Tetesi: Aliyetumika kumrubuni Patrobas Katambi kuhamia CCM!

Uyu Juliana Si Angakuja Tuuu Nimchezee Kizaz Kuliko Uwo Ushez Wanao Ufanya
 
Kaenda kuchuma fursa kwenye "shamba la bibi"
 
Jinga jingine hili hapa, huenda ni Li Chadema tu.
 
Ni ngoma ya Mwigulu ila kwass baba Jesca ameanza kulamba taratibu c unajua ukipata damu changa kidogo ndio uliochangia kutoelewana kati ya Baba Jesca na Mwigulu. Mwigulu anapenda cheo imebidi aachie totoz
 
Kwani unaogopa nini kumtaja? Si ungeweka wazi kuwa anatoka kwenye Familia/ukoo unayopenda ndoa za jinsia moja na kukobolewa!
Mkuu uchochezi huo,utaitwa Central na badaye ukapime mkojo.
 
Nilikuwa sijakusoma, mana umeandika tetesi, na tetetsi yenyewe nikadhani uyo aliye mshawishi katambi ndo anataka kuhamia ccm
 
Kwa hiyo sio kununuliwa tena . kumbe alirubuniwa
 
Kweli bwana mdogo Katambi alikuwa nguzo muhimu BAVICHA
 
Siasa na njaa,katikati hela lazima uyumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…