa wakati umefika na ninapenda kuwaambia habari hizo hakuwa na hazina ukweli wowote. Mimi bado ni mwanachama wa CDM na ninaipenda sana..

Baada ya kusema hayo, napenda pia kuchua fulsa hii kuwashukuru wakazi wa jimbo la Musoma Vijijini kwa mapenzi yao mema kwangu na kwa familia yangu. Pia niwashukuru kwa kuamua kuniunga mkono katika harakati hizi za ukombozi wa Taifa letu. Kutoka ndani ya moyo wangu, naomba Mpokee shukrani zangu. Pia niwashukuru wale wote waliosafiri kutoka Musoma kuja kuniomba nikubali kugombea jimbo la Musoma Vijijini katika uchaguzi mkuu ujao (2015) lakini pia wale wote walionipigia simu na kunitumia msgs kunitaka nikubali ombi hilo..SASA NASEMA KUWA NIMEKUBALI OMBI HILO LA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO MUSOMA VIJIJINI IKIWA MWENYEZI MUNGU ATATUPATIA UZIMA NA AFYA NJEMA.....

Sababu za kukubali wito huo ni kutokana na ukweli kuwa nusu ya maisha yangu nimeyaishi Musoma both vijijini na mjini hivyo ninaijua vizuri Musoma. Huku ndiko Marehemu mama yangu alizaliwa na kukulia na ndiko alikokutana na Marehemu mzee wangu Dr Ng'hily..Huku ndiko ambako walezi wangu kwa maana ya Babu na Bibi Eliasaph magafu Samanyi wamezikwa...

Hata hivyo, kubwa kuliko yote ni maendeleo duni waliyonayo wakazi wa jimbo la Musoma Vijijini ambao wamekuwa nyuma kimaendeleo licha ya kuwa na natural resouces za kutosha...kama vile madini,uvuvi,utalii nk. Ninaamini kwa pamoja tunaweza kuibadilisha Musoma (V) na kuwa moja ya jimbo la kuigwa katika mkoa wa mara interms of maendeleo endelevu.

Ndg zangu, HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE...Ninawahakikishia ya kuwa sitawaangusha...Ujasiri nilionao nitautumia kudai haki na uhuru wa makazi wa jimbo la Musoma (V). Na kazi hii naifanya kuanzia sasa na ninawaomba ushirikiano wenu. Mungu awabriki sana kwa yote...

Naona unajisifia kuwa ulimtukana kikwete, huji hiyo ilipunguza kura zako Temeke? Pia hujazungumzia kuwa uligombea ubunge Temeke, huoni hiyo itachanganya watu wadhani ni yule aliyehongwa akampitisha mkono bila kupingwa?
Pia hujasema kura ulizopta Temeke ili tujue nguvu yako kisiasa katika jimbo ambalo hukujiandaa?
 
Asante sana ndugu yangu 'VIKWAZO' kumbe na wewe umeviona eeeeh...nway kaka tuko pamoja..Tafadhari unakaribishwa kwa mchango wa mawazo unaweza ni e-mail kwa nghily@hotmail au kwa skype dickson.nghily au waweza nitwangia ukopenda kwa +255716030030,+255765030030 au +255788030030...Ubarikiwe sana kwa kunitia moyo...
wewe ulitegemea uje hapa halafu tukuchekeee tu kwa sababu unagombea ubunge kwa kupitia chadema? kwanza mpaka hapa wewe jamaa ushaukosa ubunge, hujaja na strategic gani ambazo utazitumia ili kuwakomboa wananchi wa kigoma . so we can say kuwa wewe ni useless kwanza kitendo cha kumtukana rais wewe unachukulia kama ni sifa? hufai kabisa kuwa chadem kwenye chama makini .njoo kivingine ila sio kujisifia eti kwa kuwa unatuhumiwa kumtukana rais. we dont know you.
 
Mkuu,..
heshima kwako!

nina maswali mawili na maoni/doughts pia
maswali:
1.Kwanini hauta gombea temeke tena au umeona uwezekano wa kushindo ndo basi tena?
2.mara ya mwisho ulikua musoma vijijini lini?
3.kesi yako imeishia wapi?

doughts...
1.sidhani kama wananchi wa musoma vijijini wame mchoka mkono kiasi hicho,
ana daiwa kuwa fisadi,lakini ni fisadi anae leta maendeleo sana katika jimbo lake.
kila mwana msm vijijini na hata mjini analijua hilo,...labda kama atakua hayupo au hatagombea ndo utashinda!

2.Nime zaliwa mwanza,ila std1-7 nimesomea musoma vijijini,tarafa ya kiagata,kata ya bwiregi na kijiji cha masurura,...
na shule ya msingi masurura!
katika mda nilio soma huko,toka mkono alipo kuwa mbunge ame badilisha mambo mengi sana hadi kujiwekea uhakika wa
kushinda kwa kishindo hata asipo piga kampeni!
Kwanini unadhani utashinda au kwa sababu ndugu zako wame kuita huko?

3.kuna mgombea alokua huko alijitoa,na ina daiwa ni kwa sababu mkono alimpa chapaa kibao na ukawa mtaji wake,
hii ni kwasababu mkono hakutaka shida ya kuzunguka na kampeni ingawa alikua na uhakika wa kushinda,...
je,na wewe umependa dau la mkono hadi ujitokeze kwenda kugombea huko?

All the best mkuu,...

Mheshimiwa Speaker, nashukuru kwa maswali yako ila sidhani kama ni busara kuyajibu sasa...hebu ngoja nikijenge CHAMA kwanza kwa kushirikiana na wananchi pamoja na wana CDM. Na pia nashukuru kwa daut zako coz kama mwanadamu una haki ya ku-dought na nimezipenda sana na wakati ukifika,WanaCDM wakanipa ridhaa na Tume ikaniteua nitakuprov wrong na hata kama sikuteuliwa mimi,akateuliwa mwanaCDM mwingine,nitafanya naye kazi bega kwa bega ili kukuprov wrong juu ya imani yako kwa Mkono...Naomba kuwasilisha mkuu..
 
wewe ulitegemea uje hapa halafu tukuchekeee tu kwa sababu unagombea ubunge kwa kupitia chadema? kwanza mpaka hapa wewe jamaa ushaukosa ubunge, hujaja na strategic gani ambazo utazitumia ili kuwakomboa wananchi wa kigoma . so we can say kuwa wewe ni useless kwanza kitendo cha kumtukana rais wewe unachukulia kama ni sifa? hufai kabisa kuwa chadem kwenye chama makini .njoo kivingine ila sio kujisifia eti kwa kuwa unatuhumiwa kumtukana rais. we dont know you.

Mh. Ivuga, nashukuru sana kwa mchango wako coz uko na uhuru wa kusema chochote unachoweza bila kuvunja shria za nchi...Na hapa kusema ukweli haujavunja shria yeyote...Labda nikusahihishe kuwa sio Kigoma ila ni Musoma Vijijini...Ubarikiwe sana...
 
Back
Top Bottom