Aliyetumia chaneli yake katika YouTube kumzushia kifo Dkt. Harrison Mwakyembe, akamatwa

Aliyetumia chaneli yake katika YouTube kumzushia kifo Dkt. Harrison Mwakyembe, akamatwa

Mwakyembe ni ubini wa mtu mmoja tu Duniani?
Sasa kwanini utoe taarifa ambayo ni misleading? Umafahamu kabisa Mwakyembe Harrison ndiye anafahamika. Mfano leo useme ‘Huzuni yatanda mazishi ya Samiah’ , hata kama Samiah wapo wengi, bado utaleta taharuki
 
Back
Top Bottom