Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
- Thread starter
-
- #61
Naona unajisifia kuwa ulimtukana kikwete, huji hiyo ilipunguza kura zako Temeke? Pia hujazungumzia kuwa uligombea ubunge Temeke, huoni hiyo itachanganya watu wadhani ni yule aliyehongwa akampitisha mkono bila kupingwa?
Pia hujasema kura ulizopta Temeke ili tujue nguvu yako kisiasa katika jimbo ambalo hukujiandaa?
Mimi naunga mkono miguu na mikono; maana tusibaki kuongelea pembeni mikia chini ya kitovu na mara mtu mwingine anapodiriki kujitokeza hadharani tunaanza kumvunja moyo ili naye afyate mkia kama mbwa koko!
Nilishawahi kusema huko nyuma ili cdm ifike huko vijini kwa urahisi ni lazima tupate watu wenye nia ya kugombea maeneo yale ili waanze kazi ya kukijenga chama na kuweka mahusiano mazuri na watu wale.
Mabo ya kupeleka sura zetu 2014 eti tunataka kura haitaKuwa. Mtu anayetaka kugombea ni lazima awekeze siyo chini ya miaka mitatu akifanya kazi ya kukijenga chama kwa kuwa na watu wenye ushawishi kila kona ya jimbo na wanachama waaminifu watakao kitanganza chama
Mimi nashauri chadema iwaruhusu watu ambao wana nia ya kugombea waanzenze leo kazi hiyo na sikusubiri utaratibu wa chama kama wanamagamba. Lazima cdm ilichukulia swala la kugombea ni haki ya msingi na kila mtu anaruhusiwa ni kazi yake kwenda kujiuza na kukubalika kwa wananch hiyo siyo kazi ya uongozi wa cdm.
Kama kuna watu zaidi ya mmoja wanataka kugombea jimbo moja iwe ni kazi yao kujiuza kwa wananchi mpaka wakati wauteuzi utakapo fika.
Mimi naamini mtu atakeye fanikiwa kukijenga chama pia atakuwa amekubalika na hakutakuwa na sababu ya kutompitisha kugombea ili hali amekiletea faida pia chama.
Pia itakuwa rahisi kwa watu kuwachuja hawa wagombea maana watakuwa wakishirikiana nao kwa muda mrefu zaidi kuliko ilivyo sasa mtu anaweza kutumia lambalamba kwa muda mfupi akwateka watu. Lakini hawezi kutoa lambalamba kwa muda wa miaka minne mfululizo hata kama yeye ni tajiri atachoka tu.
Tukumbuke mtu mwenye nia yakuwaletea watu mabadiliko ya kweli na sikupata jimbo, hachoki hata akishindwa bado ataendelea kushirikiana na hawa watu mpaka watakubaliana naye maana ataendelea kutimiza ahadi zake hatakama ameshindwa.
Once again mimi na unga mkono na kama kuna mtu mwingine anataka pia kupambana na huyu brother ni ruksa ajitokeze pia wakati huu maana mwisho wa siku ni wananchi ndo wanaamua ni yupi anawafaa na siyo uongozi wa cdm.
Haya ni mshambulizi mazuri kwa wana magamba kabla hawajaanza kuchakachua ni lazima wajue kabisa 2015 cdm siyo tena mambo ya kuzima moto kama vyama vya akina DOVUTWA.
Sijuhi ilikuwaje lakn uenda unapandwa na jazba bila msingi kama pale Temeke mtu anakudrive tu kidogo unapanda mori,unakuwa mkali,unatoa lugha mbaya (easy to tease) ,ni lazma ujifunze kuvumilia na kujenga hoja,jibu hoja kwa hoja,hyo ndo siasa ya CDM
lakini pia sie hatuhtaji kujua hayo sahv,ww nenda jimboni piga kazi,simika chama,buni miradi katika jamii,shiriki kutatua matatizo ya wananchi then ndo uje hapa jamvini utwambie umeishafanya nini... kwa njia hyo you can defeat your opponent,otherwise sisi hapa ni washauri tu kazi ni kwako,take t!
ndio huko hukoMh. Ivuga, nashukuru sana kwa mchango wako coz uko na uhuru wa kusema chochote unachoweza bila kuvunja shria za nchi...Na hapa kusema ukweli haujavunja shria yeyote...Labda nikusahihishe kuwa sio Kigoma ila ni Musoma Vijijini...Ubarikiwe sana...
mkuu kwa nini ulimtukana Rais wao wa ccm?
Mkuu me sikumtukana na kwa kuwa hilinilikwishalitolea ufafanuzi humu humu, basi wewe search 'asiyefunzwa na mamaye ni tusi' hapo utapata majibu ya swali lako kaka...asante na usiku mwema...
Mheshimiwa Speaker, nashukuru kwa maswali yako ila sidhani kama ni busara kuyajibu sasa...hebu ngoja nikijenge CHAMA kwanza kwa kushirikiana na wananchi pamoja na wana CDM. Na pia nashukuru kwa daut zako coz kama mwanadamu una haki ya ku-dought na nimezipenda sana na wakati ukifika,WanaCDM wakanipa ridhaa na Tume ikaniteua nitakuprov wrong na hata kama sikuteuliwa mimi,akateuliwa mwanaCDM mwingine,nitafanya naye kazi bega kwa bega ili kukuprov wrong juu ya imani yako kwa Mkono...Naomba kuwasilisha mkuu..
Dah kamanda nakukubali...manake ile siku Dk Dlaa alikuachia maik tu usalimie...aagh palikuwa hapatoshi, nayakumbuka sana hayo maneno ''asiyefunzwa na *****"...duh we kweli ni noma,ulivyokuwa mkali siku ile,nimeshangaa hapa JF umekuwa mpole kweli. Isitoshe kipindi cha uchaguzi ulikuwa mrefu mrefu na mwembamba laakini kwenye picha yako inaoneka ni mfupi na mnene, au ndo mambo ya ruzuku??
bt all the best mkuu!!
Naomba niwe hai mda huo ili nione utanunuliwa kwa bei gani na mkono
Dadangu Judith,
Inawezekana ukawa umenichanganya...sijawahi kuwa CCM-CCK-CDM-CCM-CDM...Ila ni ukweli usiopingika kuwa nilikuwa CCM na nikatoka nikawa CCJ ambayo nilikuwa mmoja wa viongozi wake wajuu kitaifa. Hata hivyo CCJ ilifanyiwa mizengwe na hivyo kutokuqualify kupata usajili..Baada ya hapo, tulitoa tamko la kuunganisha nguvu na CDM na hivyo ndivyo ilivyo so sijawahi kutoka tena CDM tangia hapo....Nimekuwa na msimamo huo na sitarajii wala sitegemei kuubadili. Sasa CCK ni baadhi ya wale ambao hawakwenda CDM, nasikia kwa ushauri wa mzee Tendwa wakaamua kuanzisha Chama kingine kinachoitwa CCK....Sasa sijui kama nimekujibu ipasavyo dadangu...
umenijibu vizuri kaka, ubarikiwe sana.
katika mambo ya siasa, ni vizuri ukawa unajua unasimamia nini. kama ulitoka ccm, ukaanzisha ccj maana hukuona chama chochote cha maana na chenye uelekeo unaouamini katika kupigania maendeleo ya wananchi na ikiwemo hii chadema uliyolazimika kuingia baada ya chama chako kushindwa kupata usajili. hata tendwa si wa kulaumiwa sana kwa sababu ilionekana shida yenu ilikuwa usajili tu kisha mgawane mmoja agombee urais na wengine ubunge basi, kwa hiyo watanzania wengi waliona kuwa tendwa aliwasaidia kuwaonyesha nyie ni watu wa aina gani.
huu uzuri wa chadema unaouona sasa ina maana wakati wa ccj hukuuona?
sitaki kuwa hakimu wa dhamira yako na ya wenzako, ila sio siri, "nakuogopa" sana
nakutakia kila la heri ila kwa kweli hujaipata bado kura yangu ikitokea uchaguzi unaitishwa sasa hivi.
uwe na amani na Mungu akubariki