Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua

Aliyeua Mke apatikana Muleba alikokwenda kujificha, akutwa katika harakati za kujiua

Mwanaume ninaekula chakula na kushiba siwezi kulala na mke wangu wa ndoa afu nisisimamishe
Kwanza asubuhi tu nikiamka nakuta dushe imesimama hapa lazima mwanamke awajibike kuilaza kisha ndo mambo mengine yaendelee
Inatakiwa mwezi mara 2 au tatu tyu zaidi ya hapo hainogi bana
 
Sawa tu muhimu niwe karibu na wanangu yeye hata akiolewa kwenye nyumba niliyompangia hainihusu
Maana nafanya hivi sababu nahitaji kuwa karibu na watoto tu, najua watoto wakiona siku moja moja nalala home na mama yao watajua baba yao nipo na nikiondoka watajua nimesafiri

Kuliko sa hv mtoto mkubwa wa kiume mwenye miaka mitano amekua akimsumbua mama yake, anamwambia, "Mama namtaka Baba yangu anayenileteaga zawadi". ( hapo alinihadisia tulipokua tunapumzika ) maana nilikua kila ninapotembelea familia yangu nilikua nanunua nguo na vitu vya kuchezea nawapelekea

Baadae nikakata mguu nikawa namtumia matumizi tu, sasa watoto ndo wakaanza kuniulizia kwa mama yao

Hivyo yeye kupigwa hainihusu wala haitaniumiza ninachoangalia ni watoto tu
Utavunja ndoa yako....

Mwenzio hapo anatafuta room... ..na inaonyesha keshakukoleza...


Unataka kulivuruga vibaya Sana..

Peleka matmizi ..watoto watakufata pole pole...
 
Utavunja ndoa yako....

Mwenzio hapo anatafuta room... ..na inaonyesha keshakukoleza...


Unataka kulivuruga vibaya Sana..

Peleka matmizi ..watoto watakufata pole pole...
Hunijui, ila mwenyewe ananijua vizuri tu
 
Jamaa ni mtu mzima Sana hata huko lupango sijui itakuwaje
 
Unanikumbusha jamaa yangu mtu ameenda juu kinyamwezi . Tukiwa tunakunywa bar jirani na home, mkewe akiona Massawe anachelewa anakuja bar na kutoa amri moja tu.
Masawe twende nyumbani, na kweli Massawe hata Ile beer ya kwenye glasi haimalizii. Ni kuamka na kumfuata manka. (Kuoa Marangu Kuna changamoto sana especially ukute ndugu zake manka Ni wanasheria halafu wanazo)
Mwanamke hata nimpende vipi ila nikijua tu ana kinasaba na uMarangu tu namuacha siku hiyo hiyo
 
Nishawaambia MSIOEEE ila HAMSIKii.

Haya sasa pedeshee huyoo jela anaacha utamu wotee wa dunia kisa NDOA..!!

#YNWA
 
Mwanamke hata nimpende vipi ila nikijua tu ana kinasaba na uMarangu tu namuacha siku hiyo hiyo
Halafu atokee ukoo wa kina Nya.......
Na wewe kipato chako Ni mshahara wa serikali...
Utaosha vyombo sana
 
Misingi ya ndoa imeharibika. Wewe waweza ingia kwenye mahusiano sababu ya upendo na uhitaji wa kupata msaidizi, lakini yeye akawa ameingia kwenye mahusiano na pesa zako au mwili wako.

Baada ya muda mambo yakibadilika anakinai mwili wako, anapata pesa zingine sasa zile zako hazionekani tena inaingia chuki ndani ya moyo na mambo yanakua si mambo

Mungu atusaidie turudi kwenye mpango wake ili
Kila Mume Na AMPENDE mke wake
Kila mke na AMTII mume wake

WAEFESO 5: 22-30
Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu. Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.

Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.

Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake; ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno; apate kujiletea Kanisa tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lo lote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na mawaa.

Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe. Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa. Kwa kuwa u viungo vya mwili wake.



1WAKORIONTO 7: 1-5
"Na sasa kuhusu mambo mliyoniandikia. Ni vizuri mtu asioe. Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe; na hali kadhalika mke kwa mumewe. Kwa maana mke hatawali mwili wake mwenyewe, bali mume wake ndiye autawalaye. Vivyo hivyo, mume hatawali mwili wake mwenyewe, bali mkewe ndiye anayeutawala."

MUNGU ATUSAIDIE
Haya maandishi mmmh
 
Back
Top Bottom