Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
- Thread starter
- #61
Naona unajisifia kuwa ulimtukana kikwete, huji hiyo ilipunguza kura zako Temeke? Pia hujazungumzia kuwa uligombea ubunge Temeke, huoni hiyo itachanganya watu wadhani ni yule aliyehongwa akampitisha mkono bila kupingwa?
Pia hujasema kura ulizopta Temeke ili tujue nguvu yako kisiasa katika jimbo ambalo hukujiandaa?
Hoyce dadangu,cjifii coz sikumtukana,ila nimesema aliyetuhumiwa...pili hilo la kutukana halikunipunguzia kura TMK kwa sababu halikutokea...tatu nilipata kula elfu28,8 na ushee...nne ni kweli kuna walionichanganya ila mimi nidhani wataona hiyo avata na kujua kuwa huyu ni mwingine..Mwisho nakutakia kila la kheri