mkibunga
Senior Member
- Nov 17, 2010
- 196
- 25
Mkuu hii ni taarifa...Kaka mimi nimeombwa na wao coz wameona kazi niliyoifanya kipindi nagombea TEMEKE...Siwezi kuwaahidi nitawanfanyia nini ila nitakchofanya ni kushirikiana nao ili sote kwa pamoja (Wao na MIMI) tuiletee Musoma Vijijini maendeleo endelevu...Wadogo zetu na watoto wetu wafurahie kuzaliwa katika jimbo hili...Asante sana kwa kunitia moyo...
Big up nakuunga mkono nena kiagata pale tuna tawi na diwani wasaidie maana nami nilisha amua kujitoa mhanga ila sijaombwa pia kuwa mwangalifu mkono alivuruga jimbo lile kwa rushwa anawahonga walevi pombe kiasi kwamba kila tukienda hasa na gari wanadhani u mgombea usijaribu kuwapa pesa za gongo