Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua

Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua

Mh ila mwanamke akikuzidi cheo,kipato,elimu nk
Ni shida anaweza akakupangia mpaka muda wa kurudi😂😂😂

Huu ushahidi nnao kna mtu namjua nlikuwa napiga naye ulabu yalimkuta haya

Ova
Kwa asiye na hekima hata dole atakutia
 
Mh ila mwanamke akikuzidi cheo,kipato,elimu nk
Ni shida anaweza akakupangia mpaka muda wa kurudi😂😂😂

Huu ushahidi nnao kna mtu namjua nlikuwa napiga naye ulabu yalimkuta haya

Ova
Unanikumbusha jamaa yangu mtu ameenda juu kinyamwezi . Tukiwa tunakunywa bar jirani na home, mkewe akiona Massawe anachelewa anakuja bar na kutoa amri moja tu.
Masawe twende nyumbani, na kweli Massawe hata Ile beer ya kwenye glasi haimalizii. Ni kuamka na kumfuata manka. (Kuoa Marangu Kuna changamoto sana especially ukute ndugu zake manka Ni wanasheria halafu wanazo)
 
Unanikumbusha jamaa yangu mtu ameenda juu kinyamwezi . Tukiwa tunakunywa bar jirani na home, mkewe akiona Massawe anachelewa anakuja bar na kutoa amri moja tu.
Masawe twende nyumbani, na kweli Massawe hata Ile beer ya kwenye glasi haimalizii. Ni kuamka na kumfuata manka. (Kuoa Marangu Kuna changamoto sana especially ukute ndugu zake manka Ni wanasheria halafu wanazo)
Hahah

Jamaa mtu mzima tu alikuwa mke wake alikuwa ana nyadhifa fulani serikalini(rip)
Alikuwa anampelekesha sana jamaa
Ashamtolea bastola jamaa jamaa akatoka nduki
Akaruka ukuta kukimbia😂😂

Ova
 
Wana JF

Habari za kuaminika kutoka Muleba ni kwamba, mme wa Irene Mzava amepatikana akiwa hoi katika jaribio la kutaka kujua jana kwa rafiki yake ambaye alienda kujificha lakini ikashindikana baada ya watu kutoa taarifa kuwepo kwake eneo hilo.

Aliona wakinyatia, akafunga milango, akatafuta waya wa umeme extension cable, akajininginiza kwenye feni kwa lengo la kujitoa roho, watu wakawa wanangongea afungue yeye akawa anapambana kujiua ndipo wakamuwahi akiwa hoi, wakampeleka katika hospitali ya Kaigara,wakapima vipimo vyote akaonekana yupo sawa, wakamweka pingu, sasa yupo njiani akiletwa dar kujibu tuhuma za mauaji.

R.I.P Ireni hakika damu yako mzito, jamaa kakamatwa kabla ujazikwa.

Pia soma > Mama wa TRA akutwa amefariki Bunju Beach, mume wake naye amepotea

View attachment 2070466
Yaani na kofia hiyo ya Cow boy akaamua kukimbilia muleba?
Nilijua yuko kenya
 
Hahah

Jamaa mtu mzima tu alikuwa mke wake alikuwa ana nyadhifa fulani serikalini(rip)
Alikuwa anampelekesha sana jamaa
Ashamtolea bastola jamaa jamaa akatoka nduki
Akaruka ukuta kukimbia😂😂

Ova
Nasikia mke alikuwa anajenga nyumba kisirisiri anaandika ndugu
 
Wewe wasema, wanawake wengi waliojaribu hivyo yaliwakuta ya kuwakuta, Yan usiombe
Bushmamy Mimi vitu vyangu vyote jina Ni waif. Ili Kama nitatangulia kuchomoka asije akatokea ndugu akasema chochote.
Najua watoto hawawezi kumzunguuka mama. Kama Kuna siku atanibadilikia mtaniona napanga chumba/sebule/master bedroom humo humo.
 
Ninao mfano wa watu wangu wa karibu kabisa, mwanaume alikuwa hana kitu akija ukamuwezesha anaanza kufanya uhuni na. Kuzaa nje,
Mwanamme kutoka nje mpaka kuzaa inasababishwa na wanawake wenyewe.
Give him the thing uone Kama atapata nguvu ya ziada mpaka kutoka nje. Sasa Ninyi leo imaginary kichwa, kesho imaginary tumbo, kesho kutwa siko kwenye mood, kesho ingine nimechoka.
Sisi tumeumbwa kila siku tunataka.
 
Mwanamme kutoka nje mpaka kuzaa inasababishwa na wanawake wenyewe.
Give him the thing uone Kama atapata nguvu ya ziada mpaka kutoka nje. Sasa Ninyi leo imaginary kichwa, kesho imaginary tumbo, kesho kutwa siko kwenye mood, kesho ingine nimechoka.
Sisi tumeumbwa kila siku tunataka.
Kila siku umekuwa kuku, sema mmeumbwa kwa asili ya tamaa
 
Sometimes ukishamchoka mwanamke heri uachane nae, kiukwel wanawake sometimes wanaboa adi unajuta kuoa, sasa ikifikia hali iyo jiepushe mapema toa taraka.

Pole father,

R. I. P iren
 
Ninao mfano wa watu wangu wa karibu kabisa, mwanaume alikuwa hana kitu akija ukamuwezesha anaanza kufanya uhuni na. Kuzaa nje,


Very painful!

Yani pesa ya mke ikahonge mchepuko jamani?!

Maana hakunaga mchepuko wa bure.

Michepuko wenye mapenzi ya kweli ambayo ni unconditional na ambapo mwanamke anakuwa financial independent ni michache sana tena huenda inahesabika.

Halafu itokee mnaendana kabisa chemistry bonded and perfect [emoji106] ikitokea hivyo ni neema na bahati ya mtende kuchanua!

Ndio maana mwanamke anatakiwa kufuatilia nyendo za mumewe wakati wote ili kama vipi na yeye ajiongeze kwa kuitafuta furaha yake sivyo ataumwa na kuugua!
 
Inasikitisha sana siku hizi mauaji ya wivu kimapenzi imeongezeka sana tena sana .Mzee huyo alichotenda ni majuto sana na kama angeliomba ushauri mzuri isingetokea.Watoto wao hawana afya tena manake mama hayupo na baba pia.Haielezeki
 
Kila siku umekuwa kuku, sema mmeumbwa kwa asili ya tamaa
Mwanaume ninaekula chakula na kushiba siwezi kulala na mke wangu wa ndoa afu nisisimamishe
Kwanza asubuhi tu nikiamka nakuta dushe imesimama hapa lazima mwanamke awajibike kuilaza kisha ndo mambo mengine yaendelee
 
Back
Top Bottom