Aliyetunga wimbo wa "Idd Amin akifa, mimi siwezi kulia..." Ukaimbwa mashule na kambini kama kibwagizo alikuwa nani?

Aliyetunga wimbo wa "Idd Amin akifa, mimi siwezi kulia..." Ukaimbwa mashule na kambini kama kibwagizo alikuwa nani?

Jamani msiwe mnakaa kimya sana, mnatuogopesha
 
Huu wombo tangu jana nautafuta nisikilize lakini sipati
 
Habari wadau!

Tuko kwenye mjadala hapa!

Wapo wanaodai ni mwalimu nyerere wengine wanasema ni Mboma, wengine wanasema ni Rais Moi!

Je, ni nani aliyetunga wimbo huo uliosikika kwa maneno "Iddi Amin Akifaa, Mimi siwezi kuliaa, nitamtupa kageraa, ili awe chakula cha mamba!

Je, wimbo huo ulikuwa na ujumbe gani kwa watawala waliofuata?

Alietunga wimbo huo atakua hajitambui, kama ni nyerere nae alishakufa, kama ni moi alishakufa, sasa faida yake nini!!!! Je, na waganda pia walitunga wimbo wao siku "Nyerere akifa, mimi siwezi kuliaa"????????? Ni upumbavu tu, ulie usilie itampunguzia nini idd amini kama sio ulimbukeni.........
 
Siyo Hayati Kapteni John Komba kweli akiwa jeshini kipindi hicho?
Hapana sio Komba
Huu wimbo wa zamani sana nadhani Komba alikuwa bado shuleni


Kipindi cha Mwalimu Jeshi lilikuwa Jeshi uimbaji ulitukuka Ulinzi wa mipaka yetu ulikuwa imara
JKT ilikuwa JKT tuliimba sana hizi nyimbo
Mwingine huu hapa
....pole sana Amin Kafikiria Kashindwa kaona achukue Kagera ambayo ni mali ya . ....'
Unaimba kwa bidii huku ukisubiria kichele
Sky Eclat
 
Hapana sio Komba
Huu wimbo wa zamani sana nadhani Komba alikuwa bado shuleni


Kipindi cha Mwalimu Jeshi lilikuwa Jeshi uimbaji ulitukuka Ulinzi wa mipaka yetu ulikuwa imara
JKT ilikuwa JKT tuliimba sana hizi nyimbo
Mwingine huu hapa
....pole sana Amin Kafikiria Kashindwa kaona achukue Kagera ambayo ni mali ya . ....'
Unaimba kwa bidii huku ukisubiria kichele
Sky Eclatmm
Hapana sio Komba
Huu wimbo wa zamani sana nadhani Komba alikuwa bado shuleni


Kipindi cha Mwalimu Jeshi lilikuwa Jeshi uimbaji ulitukuka Ulinzi wa mipaka yetu ulikuwa imara
JKT ilikuwa JKT tuliimba sana hizi nyimbo
Mwingine huu hapa
....pole sana Amin Kafikiria Kashindwa kaona achukue Kagera ambayo ni mali ya . ....'
Unaimba kwa bidii huku ukisubiria kichele
Sky Eclat
Ilikua ni enzi za Brigadier Moses Nauye na Mkuu wa Majeshi Generali Sarakikya. Walithamini sana vipaji jeshini. John Komba aliacha kazi yake ya uwalimu ni kuingia jeshini.
 
Hapana sio Komba
Huu wimbo wa zamani sana nadhani Komba alikuwa bado shuleni


Kipindi cha Mwalimu Jeshi lilikuwa Jeshi uimbaji ulitukuka Ulinzi wa mipaka yetu ulikuwa imara
JKT ilikuwa JKT tuliimba sana hizi nyimbo
Mwingine huu hapa
....pole sana Amin Kafikiria Kashindwa kaona achukue Kagera ambayo ni mali ya . ....'
Unaimba kwa bidii huku ukisubiria kichele
Sky Eclat
Kwahiyo aliyetunga huo wimbo ni nani
 
Alietunga wimbo huo atakua hajitambui, kama ni nyerere nae alishakufa, kama ni moi alishakufa, sasa faida yake nini!!!! Je, na waganda pia walitunga wimbo wao siku "Nyerere akifa, mimi siwezi kuliaa"????????? Ni upumbavu tu, ulie usilie itampunguzia nini idd amini kama sio ulimbukeni.........
umepanic na wimbo hujauelewa
 
Ulitungwa na kigogo wa kipindi kile ambaye ni babu wa kigogo wa twitter huyu mnayemsikia leo.
 
Sasa tuna wahesabu
Walio kufa kwa taabu
Bila hata matibabu

Wengi hawana hesabu
Walio kufa kwa taabu duniani
Mwana lumumba wa kongo
Walimpiga vigongo
Wakamvunja mgongo
Wakamtoa ubongo
Wala sisemi uongo ni ukweli
Tom mboya wa Kenya
Si kiongozi mbaya
Kala risasi ya taya
Maharamia wabaya
Wala hawaoni haya kumuua
Wana kifungo cha maisha gerezani
Na maiti si mwingine ni AMIN
AMIN kapiga ngoma GADDAFI kaimba wimbo maiti nazo husema aaah
Wacha Tanzania utaitambua.
Umenikumbusha JKT
 
Back
Top Bottom