Alianza kusambaza habari za mazishi kabla ya kifoKatika chaneli hiyo ya mtandao mtuhumiwa huyo aliandika, “BREAKING NEWS HUZUNI YATANDA MAZISHI YA MWAKYEMBE” taarifa ambazo ziliibua taharuki kubwa kwa wananchi hasa kwa Dkt. Mwakyembe mwenyewe na familia yake.
Vingi vilizalishwa wakati wa Mwakyembe mwenyewe akiwa Waziri wa habari kama siyo Katiba na sheriaVichannel vya design hivyo viko vingi Sana ...nadhani polisi na TCRA Wana kazi ya kufanya...vinazusha viongozi jinsi walivyokuwa etc..
Sawa utashinda ila uwaoneshe huyo Mwakyembe aliyekufa yuko wapi?Easy tu!Kwani mwakiyembe s ukoo tu au Dr yeye kajimilikisha Pekee ake
Hiyo kesi nikipewa nashinda kbl bas hazijafika bagamoyo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Tazarn Alfan Mwambengo (27), mkazi wa Ukonga, ambae anatuhumiwa kusambaza taarifa za uongo kuhusu kifo cha Dkt. Harrison Mwakyembe kupitia chaneli ya televisheni ya mtandaoni jambo ambalo si la kweli.
Katika chaneli hiyo ya mtandao mtuhumiwa huyo aliandika, “BREAKING NEWS HUZUNI YATANDA MAZISHI YA MWAKYEMBE” taarifa ambazo ziliibua taharuki kubwa kwa wananchi hasa kwa Dkt. Mwakyembe mwenyewe na familia yake.
...Kuna Mjinga Mwingine kule Facebook ameamdika kabisa aliyekuwa Spika wa Bungee, yule waliepishana Kauli na Raisi, Eti amefariki, kataja na Jina Kabisa!Hao madogo wa YouTube huwa niwa pumbavu sana,usikute yeye aliandika kabisa Harrison Mwakyembe na kibaya zaidi ukute alitumia hadi picha zake
...Kwani Harrison Mwakyembe ni Mmoja TU Fanzania?Watanzania ni wapumbavu sana. Yaan mtu ametaja kabisa Harrison Mwakyembe bado unataka kusema hakumaanisha yy. Hali hiyo mpate maendeleo kwa mawazo hayo ya makalioni.??
...Wanaotafuta 'Likes' TU!...Wana heading za kingese sana, mi huwa sifungui vichanel vyao
Huyo mwakyembe ni nani mpaka azue taharuki kiasi hicho?
Hilo ZEE hata likifa ni sawa tu halina faida zaidi ya kutafuna TOZO ZETU.
Wamuachie huyo dogo. Waache kiherehere.
Kama hawana kazi waje watapishe choo changu hapa kimejaa.
Yaan sijui wanatutaka nn
utuache 😂
Huwa wana heading za kijinga sana hawa watotoJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Tazarn Alfan Mwambengo (27), mkazi wa Ukonga, ambae anatuhumiwa kusambaza taarifa za uongo kuhusu kifo cha Dkt. Harrison Mwakyembe kupitia chaneli ya televisheni ya mtandaoni jambo ambalo si la kweli.
Katika chaneli hiyo ya mtandao mtuhumiwa huyo aliandika, “BREAKING NEWS HUZUNI YATANDA MAZISHI YA MWAKYEMBE” taarifa ambazo ziliibua taharuki kubwa kwa wananchi hasa kwa Dkt. Mwakyembe mwenyewe na familia yake.
Shida haipiti siku mnyakyusa hajafanya kituko.utuache 😂
Kwahiyo huyo DR HARRISON MWAKYEMBE yuko peke ake dunianJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Tazarn Alfan Mwambengo (27), mkazi wa Ukonga, ambae anatuhumiwa kusambaza taarifa za uongo kuhusu kifo cha Dkt. Harrison Mwakyembe kupitia chaneli ya televisheni ya mtandaoni jambo ambalo si la kweli.
Katika chaneli hiyo ya mtandao mtuhumiwa huyo aliandika, “BREAKING NEWS HUZUNI YATANDA MAZISHI YA MWAKYEMBE” taarifa ambazo ziliibua taharuki kubwa kwa wananchi hasa kwa Dkt. Mwakyembe mwenyewe na familia yake.
Wana uandishi wa kipuuzi mnooo ili tu kupata viewer'sHao madogo wa YouTube huwa niwa pumbavu sana,usikute yeye aliandika kabisa Harrison Mwakyembe na kibaya zaidi ukute alitumia hadi picha zake
Ngoja aende mahabusu na jela akapumuliwe na mahabusu hadi akili zimrudieJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Tazarn Alfan Mwambengo (27), mkazi wa Ukonga, ambae anatuhumiwa kusambaza taarifa za uongo kuhusu kifo cha Dkt. Harrison Mwakyembe kupitia chaneli ya televisheni ya mtandaoni jambo ambalo si la kweli.
Katika chaneli hiyo ya mtandao mtuhumiwa huyo aliandika, “BREAKING NEWS HUZUNI YATANDA MAZISHI YA MWAKYEMBE” taarifa ambazo ziliibua taharuki kubwa kwa wananchi hasa kwa Dkt. Mwakyembe mwenyewe na familia yake.